Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,356
- 21,390
Kila ulipopita ulifanya kazi ya kizalendo.Safisha NHC BILA HOFU.Usiogope kuchukiwa. Fanya maamuzi kwa wakati, ili wananchi walalahoi wanufaike na NHC kwa kupata nyumba za bei nafuu. NHC kulikuwa na giza nene. Tunataka NHC irudi kuhudumia wananchi wa kawaida. Ndiyo lengo lake la mwanzo. Sasa NHC wanakopa fedha kwaajili ya kuhudumia matajiri. NHC mabadiliko hayaepukiki.
Huyu aliondolewa Wizara ya Afya kwa kushiriki ufujaji wa pesa uliokithiri leo amekuwa Mzalendo.Mh!Inabidi nirudi hsule kujifunza upya maana ya UZALENDO