Hongera Sugu kwa kurudisha furaha yako

MLA PANYA SWANGA

JF-Expert Member
Jul 31, 2015
5,159
5,399
Nachukua nafasi hii kukupongeza wewe mh.Sugu mbunge wa mbeya mjini kwa kumpata mama yako atakayejua unakula nini,unalala wapi,unavaa nguo gani na kujua ulipo kila wakati.

Nina imani mwanzoni ulizoa mwanamke wa kuzoa ukasahau kuwa wenzako wanachagua wakati wa kuoa huenda ulikuwa utoto sasa umekua.Mungu akubariki na akutie nguvu kuu ktk maisha yako mapya.
Hakika hafla yako ilifana mno ktk kanisa lako la katoliki parokia ya mwanjelwa jijini Mbeya.


Ndoa yako na iheshimiwe na watu wote ,Amina.
 
Yaani hata kapicha ka bibi harusi umekosa?
Au we ni team Faiza!
Umenifanya nifurahi sana.
IMG-20190901-WA0004.jpeg
 
Means ALIKUWA HAJAOA AU WALISEPARETI? NINI KILITOKEA KWANI?
Huyu mwanamke kamtesa sugu balaa yaani ni pasua kichwa walikuwa wanashinda mahakamani alimdhalilisha sugu kila kona.
Aliwahi kutupia picha mtandaoni za namna alivyokuwa anajifungua kwa ufupi huyu mama ni sampuli za Ambarutu.
Kichwa cha faiza kinasoma ant clockwise kabisa.
 
Naunga mkono hoja,Mwenyezi Mungu akaifanye ndoa yao itawaliwe na amani,upendo siku zote na kama yupo aliyeumia kwa muungano wao akapone haraka....Amen
..........na kama yupo aliyeumia kwa muungano wao akapone haraka..........
Joanah humhurumii Faiza.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom