Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zanzibar ilipata uhuru lini? Maana Tanzania na Zanzibar ziliungana 1964?
Ni kweli kwamba uhuru huu wa 1961 ni wa Tanganyika. Neno Tanzania au Tanzania bara lilikuja baadae mwaka 1964 baada ya kuungana na zanzibar. Lakini vilevile TBC waweza kuwa sahihi kwani baada ya muungano, Tanganyika ilibadilika na kuitwa Tanzania bara.
hapana Zanzibar ilipata Uhuru wake 12.01.1964 hiyo tarehe unayoitaja wewe ni uhuru wa Mwarabu na watwana wakeZanzibar ilipata uhuru wake tarehe 10 December 1963.
huwa nawakubali.