Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,201
- 4,673
Nampongeza sana Mhe Paschal Mayalla kwa kuzingatia kichwa cha habari hapo juu
Mvumilivu hula mbivu walisema Wahenga wetu
Endelea kuwa Mtulivu, Makini, Msikivu, Mnyenyekevu na Mtiifu.
Kuna Jambo Letu na Kila Jambo na wakati wake
Narudia kukupongeza tena
Mvumilivu hula mbivu walisema Wahenga wetu
Endelea kuwa Mtulivu, Makini, Msikivu, Mnyenyekevu na Mtiifu.
Kuna Jambo Letu na Kila Jambo na wakati wake
Narudia kukupongeza tena