Hongera sana Rais, Zitto aifurahia sana Bombadia

Wana jamvi wasalaam.
Ni wazi sasa hata wale waliokuwa wanaziponda ndege zetu kuwa hazina break mara ni sawa na babaji wameanza kujionea kwa macho na wamezipanda na kuzifurahia...

Nampongeza sana Mh Zitto kwa kuanza kuzitumia Ndege zetu hizi bora na bila shaka umejionea ubora wake maana hadi sasa hujasema jambo lolote hata kutoa pongezi kwa Mh Rais..

Mh Rais naendelea kukupongeza sana bila kujali kelele wewe unatenda kwa manufaa ya watanzania wala huhitaji mtu ashukuru hadharani lakini yeye kujionea kwa macho inatosha kabisa.
Asante pia Mh Zitto kwa kutumia Ndege zetu nzuri na bila shaka ulifurahia sana safari kwani hilo tabasamu sio la bure bure bali ni raha mstarehe...

Kwaniaba ya Air-Tanzania tunawakaribisha sana watanzania wote mtumie ndege zetu kwani hamtojuta kuzitumia mtafurahia sana tena sana kama hapo chini mnavyo muona Mh Zitto.

Tuna wakaribisha sana watanzania




Faustine Ndugulile‏@DocFaustine
Baadhi ya wabunge kwenye safari ya kwanza ya @AirTanzania toka Dar kwenda Dodoma. Pongezi kwa Air Tanzania kwa huduma nzuri cc @MbarawaM


C2RIVWiXcAAaYnh.jpg
Ndege gani hizo?
Kwa ndani utadhani basi la Mohammed Trans.
 
Kwan nauli ya ndege zetu ni tsh?
Je nami naweza kupanda kutoka huku porini niliko?
Naomba majbu
 
Wana jamvi wasalaam.
Ni wazi sasa hata wale waliokuwa wanaziponda ndege zetu kuwa hazina break mara ni sawa na babaji wameanza kujionea kwa macho na wamezipanda na kuzifurahia...

Nampongeza sana Mh Zitto kwa kuanza kuzitumia Ndege zetu hizi bora na bila shaka umejionea ubora wake maana hadi sasa hujasema jambo lolote hata kutoa pongezi kwa Mh Rais..

Mh Rais naendelea kukupongeza sana bila kujali kelele wewe unatenda kwa manufaa ya watanzania wala huhitaji mtu ashukuru hadharani lakini yeye kujionea kwa macho inatosha kabisa.
Asante pia Mh Zitto kwa kutumia Ndege zetu nzuri na bila shaka ulifurahia sana safari kwani hilo tabasamu sio la bure bure bali ni raha mstarehe...

Kwaniaba ya Air-Tanzania tunawakaribisha sana watanzania wote mtumie ndege zetu kwani hamtojuta kuzitumia mtafurahia sana tena sana kama hapo chini mnavyo muona Mh Zitto.

Tuna wakaribisha sana watanzania




Faustine Ndugulile‏@DocFaustine
Baadhi ya wabunge kwenye safari ya kwanza ya @AirTanzania toka Dar kwenda Dodoma. Pongezi kwa Air Tanzania kwa huduma nzuri cc @MbarawaM


C2RIVWiXcAAaYnh.jpg
na mimi nishapandaga bombardier hii.

ndani over Kiswele. wakati wa kutua over daladala kwenda Yombo kupitia Bombom!!
 
Back
Top Bottom