Hongera Samatha Mbwana kwa kujenga nyumba

esasa04

Member
Apr 6, 2015
19
32
Katika pita pita zangu nikaambiwa huo ndo mjengo wa shujaa wa football TZ a.k.a Mbwana Samatha.

Lakini jamaa anakipiga tu huko Belgium hana hata sifa za kukirusha kitu chake kipya baada ya kuivunja nyumba yake ya awali iliyokuwepo eneo hilo la kisarawe II Kigamboni.

IMG_20161231_153242.jpg
 
Gharama zoote alizotumia ndio nusu ya hela ya kiwanja cha Mondi South Africa
 
18 Reactions
Reply
Back
Top Bottom