Hongera wakurugenzi wa Halmashauri , mmetupa mitaa mingi sana bila ya kujua.

ligera

JF-Expert Member
May 17, 2014
2,646
1,167
Kitendo cha wasimamizi wa uchaguzi kuchelewesha vifaa vya kupigia kura kwenda vituoni kimetoa faraja kwa Ukawa kushinda baadhi ya maeneo kiurahisi mno.

Kila mtu anafahamu fika kwamba ccm wateja wao wengi ni wazee , na kimsingi wazee hao waliwahi sana kuja vituoni kuanzia saa 12:00 asubuhi kitendo cha vifaa kuchelewa na baadhi ya maeneo vilifika saa 4-5 asubuhi wazee wengi hawakuweza kuvumilia hadi muda huo na kuamua kuondoka huku wakiwaacha vijana wakisubiria vifaa.

Kwa mfano huku kwetu wapo vijana waliokuwa wakiwashauri hao wazee waende nyumbani wakapumzike kwani zoezi likianza watawaita ,kumbe ilikuwa mbinu ya kuwaondo kituoni ili kupunguza kura za ccm.

Najua Wakurugenzi haikuwa nia yao ila kwa sababu ilikuwa mpango wa Mungu ndio maana naamini kwamba Mungu aliwapa uzito na uchovu watandaji hao ili lengo litimie .

Kweli nimeamini chadema huwa wana anza na Mungu na kumaliza na Mungu
 
Chama cha malori
Chama cha mapingamizi
Chama cha mafisadi
Chama cha wezi/majambazi
 
Chama cha malori
Chama cha mapingamizi
Chama cha mafisadi
Chama cha wezi/majambazi
:::
::'
::
waite kila tusi utakalo
 
Km ina ka ukweli ndani yake.umenichekesha sana kamanda.VIVA CHADEMA
 
Kitendo cha wasimamizi wa uchaguzi kuchelewesha vifaa vya kupigia kura kwenda vituoni kimetoa faraja kwa Ukawa kushinda baadhi ya maeneo kiurahisi mno.

Kila mtu anafahamu fika kwamba ccm wateja wao wengi ni wazee , na kimsingi wazee hao waliwahi sana kuja vituoni kuanzia saa 12:00 asubuhi kitendo cha vifaa kuchelewa na baadhi ya maeneo vilifika saa 4-5 asubuhi wazee wengi hawakuweza kuvumilia hadi muda huo na kuamua kuondoka huku wakiwaacha vijana wakisubiria vifaa.

Kwa mfano huku kwetu wapo vijana waliokuwa wakiwashauri hao wazee waende nyumbani wakapumzike kwani zoezi likianza watawaita ,kumbe ilikuwa mbinu ya kuwaondo kituoni ili kupunguza kura za ccm.

Najua Wakurugenzi haikuwa nia yao ila kwa sababu ilikuwa mpango wa Mungu ndio maana naamini kwamba Mungu aliwapa uzito na uchovu watandaji hao ili lengo litimie .

Kweli nimeamini chadema huwa wana anza na Mungu na kumaliza na Mungu

wakurugenzi walishachoka na ccm wameamua bora wapigwe tu.
 
Kitendo cha wasimamizi wa uchaguzi kuchelewesha vifaa vya kupigia kura kwenda vituoni kimetoa faraja kwa Ukawa kushinda baadhi ya maeneo kiurahisi mno.

Kila mtu anafahamu fika kwamba ccm wateja wao wengi ni wazee , na kimsingi wazee hao waliwahi sana kuja vituoni kuanzia saa 12:00 asubuhi kitendo cha vifaa kuchelewa na baadhi ya maeneo vilifika saa 4-5 asubuhi wazee wengi hawakuweza kuvumilia hadi muda huo na kuamua kuondoka huku wakiwaacha vijana wakisubiria vifaa.

Kwa mfano huku kwetu wapo vijana waliokuwa wakiwashauri hao wazee waende nyumbani wakapumzike kwani zoezi likianza watawaita ,kumbe ilikuwa mbinu ya kuwaondo kituoni ili kupunguza kura za ccm.

Najua Wakurugenzi haikuwa nia yao ila kwa sababu ilikuwa mpango wa Mungu ndio maana naamini kwamba Mungu aliwapa uzito na uchovu watandaji hao ili lengo litimie .

Kweli nimeamini chadema huwa wana anza na Mungu na kumaliza na Mungu
Nanyi mmeanza kuwalalamikia Wakurugenzi?
 
Au ndio maana mabosi wao wanawatisha sana. Mara Ghasia,mara Nape wrote wakilalamikia hao watendaji na kuwatisha kuwachukulia hatua.
 
Kitendo cha wasimamizi wa uchaguzi kuchelewesha vifaa vya kupigia kura kwenda vituoni kimetoa faraja kwa Ukawa kushinda baadhi ya maeneo kiurahisi mno.

Kila mtu anafahamu fika kwamba ccm wateja wao wengi ni wazee , na kimsingi wazee hao waliwahi sana kuja vituoni kuanzia saa 12:00 asubuhi kitendo cha vifaa kuchelewa na baadhi ya maeneo vilifika saa 4-5 asubuhi wazee wengi hawakuweza kuvumilia hadi muda huo na kuamua kuondoka huku wakiwaacha vijana wakisubiria vifaa.

Kwa mfano huku kwetu wapo vijana waliokuwa wakiwashauri hao wazee waende nyumbani wakapumzike kwani zoezi likianza watawaita ,kumbe ilikuwa mbinu ya kuwaondo kituoni ili kupunguza kura za ccm.

Najua Wakurugenzi haikuwa nia yao ila kwa sababu ilikuwa mpango wa Mungu ndio maana naamini kwamba Mungu aliwapa uzito na uchovu watandaji hao ili lengo litimie .

Kweli nimeamini chadema huwa wana anza na Mungu na kumaliza na Mungu

Yaani kumbe hatutafika mbali kwa style hii. Nilijua Kauli Mbiu itakuwa #UKAWA . Sasa ni chadema tu. Kwamba sisi wenzenu nao hatujachangia ushindi huo?

Tunaanza kuona kuwa TULIBAKWA sasa. Lol!
 
Kitendo cha wasimamizi wa uchaguzi kuchelewesha vifaa vya kupigia kura kwenda vituoni kimetoa faraja kwa Ukawa kushinda baadhi ya maeneo kiurahisi mno.

Kila mtu anafahamu fika kwamba ccm wateja wao wengi ni wazee , na kimsingi wazee hao waliwahi sana kuja vituoni kuanzia saa 12:00 asubuhi kitendo cha vifaa kuchelewa na baadhi ya maeneo vilifika saa 4-5 asubuhi wazee wengi hawakuweza kuvumilia hadi muda huo na kuamua kuondoka huku wakiwaacha vijana wakisubiria vifaa.

Kwa mfano huku kwetu wapo vijana waliokuwa wakiwashauri hao wazee waende nyumbani wakapumzike kwani zoezi likianza watawaita ,kumbe ilikuwa mbinu ya kuwaondo kituoni ili kupunguza kura za ccm.

Najua Wakurugenzi haikuwa nia yao ila kwa sababu ilikuwa mpango wa Mungu ndio maana naamini kwamba Mungu aliwapa uzito na uchovu watandaji hao ili lengo litimie .

Kweli nimeamini chadema huwa wana anza na Mungu na kumaliza na Mungu
Loooh umenichekesha SANA... eti wakapumzike watawaita..
Duuuu
 
Back
Top Bottom