Developer IOS
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 1,457
- 1,409
Habari wakuu,Kwa siku za nyuma heshima ya bunge letu ilishuka sana kitu ambacho kilishushia hadhi sana muhimili huo mkubwa sana katika nchi yetu.Tulishuhudia vituko vingi sana katika bunge la awamu iliyopita tulishuhudia jinsi gani kiti cha spika kilivyodharauriwa.Wabunge hawakuheshimu kabisa bunge letu na kufanya bunge sio mahali patakatifu sana wakaanza kutafuta kiki kwa kufanya vurugu ikapelekea hadi kupigana kabisa bungeni.
Wasanii nao hawakuwa nyuma kuonyesha jinsi gani bunge letu lilivyokosa heshima.Nakumbuka mistari michache ya roma "bunge ni bongo muvi njooni tuitazame tamthilia wabunge wanashuka hadhi kwa kugeuka mabondia". akuhishia hapo akajiuliza kuna wabunge wanaivuta bangi ya wapi.
Lakini spika ndugai amekuja kubadili na kuondoa ujinga wote na uhuni wote uliokuwa unalishushia hadhi bunge letu tukufu.Hongera ndugai kwa kurudishia utukufu thamani na heshima bunge letu.Kweli sasa hivi bunge limekuwa mahali patakatifu kweli
Wasanii nao hawakuwa nyuma kuonyesha jinsi gani bunge letu lilivyokosa heshima.Nakumbuka mistari michache ya roma "bunge ni bongo muvi njooni tuitazame tamthilia wabunge wanashuka hadhi kwa kugeuka mabondia". akuhishia hapo akajiuliza kuna wabunge wanaivuta bangi ya wapi.
Lakini spika ndugai amekuja kubadili na kuondoa ujinga wote na uhuni wote uliokuwa unalishushia hadhi bunge letu tukufu.Hongera ndugai kwa kurudishia utukufu thamani na heshima bunge letu.Kweli sasa hivi bunge limekuwa mahali patakatifu kweli