lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,137
- 33,201
Hongera sana Lissu kwa kampeni nzuri kabisa zenye elimu ya Uraia murua kabisa.
Hongereni Sana wagombea ubunge wa Chadema na ACT kwa kazi nzuri mliyofanya mkiwa wabunge na kazi nzuri wakati wa kampeni.watu waliwaelewa sana.hongera Sana Chadema kwa kuendesha kampeni za kisayansi.
Kikubwa zaidi hongereni sana kwa kusaidia kufikisha ujumbe kwa dunia bila nyinyi kujua juu ya yanayoendelea hapa Tanzania,sio tu dunia hata Raia wa nchi hii wamejua mengi.
Dunia imejua rangi halisi ya nchi hii kwa Sasa.
Kazi mliyoifanya mtaona majibu yake baada ya muda mfupi ujao hapa nchini na nje ya Tanzania.
Nyinyi Ni mashuajaa nawaambieni,Chadema na ACT Ni mashujaa wa Taifa.
Kampeni zenu zimepenya Hadi ulimwenguni kote.
Muda niwalimu mzuri.
Hongereni Sana wagombea ubunge wa Chadema na ACT kwa kazi nzuri mliyofanya mkiwa wabunge na kazi nzuri wakati wa kampeni.watu waliwaelewa sana.hongera Sana Chadema kwa kuendesha kampeni za kisayansi.
Kikubwa zaidi hongereni sana kwa kusaidia kufikisha ujumbe kwa dunia bila nyinyi kujua juu ya yanayoendelea hapa Tanzania,sio tu dunia hata Raia wa nchi hii wamejua mengi.
Dunia imejua rangi halisi ya nchi hii kwa Sasa.
Kazi mliyoifanya mtaona majibu yake baada ya muda mfupi ujao hapa nchini na nje ya Tanzania.
Nyinyi Ni mashuajaa nawaambieni,Chadema na ACT Ni mashujaa wa Taifa.
Kampeni zenu zimepenya Hadi ulimwenguni kote.
Muda niwalimu mzuri.