Hongera Startimes kwa la Liga

Hongera wenye startimes hakika mtafaidi, mimi nasikitika kwa Azam kuachana na La Liga yenye ushindani na kwenda ligi ya timu moja Bundesliga
 
Hongera wenye startimes hakika mtafaidi, mimi nasikitika kwa Azam kuachana na La Liga yenye ushindani na kwenda ligi ya timu moja Bundesliga

Azam waongo! Eti sababu ya kuachana na Laliga ni kwa sababu ya kupoteza mvuto baada ya Ronaldo kuhamia Juventus!!

Si wangesema tu ukweli kama walishindwa kufikia dau la kurusha mechi za hiyo ligi!! Bundesliga haina kabisa mvuto. Laliga ilishazoeleka kwa watazamaji.
 
Azam waongo! Eti sababu ya kuachana na Laliga ni kwa sababu ya kupoteza mvuto baada ya Ronaldo kuhamia Juventus!!

Si wangesema tu ukweli kama walishindwa kufikia dau la kurusha mechi za hiyo ligi!! Bundesliga haina kabisa mvuto. Laliga ilishazoeleka kwa watazamaji.

Awa azam wakionesha game ya usiku yaani unaishia kuumia macho wanashindwa ata kubalance mwanga.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom