Mau Mau
JF-Expert Member
- Dec 30, 2012
- 673
- 478
Wadau Heshima Kwenu,
Mnyonge mnyongeni Haki yake Mpeni, Mimi nimekuwa ni mtu nisiyevutiwa mara nyingi na utendaji kazi wa Jeshi letu la Polisi, mwaka 2016 nilienda LOLIONDO wilayani Ngorongoro kikazi hali ilikuwa mbaya mno, Ninaposema mbaya ni MBAYA hatari!!
Watu walikuwa wakitekwa hovyo, Watalii wametekwa mno, mchana kweupe Risasi zinarindima Hafu unakuta wamepora Laki moja tu, kule ilikuwa ikifika Usiku unakosa uhakika wa kufika asubuhi.
Nimeenda Juzi nikawa na hofu ile ya Awali, nimekuta hali ni salama, nikaambiwa kuna kikosi kazi kikishirikiana Na Jeshi la Polisi Loliondo wamefanya kazi kubwa na wanewakamata wahalifu wengi mno na mabunduki yao.
Sikuwahi kuona wananchi wakiwasifu askari kiasi kile.Sasa hivi hata ukisafiri una uhakika wa kufika salama tofauti na zamani unasafiri huku simu na vihela vyako umevificha chini ya Seat yako.
Wito wangu Jeshi letu kwa weredi huo mlioutumia huko Loliondo Hebu mfanye hivo na maeneo mengine, wananchi wasipoonewa wanawapenda sana hasa mnapotimiza majukumu yenu.
Muachane kujihusisha na wanasiasa na kule nasikia wanaharakati ni wengi laana Hafu wote wana interest tofauti kuinyonya hiyo wilaya iliyojaaliwa vivutio vingi vinavotegemewa kwa mapato!!!
Kwa Hilo Viva Jeshi La Polisi
Mnyonge mnyongeni Haki yake Mpeni, Mimi nimekuwa ni mtu nisiyevutiwa mara nyingi na utendaji kazi wa Jeshi letu la Polisi, mwaka 2016 nilienda LOLIONDO wilayani Ngorongoro kikazi hali ilikuwa mbaya mno, Ninaposema mbaya ni MBAYA hatari!!
Watu walikuwa wakitekwa hovyo, Watalii wametekwa mno, mchana kweupe Risasi zinarindima Hafu unakuta wamepora Laki moja tu, kule ilikuwa ikifika Usiku unakosa uhakika wa kufika asubuhi.
Nimeenda Juzi nikawa na hofu ile ya Awali, nimekuta hali ni salama, nikaambiwa kuna kikosi kazi kikishirikiana Na Jeshi la Polisi Loliondo wamefanya kazi kubwa na wanewakamata wahalifu wengi mno na mabunduki yao.
Sikuwahi kuona wananchi wakiwasifu askari kiasi kile.Sasa hivi hata ukisafiri una uhakika wa kufika salama tofauti na zamani unasafiri huku simu na vihela vyako umevificha chini ya Seat yako.
Wito wangu Jeshi letu kwa weredi huo mlioutumia huko Loliondo Hebu mfanye hivo na maeneo mengine, wananchi wasipoonewa wanawapenda sana hasa mnapotimiza majukumu yenu.
Muachane kujihusisha na wanasiasa na kule nasikia wanaharakati ni wengi laana Hafu wote wana interest tofauti kuinyonya hiyo wilaya iliyojaaliwa vivutio vingi vinavotegemewa kwa mapato!!!
Kwa Hilo Viva Jeshi La Polisi