Misterdennis
JF-Expert Member
- Jun 4, 2007
- 1,741
- 480
Hongera Mh. Regia
hongera sana,regia. Mwakuu,
dada yetu na mwanachama mwenzetu regia mtema kapitishwa kama mbunge kupitia fursa za viti maalum kwa tiketi ya chama chake (chadema). Nilisikitika ulivyopigana kupitia siasa za jukwaani na kuonekana kama ulichezewa rafu lakini mungu kakusimamia na kahakikisha lengo lako haligongi ukuta.
Kwa hili, bila kuangalia itikadi za kisiasa napenda kumpongeza na kumtakia kila la heri huko bungeni.
Aidha, list itatajwa muda si mrefu kupitia tbc1 kwa wanaoangalia taarifa ya habari ya saa 2 usiku.
wapi kiranga?
Hongera Sana Regia Mtema, wewe ni Mpiganaji.
Hata hivyo, kama kuna evidence za kutosha kukata rufaa dhidi ya matokeo katika jimbo lake la Uchaguzi na akashinda, itakuwaje?
Bibie Regia hongera sana na nakutakia kila la kheri isipokuwa nakuomba kazi moja tu ya ziada, Pamoja na wenzako - WAVUTE KINA DADA WENGINE WENGI CHADEMA, CCM inawapiga bao hapo..
I see far like astronomers, predictive like Nostradamus,
Not Cleo but call me paranormal
Kuna swali la kimsingi hapa..................na jibu lake ni kuwa............akishinda rufani yake basi yeye ataelekea kwenye chaguzi ndogo maana mahakama haina mamlaka ya kumtangaza mshndi ila kuyatengua matokeo endapo itaridhika taratibu zilikiukwa.................baada ya hapo ni kampeni na akishinda jimboni basi kiti maalumu Chadema itabidi iangalie kwenye ile orodha yake nani anafuata.................
Nilikuwa nimepotea kidogo 7bu nilikuwa mbali sana na mtandao ila nimerudi na ninampongeza sana Dada Regina na Chadema kwa ujumla wake na pia na namuomba akawachakachue mafisadi.Good stuff!
Hongera Regia na CHADEMA...
Wakuu,
Dada yetu na mwanachama mwenzetu Regia Mtema kapitishwa kama mbunge kupitia fursa za viti maalum kwa tiketi ya chama chake (CHADEMA). Nilisikitika ulivyopigana kupitia siasa za jukwaani na kuonekana kama ulichezewa rafu lakini Mungu kakusimamia na kahakikisha lengo lako haligongi ukuta.
Kwa hili, bila kuangalia itikadi za kisiasa napenda kumpongeza na kumtakia kila la heri huko Bungeni.
Aidha, list itatajwa muda si mrefu kupitia TBC1 kwa wanaoangalia taarifa ya habari ya saa 2 usiku.