baina
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 219
- 59
Katika hali isiyo kuwa ya kawaida nchi ya Tanzania sasa yapata miaka 47 tangu 1964 ikiwa inatawaliwa na marais wawili wote wakiwa ndani ya nchi moja na wakielewana na kupanga pamoja tofauti na kodivaa kwa Bagbo.
Naomba mnisamehe wana JF nina swali;
Huu ni muungano au ushikaji?
Naomba mnisamehe wana JF nina swali;
Huu ni muungano au ushikaji?