Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,304
- 14,905
Moja ya vitu ambavyo ya vitu wana jf wamejaribu kulisemea hili la UUZWAJI WA VYAKULA KWA WASAFIRI HOTEL ZA BARABARANI ni wengi sana wamelipigia kelele sna lakn lilikosa backup ya vyombo vya habari hadi kuhisi pengine nao watu wa media wanachukua mlungula toka kwa wamiliki wa hizi hoteli ili lisipate nafas kuwafikia wahusika.
Lakini leo kupitia kipindi cha JE, HUU NI UUNGWANA? cha RADIO FREE AFRICA kinachoongozwa na mtangazaji WAMBURA MTANI amelisemea hili. Kiuweledi sana.
Kiukwel nawaomba hawa FCC TUME YA USHINDANI waingilie na hili wasitoe tu taaarifa za SIMBA TU wakumbuke na hili linawahusu pia
Bila kusahau chama cha kutetea walaji nacho huwa nakisikia tu ni wakati na wao kutoka watutetee jaman
Lakini leo kupitia kipindi cha JE, HUU NI UUNGWANA? cha RADIO FREE AFRICA kinachoongozwa na mtangazaji WAMBURA MTANI amelisemea hili. Kiuweledi sana.
Kiukwel nawaomba hawa FCC TUME YA USHINDANI waingilie na hili wasitoe tu taaarifa za SIMBA TU wakumbuke na hili linawahusu pia
Bila kusahau chama cha kutetea walaji nacho huwa nakisikia tu ni wakati na wao kutoka watutetee jaman