Hongereni JWTZ na Watanzania kwa kuwa na 'Ndege Vita' nzuri zilizokuwa 'zinazurula' tu Anga la Tanzania leo Mchana

Matumizi mabaya ya Kodi zetu,ukiimarisha demokrasia na ujirani mwema uhitaji kupoteza kodi kugharamia jeshi.
Yafaa nini mtu hadi anastaafu ajawahipiga hata risasi
Nikiwa sebleni kwa shemeji yangu na king'amuzi ameshakilipia huku na subiri dada apike ugali na nyama nile..we unalipa kodi gani ya kufanya Nchi ikaachana na kugharamia Jeshi Marekani na Utajiri wake wote ana Military Base dunia nzima we umeamka hata hujui utakula nini leo unajifanya umeridhika na amani
 
Ni 'Ndege Vita' nzuri sana tena za Kisasa kabisa Rangi ya Udongo ambazo zitasaidia mno Tanzania kuwa juu Kiuchumi, Maji kutopungua Mto Ruvu na hata Umeme kutokatika hovyo Tanzania.

Pia ni 'Ndege Vita' nzuri mno ambazo nina uhakika nchi kama Kenya, Uganda, Rwanda, Zambia, Malawi na Msumbiji hawana na kamwe hawataweza Kuthubutu kuwa nazo kwani wanaotakiwa ( wanaopaswa ) kuwa nazo ni Tanzania na Watanzania tu pekee.

Kwa Kumalizia ni 'Ndege Vita' ambazo zitafanya matatizo makubwa Matatu ya Ujinga, Maradhi na Umasikini kumalizika kabisa Tanzania huku zikisaidia pia katika Kuondoa Ufisadi na kutufanya Watanzania tuache Kuhangaika 'Kuzurula' hovyo Ulaya kwenda Kuomba Pesa za Misaada.

Ni 'Ndege Vita' za Miaka 60 ya Uhuru.
Unakula vizuri,unalala kwa amani,unakunya..then unakuja kutoa pumba zako hapa,tunakulinda ndo maaana unapata nguvu ya kuandika hapa.
 
Ni 'Ndege Vita' nzuri sana tena za Kisasa kabisa Rangi ya Udongo ambazo zitasaidia mno Tanzania kuwa juu Kiuchumi, Maji kutopungua Mto Ruvu na hata Umeme kutokatika hovyo Tanzania.

Pia ni 'Ndege Vita' nzuri mno ambazo nina uhakika nchi kama Kenya, Uganda, Rwanda, Zambia, Malawi na Msumbiji hawana na kamwe hawataweza Kuthubutu kuwa nazo kwani wanaotakiwa ( wanaopaswa ) kuwa nazo ni Tanzania na Watanzania tu pekee.

Kwa Kumalizia ni 'Ndege Vita' ambazo zitafanya matatizo makubwa Matatu ya Ujinga, Maradhi na Umasikini kumalizika kabisa Tanzania huku zikisaidia pia katika Kuondoa Ufisadi na kutufanya Watanzania tuache Kuhangaika 'Kuzurula' hovyo Ulaya kwenda Kuomba Pesa za Misaada.

Ni 'Ndege Vita' za Miaka 60 ya Uhuru.
Wakati mwingine tier tunafikiri na kudadavua kwa akili pevu badala ya kukurupuka tu na kushadidia mambo ambayo hatuna upeo nao wa kina.
Hata nchi kama Marekani, Urussi, Uingereza na nchi nyingine Tajiri na zinazopigiwa chapuo kuwa ‘zenye demokrasia na utawala bora‘ zaidi wanajiimarisha kijeshi Duniani.
Ni Isuzu na uzumbukuku kubeza jitihada za taifa kuimarisha jeshi lake au kujenga uchumi na mustakabali wa wananchi wake.
 
Kwa hiyo uimara wa majeshi ya nchi za magharibi ni kwa sababu hawajaimarisha demokrasia?
Lakini pia kwanini tunapenda exclusivity?
Kwamba hatuwezi kuwa na ndege za kivita kwa sababu shule za msingi hazina matundu ya vyoo?
Au hatuwezi kununua ndege za ATCL kisa kuna wilaya hazina hospitali za wilaya?

Sekta haziingiliani saana.
Wata kama hao ni wa kuwapuuza tu kwani hawajui mawiwo wala machweo yao!
 
Kuwa na amani haimaanishi hao mliowataja hawana kazi ndugu zangu kuna nchi wanasema hazina jeshi ni kweli lakini kuna nchi zina mikataba ya kuwalinda ,inapaswa kujua kwamba kuna mengi yanamalizwa kimnya kimnya kwa jasho na damu tusitukane watu humu kwa sababu tumepata bia tamu ,nakumbuka kabisa nilipokua bwana mdogo kuna tukio lilitokea sikumbuki vema basi wananchi wakabebana kwenda kuchoma kituo cha polisi na walifanikiwa kukichoma bwana bwana kumbe miongoni mwa waliokua amsha popo ya kuchoma kituo walikuwepo na wezi stadi mbona tuliisoma namba na ukizingatia tulikua tunakaa pembezoni kwa mji sana na hako kakituo kwa kiasi fulani kalisaidia hivyo chunga sana hizo kauli hapo ni watu wanakua na agenda zao kwahiyo mnataka vyombo vyote vya ulinzi na usalama viache majukumu yao tukagombanie samaki feri huko alafu? 🦁
 
Mnataka jeshi lisifanye mazoezi ya utayari?

Hao hao silaha mpya zikinunuliwa mnalalamika, zikioneshwa zile kongwe mnalalamika!

Wachieni wenye kazi zao wafanye, kuna watu wako bize kulinda anga lenu wakati mpo baa mnagombania wahudumu.

Jeshi bila mazoezi ya utayari ni sawa na kikundi cha wacheza ngoma tu!

Mungu libariki jeshi letu ( JWTZ),
 
Ni 'Ndege Vita' nzuri sana tena za Kisasa kabisa Rangi ya Udongo ambazo zitasaidia mno Tanzania kuwa juu Kiuchumi, Maji kutopungua Mto Ruvu na hata Umeme kutokatika hovyo Tanzania.

Pia ni 'Ndege Vita' nzuri mno ambazo nina uhakika nchi kama Kenya, Uganda, Rwanda, Zambia, Malawi na Msumbiji hawana na kamwe hawataweza Kuthubutu kuwa nazo kwani wanaotakiwa ( wanaopaswa ) kuwa nazo ni Tanzania na Watanzania tu pekee.

Kwa Kumalizia ni 'Ndege Vita' ambazo zitafanya matatizo makubwa Matatu ya Ujinga, Maradhi na Umasikini kumalizika kabisa Tanzania huku zikisaidia pia katika Kuondoa Ufisadi na kutufanya Watanzania tuache Kuhangaika 'Kuzurula' hovyo Ulaya kwenda Kuomba Pesa za Misaada.

Ni 'Ndege Vita' za Miaka 60 ya Uhuru.

Ndege vita za tanzania we nyarwanda zinakutesea nini?
 
Mnataka jeshi lisifanye mazoezi ya utayari?

Hao hao silaha mpya zikinunuliwa mnalalamika, zikioneshwa zile kongwe mnalalamika!

Wachieni wenye kazi zao wafanye, kuna watu wako bize kulinda anga lenu wakati mpo baa mnagombania wahudumu.

Jeshi bila mazoezi ya utayari ni sawa na kikundi cha wacheza ngoma tu!

Mungu libariki jeshi letu ( JWTZ),
Watu wameweka sana nyuzi humu wakilalama kuhusu Shenyang F7 na zile MiG kuwa ni za kizamani ila umekuja ujio mpya bado tu sasa sijui wanataka nini?
 
kwa bongo issue sio hizo ndege uzionazo, issue iko kwenye mikataba iliyotumika kuzinunua na hao wazabuni....dah na CAG ndio hafikagi kule...
 
Ni 'Ndege Vita' nzuri sana tena za Kisasa kabisa Rangi ya Udongo ambazo zitasaidia mno Tanzania kuwa juu Kiuchumi, Maji kutopungua Mto Ruvu na hata Umeme kutokatika hovyo Tanzania.

Pia ni 'Ndege Vita' nzuri mno ambazo nina uhakika nchi kama Kenya, Uganda, Rwanda, Zambia, Malawi na Msumbiji hawana na kamwe hawataweza Kuthubutu kuwa nazo kwani wanaotakiwa ( wanaopaswa ) kuwa nazo ni Tanzania na Watanzania tu pekee.

Kwa Kumalizia ni 'Ndege Vita' ambazo zitafanya matatizo makubwa Matatu ya Ujinga, Maradhi na Umasikini kumalizika kabisa Tanzania huku zikisaidia pia katika Kuondoa Ufisadi na kutufanya Watanzania tuache Kuhangaika 'Kuzurula' hovyo Ulaya kwenda Kuomba Pesa za Misaada.

Ni 'Ndege Vita' za Miaka 60 ya Uhuru.
Tungeuza hii midude pesa tushughulikie mambo mengine kwanza ipo outdated
 
Back
Top Bottom