Kichochoro
JF-Expert Member
- Jul 18, 2017
- 1,135
- 1,163
Binafsi bila kuwa na kinyongo kati ya Mawaziri niliotokea kuwakubali utendaji kazi wao huyu Ummy Mwalimu anafaa kuendelea kuwa Waziri hasa wizara hyo aliyekuwa anaiongoza.
Ummy Mwalimu hakutetereka katika kuelimisha kuhusa afya hasa katika kupambana na ugonjwa wa Corona.
Nataman siku moja kumuona akiwa Waziri Mkuu au Spika wa Bunge!
Hongera Sana Ummy Mwalimu ulichapa kazi bila kutugawa watanzania
Nakuombea kwa Mungu akupe maisha marefu!
Ummy Mwalimu hakutetereka katika kuelimisha kuhusa afya hasa katika kupambana na ugonjwa wa Corona.
Nataman siku moja kumuona akiwa Waziri Mkuu au Spika wa Bunge!
Hongera Sana Ummy Mwalimu ulichapa kazi bila kutugawa watanzania
Nakuombea kwa Mungu akupe maisha marefu!