Kaka mimi tokea juzi dr slaa ,mnyika na lema watangaze kwamba wametishiwa kuuwawa na itv kutokurusha ile habari nimehamia rasmi star tv na mlimani tv ..tena mbaya zaidi na siku zilizofuata wakahojiwa police central pia itv ikaona hiyo nayo sio habari sasa nimehama rasmi na sitorudi nyuma,nawahamasisheni na wadau wengine njooni huku mupate habari za uhakika na za kuaminika
Kikwetu "Semnyoo" ni tusi..."mnyoo=sehemu ya haja kubwa,halafu "Se" huwakilisha mwanamke kama vile "she" ktk English....e.g Mgimwa..akiwa mwanamke Se-Mgimwa wakati mwanaume ni Mwa-Mgimwa!sa ukisema Semnyoo unataka kunambia kuna Mwa-Mnyoo!duh JF BANA kuniaminisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.