Uchaguzi wa madiwani leo ni kuwa Ccm ndio wamepoteza zaidi kwani mpaka sasa wao ndio wamenyanganywa kata nyingi zaidi hadi dakika hii na cdm wanapaswa kupongezwa kwani mpaka sasa wao ndio wamefanikiwa kuongeza idadi ya madiwani kulinganisha na Ccm ambao wamepoteza kata lukuki mpaka muda huu.
Sababu ni kuwa Cdm walikuwa wamepoteza madiwani wawili wa kata za rombo na mvomero na zote wamafanikia kuzirejesha kwenye himaya yao , tena kwa kishindo kikubwa sana na wameongeza za Ccm mpaka sasa kama ifuatavyo,
1.Daraja mbili - Arusha
2. Mlangali - Ludewa
3. Mpwapwa .dodoma
4. Ipole SIkonge
Tlp wamerejesha kata yao ya KIlema kusini VUnjo na Cuf wameongeza kata ya LIwale huko Lindi , na hivyo mpaka sasa inaonyesha kuwa Ccm ndio wamepoteza mpaka matokeo haya ya muda huu , tunasubiri matokeo mengine n ntawaju- baadae
Sababu ni kuwa Cdm walikuwa wamepoteza madiwani wawili wa kata za rombo na mvomero na zote wamafanikia kuzirejesha kwenye himaya yao , tena kwa kishindo kikubwa sana na wameongeza za Ccm mpaka sasa kama ifuatavyo,
1.Daraja mbili - Arusha
2. Mlangali - Ludewa
3. Mpwapwa .dodoma
4. Ipole SIkonge
Tlp wamerejesha kata yao ya KIlema kusini VUnjo na Cuf wameongeza kata ya LIwale huko Lindi , na hivyo mpaka sasa inaonyesha kuwa Ccm ndio wamepoteza mpaka matokeo haya ya muda huu , tunasubiri matokeo mengine n ntawaju- baadae