nkosiyamakosini
Member
- Nov 4, 2010
- 83
- 2
nakupa hongera zangu sana daktari, kwa kudhihirisha umahiri wako kisiasa, kwa watanzania, specifically wanachadema. wakati tumeshampata sasa rais wa tanzania, ni matumaini yangu basi wewe, wanachadema na watanzania wote, tutatumia nguvu zilezile kuleta maendeleo ya kweli nchini. kinyume chake ni usaliti kwa taifa letu na utakua 'condemned to the gallows', wasukuma wanasema hivi
'Ngosha Kucha Alile'
yaani mwanaume shujaa ni yule anaekufa amekula, pls RIP in this 2010 general elections
thanks
'Ngosha Kucha Alile'
yaani mwanaume shujaa ni yule anaekufa amekula, pls RIP in this 2010 general elections
thanks