Rose Mayemba
JF-Expert Member
- May 7, 2012
- 721
- 1,017
Pokea Zawadi Kaka, mtukufu aliipenda sana kazi yako.
Patrobass Paschal, Patrobass Katambi.
Sasa umekuwa Mhe Mkuu wa wilaya Makao makuu ya Tanzania, umekuwa Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama katika wilaya yako, Umepewa rungu la kukamata na kusweka ndani viongozi wa upinzani pindi watakapokuwa kinyume na Mhe Rais.Si kazi ndogo,unastahili pongezi
Umeifahamu CCM kwa undani wake kwa muda mfupi sana ndio maana ukapewa nafasi hii nyeti, wanaccm wenzako wamesota miaka na miaka hawajabahatika kukalia hicho kiti. Nakupongeza sana Kaka
Sasa umewafungulia njia wachumia tumbo wenzako,Ongeza ushawishi waondoke mapema kabla nafasi hazijaisha.
UKAWE NA UTUMISHI MWEMA HUKO UENDAKO
Patrobass Paschal, Patrobass Katambi.
Sasa umekuwa Mhe Mkuu wa wilaya Makao makuu ya Tanzania, umekuwa Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama katika wilaya yako, Umepewa rungu la kukamata na kusweka ndani viongozi wa upinzani pindi watakapokuwa kinyume na Mhe Rais.Si kazi ndogo,unastahili pongezi
Umeifahamu CCM kwa undani wake kwa muda mfupi sana ndio maana ukapewa nafasi hii nyeti, wanaccm wenzako wamesota miaka na miaka hawajabahatika kukalia hicho kiti. Nakupongeza sana Kaka
Sasa umewafungulia njia wachumia tumbo wenzako,Ongeza ushawishi waondoke mapema kabla nafasi hazijaisha.
UKAWE NA UTUMISHI MWEMA HUKO UENDAKO