FAHAD KING
JF-Expert Member
- Sep 14, 2017
- 301
- 373
Habari Wanabodi
Kwanza ningependa kuwapongeza CCM kwa kutwaa viti vingi vya ubunge. Na Kile kiti kikubwa kabisa cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Visiwani Zanzibar.
Bila shaka hakuna dhambi yoyote ya kuwa mpinzani. Hata kikatiba sidhani kama kuna sheria unasema ukiwa pinzani basi ni kosa.Hapana.
Wala sio kwa ubaya. Lengo ni jema tu kwamba sio lazima ushabikie kila lisemwalo na Chama tawala.
Pongezi tena kwa CCM japo kuna ukakasi mkubwa sana ndani ya Uchaguzi huu. Sitegemei kuwepo kwa bunge bora la kujenga hoja miaka mitano hii (2020-2025). Nasubiria kila hoja kuungwa mkono hata kama ni dhaifu kiasi gani. Kati ya Wabunge 256, Tume imesema wabunge 251 wote ni CCM sasa hapo kuna kujenga hoja?
Anyway nasisitiza,nitaendelea kuwa mpinzani wala sio kwa lengo baya.
Lengo letu ni moja. Sote kuijenga Tanzania moja. Kuijenga Tanzania iliyo BORA kabisa.
Shukrani
Kwanza ningependa kuwapongeza CCM kwa kutwaa viti vingi vya ubunge. Na Kile kiti kikubwa kabisa cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Visiwani Zanzibar.
Bila shaka hakuna dhambi yoyote ya kuwa mpinzani. Hata kikatiba sidhani kama kuna sheria unasema ukiwa pinzani basi ni kosa.Hapana.
Wala sio kwa ubaya. Lengo ni jema tu kwamba sio lazima ushabikie kila lisemwalo na Chama tawala.
Pongezi tena kwa CCM japo kuna ukakasi mkubwa sana ndani ya Uchaguzi huu. Sitegemei kuwepo kwa bunge bora la kujenga hoja miaka mitano hii (2020-2025). Nasubiria kila hoja kuungwa mkono hata kama ni dhaifu kiasi gani. Kati ya Wabunge 256, Tume imesema wabunge 251 wote ni CCM sasa hapo kuna kujenga hoja?
Anyway nasisitiza,nitaendelea kuwa mpinzani wala sio kwa lengo baya.
Lengo letu ni moja. Sote kuijenga Tanzania moja. Kuijenga Tanzania iliyo BORA kabisa.
Shukrani