Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa iyo P umekubali kama $190 bl ni professional Rubbish na $300m za kishika uchumba ni pipi iliyomo ndani ya plastic ambayo tunalishwa Watanzania huku tukiamini kuna utamu utakuja Yani kama napata Nafasi ya Urais Cheti Cha uprof wa Kabudi nakichoma moto uwanja wa Taifa na nishani anarejesha akiwa nyuma ya nondo za keko huku akiwa kwenye Record ya Msomi mjinga kuwahi kutokea nchiniMkuu ALI V. MUSSA, deni la dola bilioni 190, lilikuwa deni hewa, ndani ya mazungumzo lilishajadiliwa likafutwa, hivyo katika makubaliano ya mwisho, deni hilo halipo, tumesamehe, na badala yake, sasa tutalipwa kifuta machozi tuu cha zile dola milioni 300 za kishika uchumba.
Tembelea hapa kuona makubaliano ya mwisho ambayo pia yamethibitishwa na taarifa ya Ikulu yetu
Acacia Yaikana Barrick Mchana Kweupe!. Yatoa Press Release na Kumruka Barrick Kuwa Haijui Chochote Kuhusu Makubaliano Yoyote na Tanzania
Tunajua, Sio Kila Saa Utupigie Kelelewww.jamiiforums.com
P
Paskal ni sawa unachokisema na tunakubaliana.Tunapotofautiana ni kwenye uchaguzi wa maneno (hostile takeover) na muda wa kuyatumia hayo maneno.Na kwa mfano wa yule mama mtalakiwa angalia amekwenda chumba cha wageni na siyo nje ya nyumba kabisa; na bwana yule alichoweza kufanya ni kuleta mke mwingine ndani tu. Barrick kama wako serious wawalipe ACACIA- 35+% SHAREHOLDER wasepe. Au labda wanawapeleka mpaka share zishuke thamani?Acacia hawawezi tena kupambania chochote, bali watahitaji tuu ufafanuzi kwa nini GOT imeandika barua kwenye migodi yake kuwakana.
Hali hii ni kama kuna mgogoro wa ndoa kati ya mume na mke aliyefumaniwa. Mke akafukuzwa nyumbani kusubiria talaka yake, mke akagoma na kuhamia chumba cha wageni akitumai ni hasira tuu zikipoa mume atamsamehe na ndoa itaendelea.
Katika kusubiri huko mume akaleta chombo kipya nyumbani. Kilichobaki kwa mke huyo ni kufungasha tuu kilicho chake na kujiondokea kwa unyonge.
Acacia is a management company that runs migodi ya Bulyanhulu Gold Mine Limited, North Mara Gold Mine Limited na Pangea Minerals Limited, kitendo cha serikali yetu kuwaandika barua migodi hiyo kuwaeleza kuwa hawaitambui Acacia, huku ni kukataliwa, kukataliwa ni kuchungu!. Hali hii ndio iliyoilazimu Barrick kutoa notice ya offer ya hostile take over kwa Acacia. This is just a notice ya offer, offer yenyewe itafuata by June 28. Anachotakiwa kufanya ni kujiandaa tuu kufungasha virago vyake kujiondokea kwa unyonge huku wanahisa wakifaidika na kukwaa hisa nono za kampuni kubwa ya Barrick.
P
kwani katika baraza la mawaziri membe s alikuwa na magufuli kwenye baraza hilo?
ntakukumbusha hii, unajua kwamba hiyo siyo sababu pekee ya kumpa au kumnyima Magufuli kura, zipo sababu nyingi saba , mfano itategemea Wapinzani wamemsimamisha nani? itategemea kama hata wewe mwenyewe utakuwa hujabadili msimamo wako juu ya afanyayo Magufuli na msimamo wa upinzani,Ahhahhaha nchi hii, Barrick akitulipa 2020 nitampa kura Magufuli.
Kama hii ndio sababu ya kumchagua Magufuli 2020, then rais Magufuli atapata kura nyingi sana 2020, akina sisi tumependekeza uchaguzi wa rais usifanyike to save time, money and resources.Ahhahhaha nchi hii, Barrick akitulipa 2020 nitampa kura Magufuli.
Bro, umeanza vizuri na presupposition halafu unarudi kulekule kwenye contradiction.Huo umiliki wa majority shares wa around 60-70 % shares, pia ni uongo ila sio kosa lake. ma professor wetu wengi lugha ya malkia, inagomba sana, unaweza kuamini hata Ph.D wa Kemia, amei defend Ph. D yake ya Kemia kwa Kiingereza, lakini hawezi kutema in public as a results mikutano yote ya kimataifa inayogitaji ung'eng'e,anaingia mitini!. Hivyo Prof. wetu kasikia 50/50 ya economic benefits, kajua ndio faida
Mkuu Chagu wa Malunde, haya ya kuitana ex soldier ni hatari, mambo mengine ya historia za watu ni siri.Ex soldier nimefurahi sana tena sana kama unakumbuka last time nilikuagiza utapokuwa unakula ugali na sato na namba 1 mwambie hawajamaa wasepe.najua ulifanya hivyo.maana hapa kakola tumechoka yaani choka mbaya sisi wananzengo.nashukuru kwa kufikisha ujumbe.
Kishika uchumba chetu $ 300 mil Barrick watatulipa sasa bila kisingizio sasa, ila ujue Barrick wahuni sana
CopyMkuu Chagu wa Malunde, haya ya kuitana ex soldier ni hatari, mambo mengine ya historia za watu ni siri.
Ule ujumbe wako ulionitumia kwenye ndoto, na mimi ni kweli nilikula nae ugali na sato kwenye ndoto na nikamfikishia. Hawa jamaa hawasepi bali wanabadili tuu jina kutoka Acacia kurudia jina lao la zamani la Barrick ila ule mpunga wetu wa kile kishika uchumba chetu cha US $ 300 milioni, kitalipwa.
P
Copy thatMkuu Chagu wa Malunde, haya ya kuitana ex soldier ni hatari, mambo mengine ya historia za watu ni siri.
Ule ujumbe wako ulionitumia kwenye ndoto, na mimi ni kweli nilikula nae ugali na sato kwenye ndoto na nikamfikishia. Hawa jamaa hawasepi bali wanabadili tuu jina kutoka Acacia kurudia jina lao la zamani la Barrick ila ule mpunga wetu wa kile kishika uchumba chetu cha US $ 300 milioni, kitalipwa.
P
Wanabodi,
Kati ya vifo vyote vya biashara, kifo kibaya kabisa ninaitwa "hostile take over", ambapo biashara inakabwa koo kwa kunyongwa hadi kufa bila kutaka kwa kuuzwa juu kwa juu. Kifo hiki ndicho kinakwenda kuikuta kampuni ya Acacia, Hongera sana kwa Serikali Yetu, Kuwatosa rasmi Acacia Kwa kuandika barua rasmi za kutowatambua, kutakakopelekea kifo rasmi cha Acacia, Huu Ndio Uanaume!. Haiwezekani madini yetu, Tanzania inazungumza na Baba Mtu, Barrick, halafu wewe mtoto tuu, Acacia kila siku ni kuleta nyodo. Sasa Acacia Itakula Jeuri Yake, it Faces a Hostile Take Over from Barrick, and Soon Itakuwa Kwishney!. A thing of the past, a history!.
Tangu kutokea mgogoro wa makinikia ya Acacia, kwanza tulipongeza hatua ya rais Magufuli kuuzuia mchanga wa makinikia Kuzuia Mchanga wa Dhahabu, Magufuli Anastahili Pongezi. Tusiishie ...
Baada ya kuzuiliwa kwa mchanga, Rais Magufuli akaunda Tume zake mbili, zikamletea ripoti zake mbili, baada ya kushuhudia live presentation ya tume ya pili, nilitoa opinion yangu Sensationalism kwenye Professional Presentations inakubalika? Ni ...
Ripoti za tume hizo zikaosnyesha kuwa siku zote, tumekuwa tukiibiwa, TRA wakaja na bili ya ajabu ya deni ya Dola Bilioni 190 US $ sawa na TZS 424 trilioni kwa fedha za madafu, kuhusu deni hili, sisi wachumi wa Sultani Mangungo wa Msovero ya JF, tukamweleza rais wetu kuwa anadanganywa na kumsihi asidanganyike.
Maendeleo ya kweli TZ Yataletwa na Elimu na Ukweli. Tusidanganye ...
Baada ya deni hilo kuwekwa wazi, Acacia wakatugomea kuwa hawadaiwi na hawalipi. Baba wa Acacia, Barrick akaingilia kati kwa Mwenyekiti wao kuja nchini kuonana na rais Magufuli na kukubali kuwa watalipa, hivyo mazungumzo yakaanza.
Maungumzo yakaisha rasmi na tukatangaziwa makubaliano, kikiwemo sisi kulipwa dola milioni 300 za kuonyeshea nia njema ya kulipa. Katika makubaliano hayo Barrick alionyesha kuwa makubaliano hayo yatatekelezwa baada ya kukubali na Acacia.
Acacia kwanza akatoa taarifa kuwa hayatambui makubaliano hayo kwa vile hakushirikishwa, Hivi Hawa Acacia Wana Adabu Kweli?, Baba Akiishasema Kitu, Mtoto ...lakini siku chache baadae akatoa taarifa ya kukubali kila kitu.
Habari Njema Kutoka Acacia: Wakubali Kila Kitu Ikiwemo Kulipa ...
Sisi wahojaji tukaendelea kuhoji sio tuu uwezo wa Acacia kulipa deni letu la dola bilioni 190, bali hata uwezo Acacia kulipa tuu hata hizo dola milioni 300 za goodwill. Dola milioni 300, siku 90, sentano kipande haijalipwa! acacia ...
Pia tukahoji, kama Acacia ndio determinant wa kutulipa, kwa nini hakushirikishwa kwenye mazungumzo?. Je, wajua kuwa mazungumzo yetu na Barrick ni mazungumzo tu? Mwenye ...
Mapendekezo ya makubaliano ya mwisho yalitolewa na Barrick kuwa sasa Acacia watalipa ile dola milioni 300 tuu na deni lote la dola bilioni 190, tukasamehe, Acacia akaibuka na kuikana Barick kuwa wao hawajui chochote kwa vile hawakushirikishwa, hivyo wanasubiri taarifa rami ya Barrick ndipo watangaze uamuzi. Acacia Yaikana Barrick Mchana Kweupe!. Yatoa Press Release na ...
Acacia wakaibuka kuwa bado hawajapewa makubaliano. Kwanini Mapendekezo ya Makubaliano yetu na Barrick bado hayajafika ...
Siku ya Jumapili, tarehe 19th May 2019, serikali yetu ikafunga kazi!, licha ya kuwa ni Jumapili, sio siku ya kazi, huwezi kuandika barua za kiserikali siku ya Jumapili, lakini kwa serikali ya Magufuli ya Hapa Kazi Tuu, hakuna cha Jumapili wala sikukuu, ni kazi tuu, ikitokea kazi ya urgency kama hizi barua za kutoitambua Acacia, serikali yetu inaingia kazini, Jumapili ya juzi, serikali imeingia kazini, imeziandikia barua migodi ya Bulyanhulu Gold Mine Limited, North Mara Gold Mine Limited na Pangea Minerals Limited, kuwaeleza kuwa hawaitambui Acacia, hali iliyoilazimu Barrick kutoa offer ya hostile take over kwa Acacia kuzinunua hisa zote za Acacia, ambazo hazimilikiwa na Barrick, itake isitake, hivyo kuimeza rasmi Acacia kuwa sehemu ya Barrick. na wana hisa wote wa Acacia wamepewa offer ya kuwa wanahisa wa Barrick. Kwa Tanzania Hostile take over iliwahi kutokea kwa kiwanda cha Bia cha Kibo kule Moshi. Tofauti ya hostile take over ile na hii, migodi ya Bulyanhulu Gold Mine Limited, North Mara Gold Mine Limited na Pangea Minerals Limited, itaendelea kuwepo, hakuna atakayepoteza kazi na uzalishaji unaendelea, kitakachokufa ni Avavia tuu, nafasi yake inavhukuliwa na Barrick, everything else stays the same.
Kitendo hiki kilichofanywa na serikali yetu kui disown Acacia ni kitendo cha kishujaa sana na huu ndio uanamme. Haiwezekani madini yetu, mtu anayetambulika nchini kama ni mmiliki ni Barrick kupitia Bulyanhulu Gold Mine Limited, North Mara Gold Mine Limited na Pangea Minerals Limited, huyu Acacia ni mtu wa kuja tuu, hatambuliwi halafu analeta nyodo kibao.
Barua hizo za serikali, zimepelekea leo Acacia na Barrick kutoa press release hizi
.Barrick Gold Corporation - Acacia Mining
www.barrick.com
Japo Acacia ni mtoto wa Barrick, huyu ni mwana mkaidi, kama kawaida ya mwana mkaidi hafaidi mpaka siku ya iddi, hivyo siku ya Iddi ya Acacia imewadia. Funzo tunalolipata hapa ni siku zote
kiburi sii maungwana. Acacia alikuwa jeuri, sasa anakula jeuri yake, soon Acacia itabaki kuwa ni historia, kwishney ila naomba kutoa angalizo muhimu kwa serikali yetu, hii saga yote ya Acacia na Barrick, mara kimepanda, mara kimeshuka, its all a game that people play. Hawa ni baba na mwana, na huu ni mchezo tunachezewa, the bottom line ni lile deni letu la kodi kutoka US$190 bilioni hadi just $300milioni, this is peanut, ila tukiamua kuiita ndio a win win situation for the sake ya uzalendo kwa uwezo wa viongozi wetu ku negotiate, then Watanzania tutawakubalia, na kujifunza somo kuwa kuwa, timu kuwa na wanasheria nguli tuu peke yake bila watu ambao ni negotiators, hakutoshi. Hapa tunapigwa mchana kweupe huku tunajiangalia.
Jumatano Njema.
Paskali
this (yours) is the sort of naivety which Barrick & co are capitalising upon.
listen ndugu... the whole gang is playing the old "kuuma & kupuliza" game, biding their time in the process.
we'll never ever know what has hit us the moment they bolt when they are ready to!