Hata mkituletea magonjwa ili kuua soko letu tuwaangalie tu?Tuache kutia vifaranga viberiti na kukamata ng'ombe na kuwapiga minada, nina uhakika kuna jinsi ya kurekebisha wakati kuna matatizo yoyote, sio kuchukua hatua za chuki na mihemko.
MK254,
Hapa MK254 unatuangusha kama Great Thinker wa JamiiForums. Suala la vifaranga waliosafirishwa bila kufuta utaratibu, viwango vya chanjo/afya/magonjwa/ kuhamisha mifugo na kuku ili kuepusha magonjwa kwa binadamu na mifugo ni suala nyeti na halina mzaha.