Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,918
- 95,201
Wakili Peter Kibatala tunakuombea kwa mwenyezi mungu akulinde na kukujalia afya njema kwa kazi yako tukufu unayo ifanya hapa nchini Tanzania kwa kuendelea kuwapigania wanyonge wanao onewa na wenye nguvu na misuli mikubwa, sisi mamilioni ya watanzania wanyonge dua zetu ni kwako maana unastahili kuombewa.