eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,227
- 16,178
Nitoe pongezi kwa chama cha kikomunisti cha China na viongozi wake huwa nasikia kuumia sana pale ninapogundua mwaka 1977 China na Tanzania tofauti yao ilikuwa ndogo sana
Wapiga kura wa Nchi hii mtalaumiwa sana na vizazi vijavyo kuendelea kuchagua chama ambacho hakiifikirii Tanzania
Wapiga kura wa Nchi hii mtalaumiwa sana na vizazi vijavyo kuendelea kuchagua chama ambacho hakiifikirii Tanzania