Hongera Serikali yetu, kuwatosa Acacia kwa kutowatambua huu ndio uanaume!. acacia kula jeuri yake, faces hostile take over, soon itakuwa kwishney!.

hali iliyoilazimu Barrick kutoa offer ya hostile take over kwa Acacia kuzinunua hisa zote za Acacia, ambazo hazimilikiwa na Barrick, itake isitake, hivyo kuimeza rasmi Acacia kuwa sehemu ya Barrick. na wana hisa wote wa Acacia wamepewa offer ya kuwa wanahisa wa Barrick.
Nilivyoelewa (mnaweza kunisahihisha) Barrick ndiye majority shareholder katika Acacia hivyo yote yanayotendwa na Acacia Barrick wamo. Sasa kama wanahisa wote wa Acacia wamepewa offer ya kuwa wanahisa Barrick na Acacia kumezwa na Barrick kwangu naona ni sawa na kugeuza baadhi ya viti badala ya kuangalia upande huu vina angalia upande ule. Yaani watu kwa ujumla ni wale wale hata kama management itabadilika. ACACIA ISINGEKUWA SEHEMU YA BARRICK SIONI BARRICK WANGEPATA WAPI JEURI YA KUFANYA MAZUNGUMZO NA SERIKALI YA TANZANIA BILA KUHUSIKA KWA ACACIA. Kuna mchezo hapa umesha chezwa. Kikubwa wanaume hawa wameshusha madai toka $190B hadi $300M potelea mbali kama katika kufanya hivyo ACACIA itapotea kinamna na sasa BARRICK kwa jina lingine lolote lile wataendelea na shughuli zao Tanzania. Sisi tunaendelea kuwalani ACACIA lakini ukweli ni kwamba BARRICK wametunyonga kiaina. Sio mtaalam wa biashara au sheria lakini hii "take-over" nasita kuuita hostile labda uiite FRIENDLY or FAMILY takeover (Baba amabaye ndiye shareholder mkubwa (majority) anammeza mwanawe wakati huo huo yeye mwenyewe akiwa ndani ya mwanawe huyo). Paskali hapa nani anakula jeuri yake? Je hii ndiyo win win situation?
 
Nilivyoelewa (mnaweza kunisahihisha) Barrick ndiye majority shareholder katika Acacia hivyo yote yanayotendwa na Acacia Barrick wamo. Sasa kama wanahisa wote wa Acacia wamepewa offer ya kuwa wanahisa Barrick na Acacia kumezwa na Barrick kwangu naona ni sawa na kugeuza baadhi ya viti badala ya kuangalia upande huu vina angalia upande ule. Yaani watu kwa ujumla ni wale wale hata kama management itabadilika. ACACIA ISINGEKUWA SEHEMU YA BARRICK SIONI BARRICK WANGEPATA WAPI JEURI YA KUFANYA MAZUNGUMZO NA SERIKALI YA TANZANIA BILA KUHUSIKA KWA ACACIA.
Kampuni inapokuwa public/private limited company kisheria wenye mali sio sehemu ya kampuni (in terms of liability) wala awahusiki na uendeshwaji wa kila siku, wao wanapokea gawio tu.

Kwa ivyo kuna utaratibu kabla ya kusajiliwa lazima upeleke document mbili moja wapo ni 'article of association' hii inatoa maelezo jinsi kampuni itakavyoendeshwa kila siku, namna mchakato wa kupata management utakavyokuwa na nguvu za management katika maamuzi.

Sasa inategemea article inasemaje, Barrick anaweza kuja kuongea na serikari kwa sababu yeye ndio ana maslahi mapana kama serikari ikiamua kumsikiliza lakini hana maamuzi ya kuamuru management ya Accacia ifanye nini kutokana na mamlaka waliyopewa na article of association. Ndio maana management ya Accacia inaweza dai aija shirikishwa kwenye negotiations pengine hayo mamlaka wamekabidhiwa wao ya kuamua strategic directions na sio shareholders.

As a majority shareholder Barrick na wao wanaweza tumia mbinu zingine kubadili management moja wapo kisheria kunapokuwa na mgogoro na management maamuzi ya wengi ushinda iwapo mmoja tu ana 51% hiyo inaitwa control stake na Barrick wana 65% with that there are lot of things they can do including forcing a takeover wao ndio wenye kuamua as a majority shareholders kama kampuni iuzwe.
 
Wanabodi,

Kati ya vifo vyote vya biashara, kifo kibaya kabisa ninaitwa "hostile take over", ambapo biashara inakabwa koo kwa kunyongwa hadi kufa bila kutaka kwa kuuzwa juu kwa juu. Kifo hiki ndicho kinakwenda kuikuta kampuni ya Acacia, Hongera sana kwa Serikali Yetu, Kuwatosa rasmi Acacia Kwa kuandika barua rasmi za kutowatambua, kutakakopelekea kifo rasmi cha Acacia, Huu Ndio Uanaume!. Haiwezekani madini yetu, Tanzania inazungumza na Baba Mtu, Barrick, halafu wewe mtoto tuu, Acacia kila siku ni kuleta nyodo. Sasa Acacia Itakula Jeuri Yake, it Faces a Hostile Take Over from Barrick, and Soon Itakuwa Kwishney!. A thing of the past, a history!.

Tangu kutokea mgogoro wa makinikia ya Acacia, kwanza tulipongeza hatua ya rais Magufuli kuuzuia mchanga wa makinikia Kuzuia Mchanga wa Dhahabu, Magufuli Anastahili Pongezi. Tusiishie ...

Baada ya kuzuiliwa kwa mchanga, Rais Magufuli akaunda Tume zake mbili, zikamletea ripoti zake mbili, baada ya kushuhudia live presentation ya tume ya pili, nilitoa opinion yangu Sensationalism kwenye Professional Presentations inakubalika? Ni ...

Ripoti za tume hizo zikaosnyesha kuwa siku zote, tumekuwa tukiibiwa, TRA wakaja na bili ya ajabu ya deni ya Dola Bilioni 190 US $ sawa na TZS 424 trilioni kwa fedha za madafu, kuhusu deni hili, sisi wachumi wa Sultani Mangungo wa Msovero ya JF, tukamweleza rais wetu kuwa anadanganywa na kumsihi asidanganyike.
Maendeleo ya kweli TZ Yataletwa na Elimu na Ukweli. Tusidanganye ...

Baada ya deni hilo kuwekwa wazi, Acacia wakatugomea kuwa hawadaiwi na hawalipi. Baba wa Acacia, Barrick akaingilia kati kwa Mwenyekiti wao kuja nchini kuonana na rais Magufuli na kukubali kuwa watalipa, hivyo mazungumzo yakaanza.

Maungumzo yakaisha rasmi na tukatangaziwa makubaliano, kikiwemo sisi kulipwa dola milioni 300 za kuonyeshea nia njema ya kulipa. Katika makubaliano hayo Barrick alionyesha kuwa makubaliano hayo yatatekelezwa baada ya kukubali na Acacia.

Acacia kwanza akatoa taarifa kuwa hayatambui makubaliano hayo kwa vile hakushirikishwa, Hivi Hawa Acacia Wana Adabu Kweli?, Baba Akiishasema Kitu, Mtoto ...lakini siku chache baadae akatoa taarifa ya kukubali kila kitu.
Habari Njema Kutoka Acacia: Wakubali Kila Kitu Ikiwemo Kulipa ...

Sisi wahojaji tukaendelea kuhoji sio tuu uwezo wa Acacia kulipa deni letu la dola bilioni 190, bali hata uwezo Acacia kulipa tuu hata hizo dola milioni 300 za goodwill. Dola milioni 300, siku 90, sentano kipande haijalipwa! acacia ...
Pia tukahoji, kama Acacia ndio determinant wa kutulipa, kwa nini hakushirikishwa kwenye mazungumzo?. Je, wajua kuwa mazungumzo yetu na Barrick ni mazungumzo tu? Mwenye ...

Mapendekezo ya makubaliano ya mwisho yalitolewa na Barrick kuwa sasa Acacia watalipa ile dola milioni 300 tuu na deni lote la dola bilioni 190, tukasamehe, Acacia akaibuka na kuikana Barick kuwa wao hawajui chochote kwa vile hawakushirikishwa, hivyo wanasubiri taarifa rami ya Barrick ndipo watangaze uamuzi. Acacia Yaikana Barrick Mchana Kweupe!. Yatoa Press Release na ...

Acacia wakaibuka kuwa bado hawajapewa makubaliano. Kwanini Mapendekezo ya Makubaliano yetu na Barrick bado hayajafika ...

Siku ya Jumapili, tarehe 19th May 2019, serikali yetu ikafunga kazi!, licha ya kuwa ni Jumapili, sio siku ya kazi, huwezi kuandika barua za kiserikali siku ya Jumapili, lakini kwa serikali ya Magufuli ya Hapa Kazi Tuu, hakuna cha Jumapili wala sikukuu, ni kazi tuu, ikitokea kazi ya urgency kama hizi barua za kutoitambua Acacia, serikali yetu inaingia kazini, Jumapili ya juzi, serikali imeingia kazini, imeziandikia barua migodi ya Bulyanhulu Gold Mine Limited, North Mara Gold Mine Limited na Pangea Minerals Limited, kuwaeleza kuwa hawaitambui Acacia, hali iliyoilazimu Barrick kutoa offer ya hostile take over kwa Acacia kuzinunua hisa zote za Acacia, ambazo hazimilikiwa na Barrick, itake isitake, hivyo kuimeza rasmi Acacia kuwa sehemu ya Barrick. na wana hisa wote wa Acacia wamepewa offer ya kuwa wanahisa wa Barrick. Kwa Tanzania Hostile take over iliwahi kutokea kwa kiwanda cha Bia cha Kibo kule Moshi. Tofauti ya hostile take over ile na hii, migodi ya Bulyanhulu Gold Mine Limited, North Mara Gold Mine Limited na Pangea Minerals Limited, itaendelea kuwepo, hakuna atakayepoteza kazi na uzalishaji unaendelea, kitakachokufa ni Avavia tuu, nafasi yake inavhukuliwa na Barrick, everything else stays the same.

Kitendo hiki kilichofanywa na serikali yetu kui disown Acacia ni kitendo cha kishujaa sana na huu ndio uanamme. Haiwezekani madini yetu, mtu anayetambulika nchini kama ni mmiliki ni Barrick kupitia Bulyanhulu Gold Mine Limited, North Mara Gold Mine Limited na Pangea Minerals Limited, huyu Acacia ni mtu wa kuja tuu, hatambuliwi halafu analeta nyodo kibao.
Barua hizo za serikali, zimepelekea leo Acacia na Barrick kutoa press release hizi
.

Japo Acacia ni mtoto wa Barrick, huyu ni mwana mkaidi, kama kawaida ya mwana mkaidi hafaidi mpaka siku ya iddi, hivyo siku ya Iddi ya Acacia imewadia. Funzo tunalolipata hapa ni siku zote
kiburi sii maungwana. Acacia alikuwa jeuri, sasa anakula jeuri yake, soon Acacia itabaki kuwa ni historia, kwishney.

Jumatano Njema.
Paskali
Namba moja: Purpose ya kuunda Acacia ilikuwa nini? Kwanza acacia ilikuwa Barrick Gold; baada ya investors kuwa wanasita kuinvest na kulalamika sana assets za Barrick zisihusishwe na Africa au wasiinvest Africa acacia iliundwa.

Namba mbili: Acacia ni 100% owned wa Barrick. Acacia ni Barrick utatenganishaje Directors wa Barrick na wa Acacia. Wako approved na Barrick

Namba tatu: Kiini macho Barrick not exposed to its investors. Acacia wanafanya yote hayo kwa maagizo. Mkishindwa mimi baba nitaingia. Barrick is safe, all the faults we Acacia’s.

Conclusion: wait and see, but now Barrick will negotiate as Barrick. All the mistakes were done by Acacia.

Nia Yao ya kuanzisha Acacia kweli imefanikiwa
 
Wanabodi,

Kati ya vifo vyote vya biashara, kifo kibaya kabisa ninaitwa "hostile take over", ambapo biashara inakabwa koo kwa kunyongwa hadi kufa bila kutaka kwa kuuzwa juu kwa juu. Kifo hiki ndicho kinakwenda kuikuta kampuni ya Acacia, Hongera sana kwa Serikali Yetu, Kuwatosa rasmi Acacia Kwa kuandika barua rasmi za kutowatambua, kutakakopelekea kifo rasmi cha Acacia, Huu Ndio Uanaume!. Haiwezekani madini yetu, Tanzania inazungumza na Baba Mtu, Barrick, halafu wewe mtoto tuu, Acacia kila siku ni kuleta nyodo. Sasa Acacia Itakula Jeuri Yake, it Faces a Hostile Take Over from Barrick, and Soon Itakuwa Kwishney!. A thing of the past, a history!.

Tangu kutokea mgogoro wa makinikia ya Acacia, kwanza tulipongeza hatua ya rais Magufuli kuuzuia mchanga wa makinikia Kuzuia Mchanga wa Dhahabu, Magufuli Anastahili Pongezi. Tusiishie ...

Baada ya kuzuiliwa kwa mchanga, Rais Magufuli akaunda Tume zake mbili, zikamletea ripoti zake mbili, baada ya kushuhudia live presentation ya tume ya pili, nilitoa opinion yangu Sensationalism kwenye Professional Presentations inakubalika? Ni ...

Ripoti za tume hizo zikaosnyesha kuwa siku zote, tumekuwa tukiibiwa, TRA wakaja na bili ya ajabu ya deni ya Dola Bilioni 190 US $ sawa na TZS 424 trilioni kwa fedha za madafu, kuhusu deni hili, sisi wachumi wa Sultani Mangungo wa Msovero ya JF, tukamweleza rais wetu kuwa anadanganywa na kumsihi asidanganyike.
Maendeleo ya kweli TZ Yataletwa na Elimu na Ukweli. Tusidanganye ...

Baada ya deni hilo kuwekwa wazi, Acacia wakatugomea kuwa hawadaiwi na hawalipi. Baba wa Acacia, Barrick akaingilia kati kwa Mwenyekiti wao kuja nchini kuonana na rais Magufuli na kukubali kuwa watalipa, hivyo mazungumzo yakaanza.

Maungumzo yakaisha rasmi na tukatangaziwa makubaliano, kikiwemo sisi kulipwa dola milioni 300 za kuonyeshea nia njema ya kulipa. Katika makubaliano hayo Barrick alionyesha kuwa makubaliano hayo yatatekelezwa baada ya kukubali na Acacia.

Acacia kwanza akatoa taarifa kuwa hayatambui makubaliano hayo kwa vile hakushirikishwa, Hivi Hawa Acacia Wana Adabu Kweli?, Baba Akiishasema Kitu, Mtoto ...lakini siku chache baadae akatoa taarifa ya kukubali kila kitu.
Habari Njema Kutoka Acacia: Wakubali Kila Kitu Ikiwemo Kulipa ...

Sisi wahojaji tukaendelea kuhoji sio tuu uwezo wa Acacia kulipa deni letu la dola bilioni 190, bali hata uwezo Acacia kulipa tuu hata hizo dola milioni 300 za goodwill. Dola milioni 300, siku 90, sentano kipande haijalipwa! acacia ...
Pia tukahoji, kama Acacia ndio determinant wa kutulipa, kwa nini hakushirikishwa kwenye mazungumzo?. Je, wajua kuwa mazungumzo yetu na Barrick ni mazungumzo tu? Mwenye ...

Mapendekezo ya makubaliano ya mwisho yalitolewa na Barrick kuwa sasa Acacia watalipa ile dola milioni 300 tuu na deni lote la dola bilioni 190, tukasamehe, Acacia akaibuka na kuikana Barick kuwa wao hawajui chochote kwa vile hawakushirikishwa, hivyo wanasubiri taarifa rami ya Barrick ndipo watangaze uamuzi. Acacia Yaikana Barrick Mchana Kweupe!. Yatoa Press Release na ...

Acacia wakaibuka kuwa bado hawajapewa makubaliano. Kwanini Mapendekezo ya Makubaliano yetu na Barrick bado hayajafika ...

Siku ya Jumapili, tarehe 19th May 2019, serikali yetu ikafunga kazi!, licha ya kuwa ni Jumapili, sio siku ya kazi, huwezi kuandika barua za kiserikali siku ya Jumapili, lakini kwa serikali ya Magufuli ya Hapa Kazi Tuu, hakuna cha Jumapili wala sikukuu, ni kazi tuu, ikitokea kazi ya urgency kama hizi barua za kutoitambua Acacia, serikali yetu inaingia kazini, Jumapili ya juzi, serikali imeingia kazini, imeziandikia barua migodi ya Bulyanhulu Gold Mine Limited, North Mara Gold Mine Limited na Pangea Minerals Limited, kuwaeleza kuwa hawaitambui Acacia, hali iliyoilazimu Barrick kutoa offer ya hostile take over kwa Acacia kuzinunua hisa zote za Acacia, ambazo hazimilikiwa na Barrick, itake isitake, hivyo kuimeza rasmi Acacia kuwa sehemu ya Barrick. na wana hisa wote wa Acacia wamepewa offer ya kuwa wanahisa wa Barrick. Kwa Tanzania Hostile take over iliwahi kutokea kwa kiwanda cha Bia cha Kibo kule Moshi. Tofauti ya hostile take over ile na hii, migodi ya Bulyanhulu Gold Mine Limited, North Mara Gold Mine Limited na Pangea Minerals Limited, itaendelea kuwepo, hakuna atakayepoteza kazi na uzalishaji unaendelea, kitakachokufa ni Avavia tuu, nafasi yake inavhukuliwa na Barrick, everything else stays the same.

Kitendo hiki kilichofanywa na serikali yetu kui disown Acacia ni kitendo cha kishujaa sana na huu ndio uanamme. Haiwezekani madini yetu, mtu anayetambulika nchini kama ni mmiliki ni Barrick kupitia Bulyanhulu Gold Mine Limited, North Mara Gold Mine Limited na Pangea Minerals Limited, huyu Acacia ni mtu wa kuja tuu, hatambuliwi halafu analeta nyodo kibao.
Barua hizo za serikali, zimepelekea leo Acacia na Barrick kutoa press release hizi
.

Japo Acacia ni mtoto wa Barrick, huyu ni mwana mkaidi, kama kawaida ya mwana mkaidi hafaidi mpaka siku ya iddi, hivyo siku ya Iddi ya Acacia imewadia. Funzo tunalolipata hapa ni siku zote
kiburi sii maungwana. Acacia alikuwa jeuri, sasa anakula jeuri yake, soon Acacia itabaki kuwa ni historia, kwishney.

Jumatano Njema.
Paskali
Mkuu unakumbuka usemi wajinga ndio waliwao
Mzungu mjanja hawezi kumtosa mwenzake
It's a Game
Watch out!
 
Ukiona hivyo jamaa wamegoma kutoa hela za uchaguzi, halafu uchaguzi umeshafika na maji yako shingoni.

kifupi Barick na Acacia lote lao moja kuna kamchezo wanacheza sasa, na wanachelewa makusudi ili jiwe acheze rafu waende mahakamani, wakwalipwe mabilioni, wao wanaangalia mkataba unasemaje basi hayo mengine ni mbwembwe tu.
 
Kishika uchumba chetu $ 300 mil Barrick watatulipa sasa bila kisingizio sasa, ila ujue Barrick wahuni sana
Mkuu siyo Barrick wala Accacia anaetunisha misuri,wapo key player within vigogo wa nchi wanao cheza hii chess.
Wanajua any movement ya Magu.
Accacia au Barrick sio shida,shida ni wale waliongia nao mkataba mahotelini huko ughaibuni.Kinachofanyika sasa ni kurefusha muda wamajadiliano ikiwa ni faida kwa Accacia na Barrick,na ni hasara kwa Magufuli anaetaka pesa kwa kuendeleza standard gauge.
 
Mk
Mkuu siyo Barrick wala Accacia anaetunisha misuri,wapo key player within vigogo wa nchi wanao cheza hii chess.
Wanajua any movement ya Magu.
Accacia au Barrick sio shida,shida ni wale waliongia nao mkataba mahotelini huko ughaibuni.Kinachofanyika sasa ni kurefusha muda wamajadiliano ikiwa ni faida kwa Accacia na Barrick,na ni hasara kwa Magufuli anaetaka pesa kwa kuendeleza standard gauge.
Sio ni hela ya uchaguzi sio unajua gambas bila kuhonga hakuna kinachofanyika, hivi kweli unafikili wanakajari hili njia ya reli? wao mimacho yao yote ni namna gani watashinda uchaguzi, kuiba sawa ila wanataka wakufanye kuiba kirahisi, sasa bila kuhonga watu inakuwa itakuwa ngumu.
 
Wanabodi,

Kati ya vifo vyote vya biashara, kifo kibaya kabisa ninaitwa "hostile take over", ambapo biashara inakabwa koo kwa kunyongwa hadi kufa bila kutaka kwa kuuzwa juu kwa juu. Kifo hiki ndicho kinakwenda kuikuta kampuni ya Acacia, Hongera sana kwa Serikali Yetu, Kuwatosa rasmi Acacia Kwa kuandika barua rasmi za kutowatambua, kutakakopelekea kifo rasmi cha Acacia, Huu Ndio Uanaume!. Haiwezekani madini yetu, Tanzania inazungumza na Baba Mtu, Barrick, halafu wewe mtoto tuu, Acacia kila siku ni kuleta nyodo. Sasa Acacia Itakula Jeuri Yake, it Faces a Hostile Take Over from Barrick, and Soon Itakuwa Kwishney!. A thing of the past, a history!.

Tangu kutokea mgogoro wa makinikia ya Acacia, kwanza tulipongeza hatua ya rais Magufuli kuuzuia mchanga wa makinikia Kuzuia Mchanga wa Dhahabu, Magufuli Anastahili Pongezi. Tusiishie ...

Baada ya kuzuiliwa kwa mchanga, Rais Magufuli akaunda Tume zake mbili, zikamletea ripoti zake mbili, baada ya kushuhudia live presentation ya tume ya pili, nilitoa opinion yangu Sensationalism kwenye Professional Presentations inakubalika? Ni ...

Ripoti za tume hizo zikaosnyesha kuwa siku zote, tumekuwa tukiibiwa, TRA wakaja na bili ya ajabu ya deni ya Dola Bilioni 190 US $ sawa na TZS 424 trilioni kwa fedha za madafu, kuhusu deni hili, sisi wachumi wa Sultani Mangungo wa Msovero ya JF, tukamweleza rais wetu kuwa anadanganywa na kumsihi asidanganyike.
Maendeleo ya kweli TZ Yataletwa na Elimu na Ukweli. Tusidanganye ...

Baada ya deni hilo kuwekwa wazi, Acacia wakatugomea kuwa hawadaiwi na hawalipi. Baba wa Acacia, Barrick akaingilia kati kwa Mwenyekiti wao kuja nchini kuonana na rais Magufuli na kukubali kuwa watalipa, hivyo mazungumzo yakaanza.

Maungumzo yakaisha rasmi na tukatangaziwa makubaliano, kikiwemo sisi kulipwa dola milioni 300 za kuonyeshea nia njema ya kulipa. Katika makubaliano hayo Barrick alionyesha kuwa makubaliano hayo yatatekelezwa baada ya kukubali na Acacia.

Acacia kwanza akatoa taarifa kuwa hayatambui makubaliano hayo kwa vile hakushirikishwa, Hivi Hawa Acacia Wana Adabu Kweli?, Baba Akiishasema Kitu, Mtoto ...lakini siku chache baadae akatoa taarifa ya kukubali kila kitu.
Habari Njema Kutoka Acacia: Wakubali Kila Kitu Ikiwemo Kulipa ...

Sisi wahojaji tukaendelea kuhoji sio tuu uwezo wa Acacia kulipa deni letu la dola bilioni 190, bali hata uwezo Acacia kulipa tuu hata hizo dola milioni 300 za goodwill. Dola milioni 300, siku 90, sentano kipande haijalipwa! acacia ...
Pia tukahoji, kama Acacia ndio determinant wa kutulipa, kwa nini hakushirikishwa kwenye mazungumzo?. Je, wajua kuwa mazungumzo yetu na Barrick ni mazungumzo tu? Mwenye ...

Mapendekezo ya makubaliano ya mwisho yalitolewa na Barrick kuwa sasa Acacia watalipa ile dola milioni 300 tuu na deni lote la dola bilioni 190, tukasamehe, Acacia akaibuka na kuikana Barick kuwa wao hawajui chochote kwa vile hawakushirikishwa, hivyo wanasubiri taarifa rami ya Barrick ndipo watangaze uamuzi. Acacia Yaikana Barrick Mchana Kweupe!. Yatoa Press Release na ...

Acacia wakaibuka kuwa bado hawajapewa makubaliano. Kwanini Mapendekezo ya Makubaliano yetu na Barrick bado hayajafika ...

Siku ya Jumapili, tarehe 19th May 2019, serikali yetu ikafunga kazi!, licha ya kuwa ni Jumapili, sio siku ya kazi, huwezi kuandika barua za kiserikali siku ya Jumapili, lakini kwa serikali ya Magufuli ya Hapa Kazi Tuu, hakuna cha Jumapili wala sikukuu, ni kazi tuu, ikitokea kazi ya urgency kama hizi barua za kutoitambua Acacia, serikali yetu inaingia kazini, Jumapili ya juzi, serikali imeingia kazini, imeziandikia barua migodi ya Bulyanhulu Gold Mine Limited, North Mara Gold Mine Limited na Pangea Minerals Limited, kuwaeleza kuwa hawaitambui Acacia, hali iliyoilazimu Barrick kutoa offer ya hostile take over kwa Acacia kuzinunua hisa zote za Acacia, ambazo hazimilikiwa na Barrick, itake isitake, hivyo kuimeza rasmi Acacia kuwa sehemu ya Barrick. na wana hisa wote wa Acacia wamepewa offer ya kuwa wanahisa wa Barrick. Kwa Tanzania Hostile take over iliwahi kutokea kwa kiwanda cha Bia cha Kibo kule Moshi. Tofauti ya hostile take over ile na hii, migodi ya Bulyanhulu Gold Mine Limited, North Mara Gold Mine Limited na Pangea Minerals Limited, itaendelea kuwepo, hakuna atakayepoteza kazi na uzalishaji unaendelea, kitakachokufa ni Avavia tuu, nafasi yake inavhukuliwa na Barrick, everything else stays the same.

Kitendo hiki kilichofanywa na serikali yetu kui disown Acacia ni kitendo cha kishujaa sana na huu ndio uanamme. Haiwezekani madini yetu, mtu anayetambulika nchini kama ni mmiliki ni Barrick kupitia Bulyanhulu Gold Mine Limited, North Mara Gold Mine Limited na Pangea Minerals Limited, huyu Acacia ni mtu wa kuja tuu, hatambuliwi halafu analeta nyodo kibao.
Barua hizo za serikali, zimepelekea leo Acacia na Barrick kutoa press release hizi
.

Japo Acacia ni mtoto wa Barrick, huyu ni mwana mkaidi, kama kawaida ya mwana mkaidi hafaidi mpaka siku ya iddi, hivyo siku ya Iddi ya Acacia imewadia. Funzo tunalolipata hapa ni siku zote
kiburi sii maungwana. Acacia alikuwa jeuri, sasa anakula jeuri yake, soon Acacia itabaki kuwa ni historia, kwishney.

Jumatano Njema.
Paskali
tuache kujifariji watu wamekomba madini yetu ushaidi tunao, Kodi hawajawahi kulipa inayostahili na tumeshindwa kuwafanya chochote na wanaume taratibu wanaondoka leo hatuna cha kuwafanya wametuzidi ujanja halafu we unakuja kupima upepo WATANZANIA SIO WAJINGA
 
Ex soldier nimefurahi sana tena sana kama unakumbuka last time nilikuagiza utapokuwa unakula ugali na sato na namba 1 mwambie hawajamaa wasepe.najua ulifanya hivyo.maana hapa kakola tumechoka yaani choka mbaya sisi wananzengo.nashukuru kwa kufikisha ujumbe.
Jensen bado ipo? Zile bar za zone two na zone ziro bado zipo pia. Barwick walirudi nitarudi tena buly kufanya kazi.......hahahahah
 
Sometime huwa SIKUELEWAGI Duh
Wanabodi,

Kati ya vifo vyote vya biashara, kifo kibaya kabisa ninaitwa "hostile take over", ambapo biashara inakabwa koo kwa kunyongwa hadi kufa bila kutaka kwa kuuzwa juu kwa juu. Kifo hiki ndicho kinakwenda kuikuta kampuni ya Acacia, Hongera sana kwa Serikali Yetu, Kuwatosa rasmi Acacia Kwa kuandika barua rasmi za kutowatambua, kutakakopelekea kifo rasmi cha Acacia, Huu Ndio Uanaume!. Haiwezekani madini yetu, Tanzania inazungumza na Baba Mtu, Barrick, halafu wewe mtoto tuu, Acacia kila siku ni kuleta nyodo. Sasa Acacia Itakula Jeuri Yake, it Faces a Hostile Take Over from Barrick, and Soon Itakuwa Kwishney!. A thing of the past, a history!.

Tangu kutokea mgogoro wa makinikia ya Acacia, kwanza tulipongeza hatua ya rais Magufuli kuuzuia mchanga wa makinikia Kuzuia Mchanga wa Dhahabu, Magufuli Anastahili Pongezi. Tusiishie ...

Baada ya kuzuiliwa kwa mchanga, Rais Magufuli akaunda Tume zake mbili, zikamletea ripoti zake mbili, baada ya kushuhudia live presentation ya tume ya pili, nilitoa opinion yangu Sensationalism kwenye Professional Presentations inakubalika? Ni ...

Ripoti za tume hizo zikaosnyesha kuwa siku zote, tumekuwa tukiibiwa, TRA wakaja na bili ya ajabu ya deni ya Dola Bilioni 190 US $ sawa na TZS 424 trilioni kwa fedha za madafu, kuhusu deni hili, sisi wachumi wa Sultani Mangungo wa Msovero ya JF, tukamweleza rais wetu kuwa anadanganywa na kumsihi asidanganyike.
Maendeleo ya kweli TZ Yataletwa na Elimu na Ukweli. Tusidanganye ...

Baada ya deni hilo kuwekwa wazi, Acacia wakatugomea kuwa hawadaiwi na hawalipi. Baba wa Acacia, Barrick akaingilia kati kwa Mwenyekiti wao kuja nchini kuonana na rais Magufuli na kukubali kuwa watalipa, hivyo mazungumzo yakaanza.

Maungumzo yakaisha rasmi na tukatangaziwa makubaliano, kikiwemo sisi kulipwa dola milioni 300 za kuonyeshea nia njema ya kulipa. Katika makubaliano hayo Barrick alionyesha kuwa makubaliano hayo yatatekelezwa baada ya kukubali na Acacia.

Acacia kwanza akatoa taarifa kuwa hayatambui makubaliano hayo kwa vile hakushirikishwa, Hivi Hawa Acacia Wana Adabu Kweli?, Baba Akiishasema Kitu, Mtoto ...lakini siku chache baadae akatoa taarifa ya kukubali kila kitu.
Habari Njema Kutoka Acacia: Wakubali Kila Kitu Ikiwemo Kulipa ...

Sisi wahojaji tukaendelea kuhoji sio tuu uwezo wa Acacia kulipa deni letu la dola bilioni 190, bali hata uwezo Acacia kulipa tuu hata hizo dola milioni 300 za goodwill. Dola milioni 300, siku 90, sentano kipande haijalipwa! acacia ...
Pia tukahoji, kama Acacia ndio determinant wa kutulipa, kwa nini hakushirikishwa kwenye mazungumzo?. Je, wajua kuwa mazungumzo yetu na Barrick ni mazungumzo tu? Mwenye ...

Mapendekezo ya makubaliano ya mwisho yalitolewa na Barrick kuwa sasa Acacia watalipa ile dola milioni 300 tuu na deni lote la dola bilioni 190, tukasamehe, Acacia akaibuka na kuikana Barick kuwa wao hawajui chochote kwa vile hawakushirikishwa, hivyo wanasubiri taarifa rami ya Barrick ndipo watangaze uamuzi. Acacia Yaikana Barrick Mchana Kweupe!. Yatoa Press Release na ...

Acacia wakaibuka kuwa bado hawajapewa makubaliano. Kwanini Mapendekezo ya Makubaliano yetu na Barrick bado hayajafika ...

Siku ya Jumapili, tarehe 19th May 2019, serikali yetu ikafunga kazi!, licha ya kuwa ni Jumapili, sio siku ya kazi, huwezi kuandika barua za kiserikali siku ya Jumapili, lakini kwa serikali ya Magufuli ya Hapa Kazi Tuu, hakuna cha Jumapili wala sikukuu, ni kazi tuu, ikitokea kazi ya urgency kama hizi barua za kutoitambua Acacia, serikali yetu inaingia kazini, Jumapili ya juzi, serikali imeingia kazini, imeziandikia barua migodi ya Bulyanhulu Gold Mine Limited, North Mara Gold Mine Limited na Pangea Minerals Limited, kuwaeleza kuwa hawaitambui Acacia, hali iliyoilazimu Barrick kutoa offer ya hostile take over kwa Acacia kuzinunua hisa zote za Acacia, ambazo hazimilikiwa na Barrick, itake isitake, hivyo kuimeza rasmi Acacia kuwa sehemu ya Barrick. na wana hisa wote wa Acacia wamepewa offer ya kuwa wanahisa wa Barrick. Kwa Tanzania Hostile take over iliwahi kutokea kwa kiwanda cha Bia cha Kibo kule Moshi. Tofauti ya hostile take over ile na hii, migodi ya Bulyanhulu Gold Mine Limited, North Mara Gold Mine Limited na Pangea Minerals Limited, itaendelea kuwepo, hakuna atakayepoteza kazi na uzalishaji unaendelea, kitakachokufa ni Avavia tuu, nafasi yake inavhukuliwa na Barrick, everything else stays the same.

Kitendo hiki kilichofanywa na serikali yetu kui disown Acacia ni kitendo cha kishujaa sana na huu ndio uanamme. Haiwezekani madini yetu, mtu anayetambulika nchini kama ni mmiliki ni Barrick kupitia Bulyanhulu Gold Mine Limited, North Mara Gold Mine Limited na Pangea Minerals Limited, huyu Acacia ni mtu wa kuja tuu, hatambuliwi halafu analeta nyodo kibao.
Barua hizo za serikali, zimepelekea leo Acacia na Barrick kutoa press release hizi
.

Japo Acacia ni mtoto wa Barrick, huyu ni mwana mkaidi, kama kawaida ya mwana mkaidi hafaidi mpaka siku ya iddi, hivyo siku ya Iddi ya Acacia imewadia. Funzo tunalolipata hapa ni siku zote
kiburi sii maungwana. Acacia alikuwa jeuri, sasa anakula jeuri yake, soon Acacia itabaki kuwa ni historia, kwishney.

Jumatano Njema.
Paskali
 
Bandiko hili nimenilewa ila sometime unadisi uamuzi wa Gvt sometime unaupongeza hapo ndo ubaki njia Panda
Mkuu All Truth, hauko peke yako ambao haunielewi, mko wengi, nikiuliza huelewi nini, huwa hamna majibu.
Mfano kwenye bandiko hili, wewe umeelewa nini na umeshindwa kuelewa nini?.
P
 
Back
Top Bottom