We inaonekana unamjua Zamaradi vizuri kuliko hata anavyojijua mwenyewe..Haya tuambie anao wangapi?sio kweli
Ha ha ha ha usjal wewe tena?ninunulie tu mine maana mwendo wa simple tu
Kujieza anajua ila kuolewa anashindwa
ngoja nimtokee mmhajaolewa kasema ndo maana anakaa nyumbani kwake mpk leo
Very smart...nampenda pia.Nimempenda gafla..Anaonekana yupo smart
ubongo wa wa tz unawaz vtu vyepec kwak cjui zamarad kuvaa dera imekuwa kitu cha mf.Za usiku wapendwa wa humu!
Mda si mrefu Gadner na Kibonde walikua wanamfanyia mahojiano mtangazaji wa clouds kipindi cha take one Zamaradi..
Kiukweli naomba nimsifu kwa kujitahidi kukitendea haki kipindi maana amejibu maswali vzr sana kwa hilo naomba nimpongeze na amejitahidi kua muwazi kwa uwezo wake
Amenigusa zaidi alipozungumzia kuhusu malezi ya watoto wake,namna mzazi wake alivyokua anajitahidi mwanawe asome vizuri ili kutimiza malengo yake na kubwa zaidi aliposema yeye ni simple sana na ni mtu wa kawaida sana akiwa nyumbani
Unaweza mkuta 'hyat regency kavaa dera na wala asijali kitu'
anaamini yeye ni zaidi ya dera...
Kwa kweli nimepata somo kubwa na nimezidi kujiamini na kuona kumbe kuna watu wapo km wewe!!
Cha msingi timiza malengo yako,Fanya kile cha mhimu ma chenye manufaa..kiukweli wengi tumekua tukimsema zamaradi na mavazi yake ila sasa tunapaswa tuangalie'uwezo wake wa kujenga hoja badalq ya mavazi'
Ahsanteni
nitaongea naye akugawie mmoja poti.Nasikia Ruge anawala tuu watoto wazuri ukijumlisha na wale wa THT wakike ha ha kazi ipo
acha uongo wewe ruge anawatoto wengine kwa mke mkubwa
Kaoge mvuto yule shoga alemhojiNa huyo wa upande wa kulia ni nani?