Hongera wana JF - Advert ya Tanzania CNN

Nikifufukammekwisha

JF-Expert Member
Aug 17, 2007
260
6
Naungana na wana JF wote kujipongeza kwa maoni yetu kufanyiwa kazi na serikali kwani sasa hivi nimeliona tangazo CNN kuhusu Tanzania. Tangazo ilo wamelifanyia modification kidogo kwani mwishoni wameongeza link ya website ya Tanzania Tourist Board (www.tanzaniatouristboard.com), kitu ambacho kiliongelewa sana humu JF kuwa kitasaidia waangalia TV kupata more information about Tanzania in case wakitaka kufanya hivyo.

Hongereni nyote. Matunda yanazidi kuonekana.
 
Hilo Tangazo linaonekana CNN States zipi haswa...
Maanake hadi sasa nimesikia toka kwa watu wanaoishi NY nje ya hapo sisi sote tunajiuliza...
 
Mkuu Bob,

Jana lilikuwepo sana kwenye CNN, na pia kwenye MSG wakati wa mpira wa Knicks na Raptors, ni tangazo saafi sana angalau heshima kidogo kwa taifa!
 
Niliona game hilo loote na hata lile la juzi lakini sikuona Tangazo hilo....Kwa hiyo bado ni NY peke yake?
 
Niliona game hilo loote na hata lile la juzi lakini sikuona Tangazo hilo....Kwa hiyo bado ni NY peke yake?


mkuu mkandara, na mimi nimeliona leo cnn. nimeona zebra, elephant mpaka beach za zanzibar ambazo zimetulia kichizi.

hapa pongezi inabidi itolewe kwa serikali, lakini suala la tax exemptions liangaliwe sana hili hii sector ibenefit nchi na wananchi wote.

tutakuwa machizi kama tunatumia hela za nchi kutangaza utalii, lakini most of the benefits zikaenda kwa hawa hotel owners ambao mostly ni foreigners. lazima tax, employment benefits kwa wazawa zionekane wazi.
 
wasee,
lakini mbona haya matangazo yapo kwa muda mrefu sana!! tena nadhani kuna threads nyingine kama mbili hivi kuhusu matangazo haya!
Matangazo yana-run kwenye big markets za NE, NY, Chi-Town na left coast hasa south cali........mie naona haya matangazo kwa karibu miezi sita sasa!!!.
 
Wana JF..

CNN dakika chache zilizopita (3.35 pm eastern time) wamerusha matangazo mawili kuhusu Tanzania. Tangazo lililorushwa mwanzoni lilikua ni jipya ambalo sijawahi kuliona CNN. Kusema ukweli the quality displayed in that commercial is SUPERB!!!!... Kuanzia kwenye sound recording, picture quality & animation... Vyote viko katika viwango vya juu. Mwishoni wakatoa link kuiadvertize Tanzania through their (CNN) website (http://www.cnn.com/topics/). Ukiingia kwenye iyo link, upande wa kulia kwa juu utaona twiga pamoja na maneno "Tanzania - Ultimate Safari Sweepstakes". Kiurahisi, bonyeza hii link uingie moja kwa moja kwenye hiyo kitu - http://www.cnnpromos.com/tanzania/

Tangazo la pili lilirushwa just baada ya lile la kwanza kuisha. Tangazo hili ni lile lililoanzwa kurushwa mwezi February mwaka huu kama modification ya lile tangazo la awali, lililotoka mwaka jana.

Walio-design tangazo hili jipya wanahitaji pongezi.
 
More than the ad itself, is somebody managing the ROI?

I would like to think it has a tangible effect on tourism, it is running on prime time which means prime bucks.
 
ungekuwa pale kahama nigekwambia upande juu ya bati uzungushe hiyo antena yako,lakini huko kwa bush labda panda juu ya mpapai(joke)

Hahahahah katibu Tarafa, huku kwa Obama ni sky scrapers tu hakuna cha mpapai wala nini....umejnikumbusha Kahama, aisee ule mji unnghebidin uwe umeenmdeleea sana kuna madini ya dhahabu na kilimo sana, kama si mafisadi mji ungelkuwa na tram na metro zake laki ndo hivyo Tanzania jni usanii tuun na hakuna tumaini
 
Tuombe Mungu, Hizo contacts za Bodi ya Utalii ziwe zinafanya kazi,,, na kuna mtu/mfanyakazi anayefahamu biashara amewekwa na anayejibu hizo email/phone enquires... kama hakuna basi tumeliwa!!!... ndio tutaonekana wajinga zaidi kuliko tungeacha jamaa wahangaike wenyewe kujua kempsiki kilimanjaro/Zamani ziko wapi?


Kwa maana nyingine watenge kama TZS 50,000,000/- waboreshe site ya bodi, ili iwe na one stop information zote za kitalii nchini, link za website za mahoteli, za vivutio etc... a one stop TZ tourism information related portal.


Wadau wa Sekta ya Utalii ni kazi kwenu kuhakikisha site ya bodi ya utalii ina link zenu ili watalii waweze kupelekwa kwenye sites zenu
 
I HAVE THE REASON TO PROUD MYSELF ABOUT THIS.....! KWA HILI SERIKALI IMEFANYA VYEMA NDO MAANA INAPONGEZWA.......! KEEP IT UP SERIKALI.....! WE KNOW YOU CAN DO BETTER TUKIKUPONGEZA KWA MAFANIKIO.......BRAVO SERIKALI.........!
 
Tuombe Mungu, Hizo contacts za Bodi ya Utalii ziwe zinafanya kazi,,, na kuna mtu/mfanyakazi anayefahamu biashara amewekwa na anayejibu hizo email/phone enquires... kama hakuna basi tumeliwa!!!... ndio tutaonekana wajinga zaidi kuliko tungeacha jamaa wahangaike wenyewe kujua kempsiki kilimanjaro/Zamani ziko wapi?


Kwa maana nyingine watenge kama TZS 50,000,000/- waboreshe site ya bodi, ili iwe na one stop information zote za kitalii nchini, link za website za mahoteli, za vivutio etc... a one stop TZ tourism information related portal.


Wadau wa Sekta ya Utalii ni kazi kwenu kuhakikisha site ya bodi ya utalii ina link zenu ili watalii waweze kupelekwa kwenye sites zenu

Ukweli wenyewe ndio huo.

Mjadala huu ungegeukia hili labda tungetoa mchango wa maana zaidi.
 
Wakuu tuende mbele na nyuma, hizo dola $ millioni 600 zitakazotumika kwa miezi sita ijayo ku-maintain hizi adv, I mean mbona kama nyingi sana kwa taifa letu kuzichoma kwa just six months?

Kwa wale mnaojua mahesabu ya utalii wetu, eti ni kweli mahesabu yanakubali kuhusiana kutoa na kurudisha na faida? Au wanalenga in the long run? Kwangu kama mwananchi wa bongo hizi namba zimeniogopesha sana? au?
 
Wakuu tuende mbele na nyuma, hizo dola $ millioni 600 zitakazotumika kwa miezi sita ijayo ku-maintain hizi adv, I mean mbona kama nyingi sana kwa taifa letu kuzichoma kwa just six months?

Kwa wale mnaojua mahesabu ya utalii wetu, eti ni kweli mahesabu yanakubali kuhusiana kutoa na kurudisha na faida? Au wanalenga in the long run? Kwangu kama mwananchi wa bongo hizi namba zimeniogopesha sana? au?

Naona hizo pesa sio tatizo ukilinganisha na idadi ya watalii tunaowapata kwa bongo kila mwaka. Mipango ikifanywa vizuri hii pesa wanaweza kulipa kutokana na mfano Airport tax ambayo ni ndogo sana kama ikiongezwa hadi kufikia $40 au $50 kwenye kila anayetumia viwanja vyetu kuruka kutoka nje ya nchi akiwa sio Mtanzania.

Ukitilia maanani kwamba Tanzania inasifika kwa kupata cream ya watalii ambao wanatumia kiasi cha wastani $800 hadi $1000 kwa wiki na nchi nyingine jirani.
 
Naungana na wana JF wote kujipongeza kwa maoni yetu kufanyiwa kazi na serikali kwani sasa hivi nimeliona tangazo CNN kuhusu Tanzania. Tangazo ilo wamelifanyia modification kidogo kwani mwishoni wameongeza link ya website ya Tanzania Tourist Board (www.tanzaniatouristboard.com), kitu ambacho kiliongelewa sana humu JF kuwa kitasaidia waangalia TV kupata more information about Tanzania in case wakitaka kufanya hivyo.

Hongereni nyote. Matunda yanazidi kuonekana.


Jambo jema sana, sijui hadi sasa bado lipo
 
Back
Top Bottom