Rabonn
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 5,733
- 10,928
This is so wonderful news.I have been coding a system ambapo natakiwa ku incorporate payments online basi nikawa navurugwa kabisaa kila nikiwaza urasimu wa kuanza kufuatilia na kupata API kwa ajil ya hii kitu.
Ahsante kwa taarifa hii naona kwangu imekuja muda mahsus kabisa.
Please nisaidie mwongozo wa ku utilize hiyo kitu.
Natanguliza shukran
Ahsante kwa taarifa hii naona kwangu imekuja muda mahsus kabisa.
Please nisaidie mwongozo wa ku utilize hiyo kitu.
Natanguliza shukran