Round ya kwanza ya makundi Simba waliingiza mchezaji mmoja kwenye kikosi cha wiki cha CAF champion league hatua ya makundi. Round hiyo alikua Tadeo Lwaga.
Round ya pili imeingiza Wachezaji wawili Joash Onyango (the poison) na Luis Miquissone (the conde boy). Hii ni hatua nzuri sana kwa Wachezaji wa Simba kuendelea kupambana ndani ya uwanja. Kama haitoshi Luis Miquissone ameingia kuwania tunzo ya mchezaji bora wa wiki wa CAF champions league wiki ya pili. Wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa wiki ni Luis Miquissone (Simba), Mualid Ellafi (Wydad), Obed Mayamba (As Vita) na Themba Zwane (Mamelod).
Hongera Luis Miquissone, hongera Joash Onyango, Hongera Simba Tanzania.
(Simba Nguvu moja)
Round ya pili imeingiza Wachezaji wawili Joash Onyango (the poison) na Luis Miquissone (the conde boy). Hii ni hatua nzuri sana kwa Wachezaji wa Simba kuendelea kupambana ndani ya uwanja. Kama haitoshi Luis Miquissone ameingia kuwania tunzo ya mchezaji bora wa wiki wa CAF champions league wiki ya pili. Wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa wiki ni Luis Miquissone (Simba), Mualid Ellafi (Wydad), Obed Mayamba (As Vita) na Themba Zwane (Mamelod).
Hongera Luis Miquissone, hongera Joash Onyango, Hongera Simba Tanzania.
(Simba Nguvu moja)