Hongera sana Mbowe unajua

Mtu wa Hai anaenda kusomewa mashitaka Arusha ili iweje?

Hai hamna mahakama? Na mkoa wa Kilimanjaro je?

Wameogopa mafuriko ya watu mahakamani.

Mahakamani ni sehemu ya kutoa haki kwa hiyo ni vizuri amepelekwa huko ili sasa akina Mbowe wawe wanaenda mahakamani kutoa ushahidi juu ya madai yao. Mbowe asipoenda kutoa ushahidi mahakamani tutajua ni unafiki tu

Hata Mbowe alikaa Segerea kwa miezi nne na madawa ya kulevya yakaisha mtaani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom