Madam President kwa muda mfupi umetuonyesha kile ambacho mtangulizi wako Hayati Magufuli kilimshinda. Umekuwa unatumia busara, haki na ukweli.
Hata pale wananchi wanapolalamika hukurupuki,unapenda kusikiliza pande zote mbili.Huo ndio uadilifu wa uongozi. Tunaishi kwa wema na utulivu tofauti na mwanzo enzi za Magufuli. Kila mwananchi anafanya shughuli zake kwa kujiamini bila ya woga uliokuwepo.
Umesema ukweli kuhusu covid 19 na tunaanza kuona wananchi wakianza kuuchukulia kwa tahadhari zote zinazotolewa. Umeacha utaratibu wa kuwatumbua viongozi hadharani kwani nao ni binadamu wana familia,jamaa ila unachukua hatua kistaarabu na kuwachukulia hatua za kinidhamu.YAANI UMETURUDISHIA UTU NA HESHIMA ULIOPOTEZWA NA HAYATI JPM.
Unajua unachokifanya. Naamini binadamu hawana shukurani,ila Endelea na utaratibu wako kwani kuna methali isemayo tenda wema uende zako.
WEWE NI RAIS WA TANZANIA HADI 2030. MWENYEZI MUNGU AKUPE AFYA NJEMA NA AKUJAALIE MAISHA MAREFU.
AMEEN.
Hata pale wananchi wanapolalamika hukurupuki,unapenda kusikiliza pande zote mbili.Huo ndio uadilifu wa uongozi. Tunaishi kwa wema na utulivu tofauti na mwanzo enzi za Magufuli. Kila mwananchi anafanya shughuli zake kwa kujiamini bila ya woga uliokuwepo.
Umesema ukweli kuhusu covid 19 na tunaanza kuona wananchi wakianza kuuchukulia kwa tahadhari zote zinazotolewa. Umeacha utaratibu wa kuwatumbua viongozi hadharani kwani nao ni binadamu wana familia,jamaa ila unachukua hatua kistaarabu na kuwachukulia hatua za kinidhamu.YAANI UMETURUDISHIA UTU NA HESHIMA ULIOPOTEZWA NA HAYATI JPM.
Unajua unachokifanya. Naamini binadamu hawana shukurani,ila Endelea na utaratibu wako kwani kuna methali isemayo tenda wema uende zako.
WEWE NI RAIS WA TANZANIA HADI 2030. MWENYEZI MUNGU AKUPE AFYA NJEMA NA AKUJAALIE MAISHA MAREFU.
AMEEN.