Mtanzanias
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 1,747
- 3,723
Nafikiri hakuna timu yoyote inayoweza kupaki basi dk 90 zote mbele ya yanga na ikahimili mashambulizi ya yanga kwa muda wote zaidi ya Tanzania prisons, Leo wamepaki basi lao na almanusura waokote alama kwa Mkapa, Pongezi nyingi kwa timu ya wananchi kuondoka na alama 3 muhimu licha ya upinzani mkali toka kwa prisons ambayo ilikuwa inacheza na wachezaji karibia 9 nyuma ya mpira.
N;B Wale wanaokaa kileleni kama status za whatsap tunawakumbusha ya kuwa safari ya unbeaten nyingine ndio imeanza rasmi.
N;B Wale wanaokaa kileleni kama status za whatsap tunawakumbusha ya kuwa safari ya unbeaten nyingine ndio imeanza rasmi.