DavidHard
JF-Expert Member
- Nov 4, 2011
- 435
- 273
Diamond haina haja ya kufanya mambo mengi kwa wakati mmoja na yote yakakosa ubora na ubunifu. Hiyo ni kutengeneza vitu vitakavyo ishi muda mfupi sana. Na ukweli unaujua kuwa watu wanapenda na ku support hivyo vitu vingi unavyovitengeza na kuvianzisha hata kama havina ubora. Si kwa sababu wanavipenda bali ni kwa sababu wanakupenda wewe.
Nitazungumzia kwa uchache hizi Show za Tigo tumewasha. Kwa ukubwa wake na wasanii wake tusingetegemea kuona picha mbovu kama zinazorushwa. Na achilia mbali ubovu wa picha WASAFI TV wameshindwa kurusha live matangazo yao..kwani yanakatika katika kila baada ya sekunde kadhaa.. Sound ni mbovu kupindukia. Swali langu hivi ni kweli bado wewe ni mchanga katika maandalizi ya hizi show kubwa.. ili hali hii ni awamu ya tatu unafanya hivi...tulitegemea kuona matangazo na show bora badala yake imekuwa kinyume.
..Upande wa Tv umekuwa ukikimbizana na watangazaji wakubwa lakini wakifika wasafi ukubwa wao unapotea na wanakuwa wa kawaida na wapiga kelele..utadhani sio watangazaji tunaowajua(Kitenge,joni joo. Kabla ya kuhama,omary tambwe)..Lakini vipindi vimekosa ubunifu hata kama ni tv na redio ya vijana..isimaanishe udaku bali weledi ambao umekuwa adimu hapo kwako.
Kwa ufupi fanya machache ama vitu vichache kwa ubora na ufanisi kuliko mengi yasiyo na ubora na kukosa ubunifu.. Walimu wanajua hili mwanafunzi aliyeandika kwenye karatasi tano mambo mengi yasiyo na maana ..basi atazidiwa na aliyeandika kwenye karatasi moja mambo yaliyo na maana.
Ni hayo kwa uchache.
Nitazungumzia kwa uchache hizi Show za Tigo tumewasha. Kwa ukubwa wake na wasanii wake tusingetegemea kuona picha mbovu kama zinazorushwa. Na achilia mbali ubovu wa picha WASAFI TV wameshindwa kurusha live matangazo yao..kwani yanakatika katika kila baada ya sekunde kadhaa.. Sound ni mbovu kupindukia. Swali langu hivi ni kweli bado wewe ni mchanga katika maandalizi ya hizi show kubwa.. ili hali hii ni awamu ya tatu unafanya hivi...tulitegemea kuona matangazo na show bora badala yake imekuwa kinyume.
..Upande wa Tv umekuwa ukikimbizana na watangazaji wakubwa lakini wakifika wasafi ukubwa wao unapotea na wanakuwa wa kawaida na wapiga kelele..utadhani sio watangazaji tunaowajua(Kitenge,joni joo. Kabla ya kuhama,omary tambwe)..Lakini vipindi vimekosa ubunifu hata kama ni tv na redio ya vijana..isimaanishe udaku bali weledi ambao umekuwa adimu hapo kwako.
Kwa ufupi fanya machache ama vitu vichache kwa ubora na ufanisi kuliko mengi yasiyo na ubora na kukosa ubunifu.. Walimu wanajua hili mwanafunzi aliyeandika kwenye karatasi tano mambo mengi yasiyo na maana ..basi atazidiwa na aliyeandika kwenye karatasi moja mambo yaliyo na maana.
Ni hayo kwa uchache.