Huyu mama alikuwa ni moja ya mafisadi wakubwa wa awamu ya nne na kama kuna mwana lumumba anayekana ajitokeze humu
Mbona kwenye list of shame hakuwepo Kama alikuwa ni Fisadi Papa? Tatizo lenu wakihamia huko mnadai Kama ni Mafisadi uletwe ushahidi ?
Huyu mama alikuwa ni moja ya mafisadi wakubwa wa awamu ya nne na kama kuna mwana lumumba anayekana ajitokeze humu
Duh! Hamchokozwi? Naona Makaburi yanafukuliwa tu!Blandina Nyoni ndio alikuwa Mhasibu Mkuu wa Serikal kabla ya Hajjat Mwanaidi Mtanda!
Enzi zao walichota pesa Kwmy Mifuko ya Rambo kupeleka Nyumbani
Hongera zake kwa kuokoka na kuwa Mzalendo
Usilolijua ni sawa na Usiku wa kiza, wewe unamfamu vizuri huyo mama au unaandika tuu?Kila ulipopita ulifanya kazi ya kizalendo.Safisha NHC BILA HOFU.Usiogope kuchukiwa. Fanya maamuzi kwa wakati, ili wananchi walalahoi wanufaike na NHC kwa kupata nyumba za bei nafuu. NHC kulikuwa na giza nene. Tunataka NHC irudi kuhudumia wananchi wa kawaida. Ndiyo lengo lake la mwanzo. Sasa NHC wanakopa fedha kwaajili ya kuhudumia matajiri. NHC mabadiliko hayaepukiki.
Kila ulipopita ulifanya kazi ya kizalendo.Safisha NHC BILA HOFU.Usiogope kuchukiwa. Fanya maamuzi kwa wakati, ili wananchi walalahoi wanufaike na NHC kwa kupata nyumba za bei nafuu. NHC kulikuwa na giza nene. Tunataka NHC irudi kuhudumia wananchi wa kawaida. Ndiyo lengo lake la mwanzo. Sasa NHC wanakopa fedha kwaajili ya kuhudumia matajiri. NHC mabadiliko hayaepukiki.
Mbona Mnasema lowasa fisadi na ilhali hamjampeleka mahakamaniYaliluwaga maneno ya wana chadema kabla hatujajua ranging zao..angekuwa fisadi angekuwa mahakamani..sio kweli
Blandina Nyoni mhusika mkuu ufisadi MuhimbiliNaweka kiti cha mbele ntarudi baadae naenda kuchukua mafile ya kumbukumbu ya ufisadi aloufanya pale wizara ya magonjwa
Tuliambiwa na chademaMbona Mnasema lowasa fisadi na ilhali hamjampeleka mahakamani
Kweli nakumbuka kumsoma humu.
Huyu kuwa akiona wengine wanapiga madili bila yeye kuwekwa anawamaliza.
Lazima nae yumo kwenye haya ya viongozi wote hao.
Hahaaa huyu walewale alikula wizara ya afya mpka akasababisha mgomoKila ulipopita ulifanya kazi ya kizalendo.Safisha NHC BILA HOFU.Usiogope kuchukiwa. Fanya maamuzi kwa wakati, ili wananchi walalahoi wanufaike na NHC kwa kupata nyumba za bei nafuu. NHC kulikuwa na giza nene. Tunataka NHC irudi kuhudumia wananchi wa kawaida. Ndiyo lengo lake la mwanzo. Sasa NHC wanakopa fedha kwaajili ya kuhudumia matajiri. NHC mabadiliko hayaepukiki.
Mbona haguswi au ndiyo ile mupe muruke styleBlandina Nyoni ndio alikuwa Mhasibu Mkuu wa Serikal kabla ya Hajjat Mwanaidi Mtanda!
Enzi zao walichota pesa Kwmy Mifuko ya Rambo kupeleka Nyumbani
Hongera zake kwa kuokoka na kuwa Mzalendo
Blandina Nyoni ndio alikuwa Mhasibu Mkuu wa Serikal kabla ya Hajjat Mwanaidi Mtanda!
Enzi zao walichota pesa Kwmy Mifuko ya Rambo kupeleka Nyumbani
Hongera zake kwa kuokoka na kuwa Mzalendo
Inawezekana akawa anajisifia mwenyewe ......... au ni mwanae kaanzisha huu uzi. Huwezi jua!!Huyu huyu wakati akiwa Katibu Mkuu Wizara ya Afya aliitwa fisadi, leo anasifiwa, kweli maisha hayapo fair kabisa
Ana makandokando huyu ila kwa sasa sijui ana wadhifa gani toka atoke wizarani alikoifisadi MNH akaenda TRA sasa naona anapongezwa.Kwani kwa sasa blandina nyoni ni nani
Hana lolote huyo, aliharibu sana pale wizara afya. Sema kaenda labda kutengeneza maslahi ya mtu.Kama nakumbuka kitu fulani hivi pale wizara ya afya hapo nyuma, hivi ilikuwaje vile?
Acha ufala...kwahiyo Nehemiah hajafanya lolote? Shirika lilikuwa ICU hiloKila ulipopita ulifanya kazi ya kizalendo.Safisha NHC BILA HOFU.Usiogope kuchukiwa. Fanya maamuzi kwa wakati, ili wananchi walalahoi wanufaike na NHC kwa kupata nyumba za bei nafuu. NHC kulikuwa na giza nene. Tunataka NHC irudi kuhudumia wananchi wa kawaida. Ndiyo lengo lake la mwanzo. Sasa NHC wanakopa fedha kwaajili ya kuhudumia matajiri. NHC mabadiliko hayaepukiki.