Izack Mwanahapa
JF-Expert Member
- Apr 21, 2011
- 497
- 236
Nimefurahishwa sana na taarifa ya habari ya leo iliyorushwa na TBC1, wameonyesha demokrasia ya hali ya juu kwa kufanya coverage nzuri kwenye kampeni za vyama vya upinzani hasa CDM, ni mara chache sana jambo kama hili kutokea. Hongereni tunaomba jitihada hizo ziendelee. japo hatutegemei mhariri wa leo kuhamishwa kitengo.