Mtondoli
Member
- Nov 9, 2021
- 70
- 174
Mimi ni muumini wa viongozi Bora na sio watawala Bora. Rais Samia Suluhu Hassan ameonyesha yeye nikiongozi na sio mtawala, tulichelewe sana kumuona huyu mama, zamani nilikuwa mgumu wa kuamini kwamba mwanamke anaweza kuwa shupavu kama huyu
Huyu ni bingwa wa diplomasia na ukiangalia hasa moyo wake umebeba matamanio makubwa tuliyonayo sote. Wapinzani ni sawa na watoto anaweza kulilia chakura hata kama hakijaiva. Tusihaingaike na makelele ya watu wasio elewa waelekee wapi nampongeza sana huyu ndiye malkia wa nguvu 2021
Huyu ni bingwa wa diplomasia na ukiangalia hasa moyo wake umebeba matamanio makubwa tuliyonayo sote. Wapinzani ni sawa na watoto anaweza kulilia chakura hata kama hakijaiva. Tusihaingaike na makelele ya watu wasio elewa waelekee wapi nampongeza sana huyu ndiye malkia wa nguvu 2021