Hongera Rais wa JMT. Nimeona nyumba wanazojengewa wakazi wa Ngorongoro huku Handeni. Kusema kweli unastahili kuwa Rais wa JMT

Ukweli umejulikana sasa, sio kweli kwamba Wamasai wanazuia njia za wanyama bali Wamasai wanaondolewa kwa kuuza maeneo hayo kwa Waarabu. Mipango ya kusafirisha Twiga imerudi.


''More than one thousand community members in Northern Tanzania have gathered to protest against the government's plan to evict people of Loliondo from their ancestral land. According to International Land Coalition-Africa, more than 73,000 Indigenous peoples from Loliondo, and about 90,000 in the Ngorongoro Conservation Area, face eviction to make way for elite tourism and trophy hunting.

The government plans to lease Ngorongoro Conservation Area, home to over one million wildebeest and the endangered black rhino, to hunting company Otterlo Business Corporation, which apparently belongs to the royal family in the United Arab Emirates.
 
Kusema ukweli Huyu mama sio wa kawaida.

Nimeona nyumba za kudumu na kisasa wanazojengewa wakazi wa Ngorongoro wanaohamishiwa Mkoani Tanga maeneo ya Handeni na Kilindi.

Ni nyumba za kisasa zinazoakisi akili ya Serikali yako katika kupanga na kutekeleza mipango thabiti kwa maslahi ya Tanzania. Mtu ambaye amehamisha hakuwa hata na makazi wala hati ya eneo Leo hii anajengewa nyumba ya kisasa na kupewa hati kabisa. Kwangu Mimi so far Naona Serikali ya Awamu ya 6 ndo serikali Bora zaidi katika kufanyia kazi mawazo chanya wanayotoa wananchi.

Tulitoa mawazo humu kuwa hela zinazotumika kuwanunulia chakula Wakazi wa Ngorongoro takribani Bil 4-6 kwa mwaka zipelekwe kuwajengea makazi ya kisasa na kudumu wakazi hawa eneo lingine, na Naona leo wazo hili limefanyiwa Kazi na Serikali ya Awamu ya sita.

Hongera sana Rais Samia. Tutazidi kuleta mawazo zaidi kwako kupitia jukwaa hili.

View attachment 2150236View attachment 2150237
Hata uchumi,wa Mkoa,walikopelekwa utainuka.Kata,Tarafa,Wilaya,Mkoa,uchumi utaongezeka,kwa kuwakaribisha wafugaji,wakulima,wafanyabiashara ni jambo muhimu.Wananchi wa mkoa wa Tanga,mmepata bahati kubwa sana.
 
Back
Top Bottom