Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,350
- 25,451
Si kweli, nenda hapo Somalia tu uone cha moto.Tanzania tu ndio siasa ni uadui,...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si kweli, nenda hapo Somalia tu uone cha moto.Tanzania tu ndio siasa ni uadui,...
Mbona hata yeye amefurahiaUhalisia wa hiyo picha ndio huo chini, na vyombo vya habari vikiripoti kwamba wanachama wa ccm ndio waliokimbilia kupata picha na Sugu.
Umeikata picha ili kuposha, akili za polepole hizi!View attachment 819864View attachment 819865
Mungu ni mmoja lakini mapepo ni mengi
Kapata uchizi anaokota makopo majalalani.Hivi Yule boniphase sichonge bado ana post humu Jf naona yuko kimya sana....
Ova
muda utaongeaSidhani kama ana mawazo mbadala wa kuhama kambi.....
Akili zao wanazijua wao wenyewe. Tuna tabu mno.Hapo si alikuja makamu wa rais sasa sijui hizi jezi za ccm zinahusika vipi na kupokea taarifa ya mkoa
sema tu kama anataka kuhama ......mikono inatetemeka kwa jambo gani......Natamani kuongea kitu, lakini mikono inatetemeka aseee
Anyway
Hongera zako Sugu
Kwa tunaokutambua umekuwa mtu wa kuanzisha vitu vya msingi
Uliuanzisha mziki wa kizazi kipya, mpaka leo ni ajira kwa maelufu ya vijana.
Leo umekuwa wa kwanza kuonesha undugu ndani ya siasa za ugomvi.
Ubarikiwe
Uhalisia wa hiyo picha ndio huo chini, na vyombo vya habari vikiripoti kwamba wanachama wa ccm ndio waliokimbilia kupata picha na Sugu.
Umeikata picha ili kuposha, akili za polepole hizi!View attachment 819864View attachment 819865
Ila kwa jiwe ni uadui mkubwa sanaView attachment 819849
kuna wengine ni wagumu sana kuelewa maana ya picha kama hizi kwa wanasiasa.........