Hongera watanzania kwa kufanya imani chanzo cha mapato

Invarbrass

JF-Expert Member
Feb 25, 2011
504
111
Nimegundua watanzania ni wa janja sana. Baada ya kushuhudia makanisa ya maombezi yanachuma pesa kama mchezo vile tena bila kulipa kodi wameamua nao kutoka kindoto. Ubunifu mkubwa uliopo ni kudhibiti soko maana dawa anatoa muotaji tu na simwingine (hati miliki?)

Pili dawa lazima itolewe katika eneo la makazi ya muhusika. Faida ni kuwa baada ya mwaka Loliondo itakuwa bonge la mji. (rejea mipango inayoendelea), babu ndani ya miezi miwili ana hela ambayo professor wa chuo hawezi kupata akistaafu.

So Tabora, Mbeya Loliondo Marangu na sehemu nyingine watakapoibuka waotaji tutashuhudia maendeleo ya miundo mbinu ya hali ya juu. Huu utaratibu nimeupenda maana hata serikali yetu isiyo toa kipaumbele kwa mipango ya maendeleo inathamini ndoto.

Si tunaona wataalamu wanakwenda kufanya utafiti wa mti wa babu, je asingeota wangeenda lini? Tuombe watu wengi waote dawa serikali iende kuboresha mazingira. Mwisho wa siku nchi yetu yote itaendelea tena kwa muda mfupi. Hongera waota ndoto maana mna faida kuliko hata wa Bunge.
 
Nimegundua watanzania ni wa janja sana. Baada ya kushuhudia makanisa ya maombezi yanachuma pesa kama mchezo vile tena bila kulipa kodi wameamua nao kutoka kindoto. Ubunifu mkubwa uliopo ni kudhibiti soko maana dawa anatoa muotaji tu na simwingine(hati miliki?).Pili dawa lazima itolewe katika eneo la makazi ya muhusika. Faida ni kuwa baada ya mwaka loliondo itakuwa bonge la mji.(rejea mipango inayoendelea), babau ndani ya miezi miwili ana hera ambayo professor wa chuo hawezi kupata akistaafu. So Tabora, Mbeya loliondo Marangu na sehemu nyingine watakapoibuka waotaji tutashuhudia maendeleo ya mihundo mbinu ya hali ya juu. Huu utaratibu nimeupenda maana hata serikali yetu isiyo toa kipaumbele kwa mipango ya maendeleo inathamini ndoto. Si tunaona wataalamu wanakwenda kufanya utafiti wa mti wa babu, je asingeota wangeenda lini? Tuombe watu wengi waote dawa serikali iende kuboresha mazingira. Mwisho wa siku nchi yetu yote itaendelea tena kwa muda mfupi. Hongera waota ndoto maana mna faida kuliko hata wa bunge


Serikali iliyofilisika kimawazo lazima itegemee ndoto........Loliondo ni ushahidi tosha kuwa tunaongozwa na vilaza!
 
Nimegundua watanzania ni wa janja sana. Baada ya kushuhudia makanisa ya maombezi yanachuma pesa kama mchezo vile tena bila kulipa kodi wameamua nao kutoka kindoto. Ubunifu mkubwa uliopo ni kudhibiti soko maana dawa anatoa muotaji tu na simwingine(hati miliki?).Pili dawa lazima itolewe katika eneo la makazi ya muhusika. Faida ni kuwa baada ya mwaka loliondo itakuwa bonge la mji.(rejea mipango inayoendelea), babau ndani ya miezi miwili ana hera ambayo professor wa chuo hawezi kupata akistaafu. So Tabora, Mbeya loliondo Marangu na sehemu nyingine watakapoibuka waotaji tutashuhudia maendeleo ya mihundo mbinu ya hali ya juu. Huu utaratibu nimeupenda maana hata serikali yetu isiyo toa kipaumbele kwa mipango ya maendeleo inathamini ndoto. Si tunaona wataalamu wanakwenda kufanya utafiti wa mti wa babu, je asingeota wangeenda lini? Tuombe watu wengi waote dawa serikali iende kuboresha mazingira. Mwisho wa siku nchi yetu yote itaendelea tena kwa muda mfupi. Hongera waota ndoto maana mna faida kuliko hata wa bunge
Mimi naomba usiku na mchana Mungu anioteshe ndoto ili kwetu kijijini pabadilike
 
Nimegundua watanzania ni wa janja sana. Baada ya kushuhudia makanisa ya maombezi yanachuma pesa kama mchezo vile tena bila kulipa kodi wameamua nao kutoka kindoto. Ubunifu mkubwa uliopo ni kudhibiti soko maana dawa anatoa muotaji tu na simwingine(hati miliki?).Pili dawa lazima itolewe katika eneo la makazi ya muhusika. Faida ni kuwa baada ya mwaka loliondo itakuwa bonge la mji.(rejea mipango inayoendelea), babau ndani ya miezi miwili ana hera ambayo professor wa chuo hawezi kupata akistaafu. So Tabora, Mbeya loliondo Marangu na sehemu nyingine watakapoibuka waotaji tutashuhudia maendeleo ya mihundo mbinu ya hali ya juu. Huu utaratibu nimeupenda maana hata serikali yetu isiyo toa kipaumbele kwa mipango ya maendeleo inathamini ndoto. Si tunaona wataalamu wanakwenda kufanya utafiti wa mti wa babu, je asingeota wangeenda lini? Tuombe watu wengi waote dawa serikali iende kuboresha mazingira. Mwisho wa siku nchi yetu yote itaendelea tena kwa muda mfupi. Hongera waota ndoto maana mna faida kuliko hata wa bunge

Hivi nichukuwa yale maji nikaweka kwenye tank la mafuta gari yangu si itapona kabisa???
 
Kwa
sababu, ukimkiri Yesu
kwa kinywa chako ya kuwa ni
Bwana, na kuamini moyoni
mwako ya kuwa Mungu
...alimfufua katika wafu,
utaokoka. Kwa kuwa, kila
atakayeliitia Jina la Bwana
ataokoka. Warumi 10:9,
13.
 
Back
Top Bottom