Hongerani WaKenya

Mwiba

JF-Expert Member
Oct 23, 2007
7,607
1,744
Natoa pongezi za dhati kwa kufanikiwa kupata submarine cable ambayo itafungua kituo kipya cha habari za internate na vile vile imesemwa kuwa hata mashuleni wataweza kupata huduma za mtandao bure kutokana na nguvu za kituo hicho ambacho kitakuwa kitovu cha kuunganisha mitandao kwa East Africa na duniani kote kwa spidi kali, sina zaidi ila ni furaha tupu.
 
submarine cable ambayo itafungua kituo kipya cha habari za internate na vile vile imesemwa kuwa hata mashuleni wataweza kupata huduma za mtandao bure kutokana na nguvu za kituo hicho ambacho kitakuwa kitovu cha kuunganisha mitandao kwa East Africa na duniani kote kwa spidi kali,sina zaidi ila ni furaha tupu.

Itapita wapi hii submarine cable? ni zaidi ya ile ya EASSy Cable?
 
Aisee hiyo ni nomaaa! na sie wabongo ni liniii??au ndio kama kawa kimaendeleo tuko nyuma halafu bado twataka shirikiana na wenzetu walioko mbele tutarajie nasi kudesa hayo maendeleo??

Ndio biashara za kuishia kudandia Treni kwa mbele hayoo
 
Nchi za EAC, ikiwemo Tanzania, zitafaidika na EASSy fiber optic stuff itakayotandazwa toka cape Town, South Africa, hadi North Africa. Itakuwa inachomoza karibu kila nchi mashariki mwa bara hili. Utandazaji wa cable hii unaanza mwakani. Ni njema tupu hata kwetu. Itaondoa utegemezi wa satelite ktk kurusha communication signal, hii ina maana kuwa gharama za mawasiliano, ikiwemo simu, na internet, zitapungua sana, kwa mujibu wa wataalam.
 
Natoa pongezi za dhati kwa kufanikiwa kupata submarine cable ambayo itafungua kituo kipya cha habari za internate na vile vile imesemwa kuwa hata mashuleni wataweza kupata huduma za mtandao bure kutokana na nguvu za kituo hicho ambacho kitakuwa kitovu cha kuunganisha mitandao kwa East Africa na duniani kote kwa spidi kali,sina zaidi ila ni furaha tupu.

Shukran kwa niaba ya wenzangu na Jamhuri yetu kwa zako hongera. Ila pia nyinyi pokeeni pongezi kem kem jili huu ulikuwa mradi wa pamoja wa East Africa (Ke, Ug, Tz). Nina imani kwamba tukizidi kutafuta nafasi ambazo zinatuwezesha kushirikiana kwa usawa tunaweza kuwa "the envy of the continent". Wana Afrika Mashariki wengi wanaoishi ng'ambo wanafahamu hili sana. Mbona Mkenya akiwa Ujerumani na akosapo waKenya wenzake cha kwanza ni kumtafuta MTZ au MGanda kabla ya kujichanganya na waAfrika wengine? Nadhani kuna ufamilia fulani kati yetu wana wa Kanda la Afrika Mashariki.

Pamoja tujenge letu...
 
Itapita wapi hii submarine cable? ni zaidi ya ile ya EASSy Cable?
Hii cable itatokea UAE na nafikiri kazi ya uzamishaji imeshapewa kampuni flani na kulipiwa gharama za awali .LAbda mjisomee wenyewe kwa kimombo.Kama nilivyoinukuu kwa ufupi.

Kenya-UAE cable planned
United Arab Emirates: Monday, December 17 - 2007 at 07:40
French-US outfit Alcatel-Lucent has signed an $82m contract to build a 4,900 kilometre submarine cable network linking the Kenyan port of Mombasa with the UAE's Fujairah, reported the AFP. The East Africa Marine System consortium, which includes the Kenyan government and the UAE's Etisalat, is behind the project; network installation should be completed by Q1 2009.


Habari zaidi ,na jinsi Waziri anavyojenga matumaini kwa raia zake :-

The TEAMS network will connect the port city of Mombasa in Kenya with the port of Fujairah in the UAE offering the required optical connectivity to bring broadband to all users and positioning Kenya as a new communication hub. Network installation is scheduled by the end of the first quarter 2009.

Designed with an ultimate capacity of 640 Gbit/s, the TEAMS submarine cable network will dramatically increase the regional communication capabilities and support new high-quality broadband services, such as free Internet for schools, and Ethernet-based services to further bolster social and economic development.

"With Alcatel-Lucent‚s cable solution, we will bring down the cost of Internet connectivity and international calls," said Dr. Ndemo, Information Ministry Permanent Secretary of Kenya.

"As an important economic player in East Africa, such high speed communications links will support the business community's investment in outsourcing services, which are becoming increasingly popular in Kenya."

Matatizo ya kutoaminiana:-
However other governments in East Africa have also signed up to a 23-nation plan to lay an undersea cable to connect the entire region, the Eastern Africa Submarine Cable System (EASSy). Kenya was originally part of the EASSy project, but it led a protest by several nations in the region against South African dominance in the planned network.

Many East African countries fear South Africa's growing economic and political influence and complain of unfair trade practices by South African companies.

Against such a background, Kenya wants to be in control of its own infrastructures and to grow into being a regional hub for trade and business.

The East African coast currently has no direct links to the international fibre optic network, which is one of the main reasons why the region's connectivity is less reliable and costly. This situation has made East Africa one of the most "digitally excluded" regions of the world with just about 2 per cent of the population connected to the Internet.
 
Natoa pongezi za dhati kwa kufanikiwa kupata submarine cable ambayo itafungua kituo kipya cha habari za internate na vile vile imesemwa kuwa hata mashuleni wataweza kupata huduma za mtandao bure kutokana na nguvu za kituo hicho ambacho kitakuwa kitovu cha kuunganisha mitandao kwa East Africa na duniani kote kwa spidi kali,sina zaidi ila ni furaha tupu.

Well done Kenyans.
 
Back
Top Bottom