Hongera sana RC Arusha pamoja na Rais Samia kushughulikia suala la wamachinga

Tajiri Tanzanite

JF-Expert Member
Oct 23, 2016
2,069
3,705
Hapo vip!!

Panapostahili kupokwezwa tupokeze ila nitaendelea kukosoa panapobidi tena bila kuchoka.

Baada ya kuandika kuhusiana na suala la mkoa wa Arusha kugeuka kuwa kichaka kutokana na wamachinga kuzagaa kila mahala.

Baada ya siku nne sasa Arusha yang'ara na Arusha yapendeza sasa ile hadhi ya jiji la Arusha imeoneka.

Sasa hata mzungu anaweza kutembea tembea pasipo kuwa na wasiwasi.

Mama sisi wengine tunakuelewa endelea kukaza hivyo hivyo..mama sio kila maamuzi utakayofanya lazima wawafurahishe wananchi.

Maamuzi mengine huwa yanakuwa machungu kama klorokwin ila yanamtibu huyo anaelalamika.
 
Halafu Kuna lile soko la madini lilipohamishiwa pale limeongeza uchafu kwa Arusha, hivi waliokosa sehemu kubwa yakuliweka Hilo soko?
Jiji lina mipango miji kweli?
 
Halafu Kuna lile soko la madini lilipohamishiwa pale limeongeza uchafu kwa Arusha, hivi waliokosa sehemu kubwa yakuliweka Hilo soko?
Jiji lina mipango miji kweli?
Ni kweli lile soka mwanzoni lilikuwa pale otu ila likaja kuhamishiwa pale AICC chini ya kibo palllace hotel..pale palikuwa pamejaa vibanda vichafu sana ila kwa sawa pako shwari..lakini lingine soko la Tanzanite wamehamishia mererani kwa hiyo wanunuzi na mabrocker wa Tanzanite wamerudi merarani..pale kwa sasa kuna biashara ya rubby,roadlite,green gunet/tomalin,somphire,cheap stone zote...maana yake population imepungua na vibanda vimeondoka.
 
Halafu Kuna lile soko la madini lilipohamishiwa pale limeongeza uchafu kwa Arusha, hivi waliokosa sehemu kubwa yakuliweka Hilo soko?
Jiji lina mipango miji kweli?
Soko limerudishwa Mererani bana......pale wamebaki mmasai wawili watatu wanatembezega tomarines kutoka Terat huko.
 
Hapo vip!!

Panapostahili kupokwezwa tupokeze ila nitaendelea kukosoa panapobidi tena bila kuchoka.

Baada ya kuandika kuhusiana na swala la mkoa wa Arusha kugeuka kuwa kichaka kutokana na wamachinga kuzagaa kila mahala.

Baada ya siku nne sasa Arusha yang'ara na Arusha yapendeza...sasa ile hadhi ya jiji la Arusha imeoneka.

Sasa hata mzungu anaweza kutembea tembea pasipo kuwa na wasiwasi.

Mama sisi wengine tunakuelewa endelea kukaza hivyo hivyo..mama sio kila maamuzi utakayofanya lazima wawafurahishe wananchi ..maamuzi mengine huwa yanakuwa machungu kama klorokwin ila yanamtibu huyo anaelalamika.
Hongera ingempendeza zaidi.
 
Bado saa za jioni wamachinga wanarudi na mikokoteni na park barabarani mtaa wa crbd friends coner.city askari watazame hilo
 
Hapo vip!!

Panapostahili kupokwezwa tupokeze ila nitaendelea kukosoa panapobidi tena bila kuchoka.

Baada ya kuandika kuhusiana na swala la mkoa wa Arusha kugeuka kuwa kichaka kutokana na wamachinga kuzagaa kila mahala.

Baada ya siku nne sasa Arusha yang'ara na Arusha yapendeza...sasa ile hadhi ya jiji la Arusha imeoneka.

Sasa hata mzungu anaweza kutembea tembea pasipo kuwa na wasiwasi.

Mama sisi wengine tunakuelewa endelea kukaza hivyo hivyo..mama sio kila maamuzi utakayofanya lazima wawafurahishe wananchi ..maamuzi mengine huwa yanakuwa machungu kama klorokwin ila yanamtibu huyo anaelalamika.
Naunga mkono hoja.
P
 
Ni kweli lile soka mwanzoni lilikuwa pale otu ila likaja kuhamishiwa pale AICC chini ya kibo palllace hotel..pale palikuwa pamejaa vibanda vichafu sana ila kwa sawa pako shwari..lakini lingine soko la Tanzanite wamehamishia mererani kwa hiyo wanunuzi na mabrocker wa Tanzanite wamerudi merarani..pale kwa sasa kuna biashara ya rubby,roadlite,green gunet/tomalin,somphire,cheap stone zote...maana yake population imepungua na vibanda vimeondoka.
Safi sana ka vibanda vimeondoka pale maana Ile sehemu ilikuwa ndogo na kumebanana sana
 
Muwe na sababu ambazo hazituvunjii heshima. Mnaposema Machinga waondoke ili Wazungu waweze kutembea bila kuogopa mnanikumbusha Group Areas Act ya Makaburu. Tujiheshimu.
 
Katika swala nalo kubaliana na ccm ni ili la kupanga machinga, walikua wamepewa uhuru kupitiliza. Sasa ni swala la kuwaboreshea maeneo yao mapya kwa kuwaweka na huduma ndogo ndogo mfano maliwato.
 
Hapo vip!!

Panapostahili kupokwezwa tupokeze ila nitaendelea kukosoa panapobidi tena bila kuchoka.

Baada ya kuandika kuhusiana na swala la mkoa wa Arusha kugeuka kuwa kichaka kutokana na wamachinga kuzagaa kila mahala.

Baada ya siku nne sasa Arusha yang'ara na Arusha yapendeza...sasa ile hadhi ya jiji la Arusha imeoneka.

Sasa hata mzungu anaweza kutembea tembea pasipo kuwa na wasiwasi.

Mama sisi wengine tunakuelewa endelea kukaza hivyo hivyo..mama sio kila maamuzi utakayofanya lazima wawafurahishe wananchi ..maamuzi mengine huwa yanakuwa machungu kama klorokwin ila yanamtibu huyo anaelalamika.
Ni Hongera siyo Ongera
 
Hapo vip!!

Panapostahili kupokwezwa tupokeze ila nitaendelea kukosoa panapobidi tena bila kuchoka.

Baada ya kuandika kuhusiana na swala la mkoa wa Arusha kugeuka kuwa kichaka kutokana na wamachinga kuzagaa kila mahala.

Baada ya siku nne sasa Arusha yang'ara na Arusha yapendeza...sasa ile hadhi ya jiji la Arusha imeoneka.

Sasa hata mzungu anaweza kutembea tembea pasipo kuwa na wasiwasi.

Mama sisi wengine tunakuelewa endelea kukaza hivyo hivyo..mama sio kila maamuzi utakayofanya lazima wawafurahishe wananchi ..maamuzi mengine huwa yanakuwa machungu kama klorokwin ila yanamtibu huyo anaelalamika.
😍
 
Back
Top Bottom