Hongera sana cloud media group kwa kazi iliyotukuka!

kaka REVO safi sana sisi tuendelee kuwapongeza wale wote wanaogusa maisha ya watu wengine.Kama kuna mtu anadhulumiwa kuna vyombo vya haki si busara kumrushia mtu jiwe pasipo na vivid evidence na kitu kingine sidhani kama wao cloud huwa wanawafuata watu na kuwalazimisha kufanya nao kazi ni media huru mtu anaenda mwenyewe.
Bila CLOUD AKINA linnah na wengine wangetoka vp?au ndo kupigava vikumbo barabarani.Penye ukweli tutasema.
Hongera sana clouds!

bure kabisa!
poor you!
ina maana clouds media ndio media pekee hapa tz?
 
Nachukua nafasi hii adimu kuwapa pongezi kwa mengi mnayofanya,hasa kwa hili la kufanikisha msiba wa ndugu yetu mpendwa A.Mangwair,Ni wazi mlijitoa na kujinyima ili jamii ipate kujua na kufuatilia.
Kwanza kwa kitendo tu cha kumtuma kijana wenu kwenda mpaka S.Africa kutangaza moja kwa moja na kutuhabarisha
Watanzania ni JAMBO KUBWA na kiukweli kabisa jambo hilo kwa kawaida ilipaswa kufanyika na serikali kwa kufuatilia kifo
cha mtu wake lakini ninyi hamkujali hilo mkachukua jukumu hilo.Hakika wengi wetu tumefarijika sana.
Basi nawaombeni muendelee na moyo huo na pongezi nyingi ziwaendee viongozi wote hasa RUGE NA KUSAGA.
Special thanks also goes to MILLAD Ayo who deliberately dare to inform us day to night what happened,going there and here just to make us informed.May God give you long life for your kindness and heartfelt toward the whole thing.
You are so kind and hospitality along the way!Keep it up.EXCELLENT!(Toka south moja kwa moja studio ulitisha!!)
Pia kumbukeni usemi usemao mti wenye matunda do hasa upigwao mawe, mti mkavu watu hawatakuwa na habari nao.
So you just keep going we are proud of you!

aisee, bila shaka wewe utakuwa maskini sana kuanzia tumboni hadi kichwani!
 
tupo wengi ila sema tu hatupendi malumbano yasiyo na maana,
hata wakati mwingine kukaa kimya ni jibu kwa mjinga!

Nilijua utaibuka tu, haya kulikoni kunyonya jasho la wasanii? Ukishajibu hili utufahamishe kama wewe ndiye yeye ama wewe ni mke wake.
 
sawa, wote tunatetea ulaji wetu ila sio kimatakomatako km huyu anaejiita hello

Mkuu, umemaliza mjadala, labda atoke mbishi mwenye kichwa cha nazi alete tena maneno.
Hebu hando mchomvu na b12 wajtokeze.
 
Last edited by a moderator:
Nilijua utaibuka tu, haya kulikoni kunyonya jasho la wasanii? Ukishajibu hili utufahamishe kama wewe ndiye yeye ama wewe ni mke wake.

mimi kawa wewe tu mwaya!
 
Nachukua nafasi hii adimu kuwapa pongezi kwa mengi mnayofanya,hasa kwa hili la kufanikisha msiba wa ndugu yetu mpendwa A.Mangwair,Ni wazi mlijitoa na kujinyima ili jamii ipate kujua na kufuatilia.
Kwanza kwa kitendo tu cha kumtuma kijana wenu kwenda mpaka S.Africa kutangaza moja kwa moja na kutuhabarisha
Watanzania ni JAMBO KUBWA na kiukweli kabisa jambo hilo kwa kawaida ilipaswa kufanyika na serikali kwa kufuatilia kifo
cha mtu wake lakini ninyi hamkujali hilo mkachukua jukumu hilo.Hakika wengi wetu tumefarijika sana.
Basi nawaombeni muendelee na moyo huo na pongezi nyingi ziwaendee viongozi wote hasa RUGE NA KUSAGA.
Special thanks also goes to MILLAD Ayo who deliberately dare to inform us day to night what happened,going there and here just to make us informed.May God give you long life for your kindness and heartfelt toward the whole thing.
You are so kind and hospitality along the way!Keep it up.EXCELLENT!(Toka south moja kwa moja studio ulitisha!!)
Pia kumbukeni usemi usemao mti wenye matunda do hasa upigwao mawe, mti mkavu watu hawatakuwa na habari nao.
So you just keep going we are proud of you!

Mwanzo ukianza vizuri lakini mwisho umekosea manake hata mtoto mdogo anajua umetumwa kuandika hilo kama hukuandikiwa anyway. Kwa taarifa yenu mlichomdhulumu marehemu hamjarudisha hata chembe achana na kuhusika na kifo chake. Frustrations zake mnahusika nazo Clouds
 
Kama huna cha kuandika basi pandisha gagulo kisha chapa lapa...


Huyu Gang Chomba anasahau kwenye post mojawapo leo inayomuhusu Jide akisema kuwa yeye anaichukia clouds kuliko mtu yoyote, kumbe mpiga debe wao. Rafiki wa mwizi ni mwizi tu!
 
Millard alikua anatoa taarifa za uongo pasipo kushuhudia, kukaa kwake kote Joberg alibahatika kuonana na M 2da P mara moja tu, kisha baada ya hapo akawa anaulizia story kwa mwenyeji wke juu ya hali halisi ya M 2da P na matayarisho ya kusafirisha mwili wa marehemu Mangwair, kisha anasema akiripoti live kutoka eneo la tukio, maajabu hata M 2da P anasema alipoenda hospital kumuona hakujua km ni mwandishi wa habari, yeye alijua ni Mbongo mwenzake anayeishi Joberg, so Millard hana kubwa alijualo ndio maana hata hakujua kama M 2da P anakuja kwenye mazishi ya mshakji wke

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Sasa naamini usemi wa Wasanii walio wengi kwamba support ya ukweli ya hawa jamaa hupatikana msanii aliyefujwa anapofariki......kiukweli hata mm nikiwa hai ningeusia nikifa wasije....?
 
tupo wengi ila sema tu hatupendi malumbano yasiyo na maana,
hata wakati mwingine kukaa kimya ni jibu kwa mjinga!

Mimi pia napenda vitu vizuri. Pia sio bendera nikafuata upepo pasipokujua wapi utanifikisha.
 
Ruge sio raia wa Tanzania hivi ile position yake hakuna Mtanzania anayeweza?
 
Back
Top Bottom