Hizo Ni wall tiles au ni ukutaSalaam
Hili jengo ndiyo lile jengo alilosaini mkataba wa ujenzi Tundu Lissu akiwa Rais wa TLS. Sasa lipo katika hatua za mwisho karibia mawakili wanahamia kwenye jengo lao.
Asante Tundu Lissu
Asante Godwin Ngwilimi
Asante Fatma Karume
Asante Dk Rugemeleza
View attachment 1131787
Ulitaka Mambo ya chato yafanyike na Singida,tuwe na Singida national park.Ahhhhhh anza na jimboni kwake
Binafsi sintashangaazuri Ila wataambiwa hilo jengo liko barabarani hivyo kutakiwa kubomolewa!😢
HeheheBinafsi sintashangaa
We mwenyew mpuuzi tuJENGO ALILOJENGA LISSU???
Ni upotishaji mtupu na kujazana sifa za kipuuzi.
Hivi, lile la TANESCO Ubungo lilishabomolewa..!? Maana naikumbuka ile ya mkuuzuri Ila wataambiwa hilo jengo liko barabarani hivyo kutakiwa kubomolewa!😢
Hivi, lile jengo la TANESCO Ubungo lilishabomolewa..!? Maana naikumbuka ile mbwembwe ya mkuuzuri Ila wataambiwa hilo jengo liko barabarani hivyo kutakiwa kubomolewa!😢
Kwapamoja tumpigie kura zetu kwamaendele ya leo na vizaji vijavyo NiyeyeSalaam
Hili jengo ndiyo lile jengo alilosaini mkataba wa ujenzi Tundu Lissu akiwa Rais wa TLS. Sasa lipo katika hatua za mwisho karibia mawakili wanahamia kwenye jengo lao.
Asante Tundu Lissu
Asante Godwin Ngwilimi
Asante Fatma Karume
Asante Dk Rugemeleza
View attachment 1131787
Barabara alizojenga Magufuli, ni yale yale.JENGO ALILOJENGA LISSU???
Ni upotishaji mtupu na kujazana sifa za kipuuzi.