Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 13,226
- 26,048
Amani iwe nawe Mama yetu,
Napenda tu kukwambia, kati ya mambo ambayo wadau wa kimaendeleo wanayaangalia juu ya kiongozi ni maoni ya wapinzani wake juu ya utawala wake.
Maoni ya mpinzani wako kwanza yanawapa confidence development partners, pili yanawapa trust foreign investors na tatu yanakujenga vizuri ndani na nje.
Napenda kukwambia Rais wetu, Tundu Antiphas Lissu katika kipindi cha jana katika channel ya Voice of America, amekusafishia njia, sasa ni wewe tu kufanya yale mazuri Yaliyo moyoni kwako.
Najua unaendelea kusafisha nyumba yako ili maono yako juu ya Tanzania Nzuri yenye maendeleo na mafanikio tele yapate kutimia. Naomba Mama yetu usiache kusafisha nyumba yetu hasa kwa wale watu waliochafua taswira juu ya nchi yetu huku nje, Upande wa mashtaka kwa kesi za kubambikiza juu ya raia na wanaharakati, wale walionyanyasa watu kwa kuteka watu, kuwaweka ndani na kuwashtaki kwa makosa ya uongo ,pamoja na wale waliominya uhuru wa vyombo vya Habari.
Kwenye uchumi usiacha kushughulika na tabia zile za kufungia biashara , kufirisi makampuni na kufanya uwekezaji ushuke Tanzania na watu wakose ajira
Napenda tu kukwambia, kati ya mambo ambayo wadau wa kimaendeleo wanayaangalia juu ya kiongozi ni maoni ya wapinzani wake juu ya utawala wake.
Maoni ya mpinzani wako kwanza yanawapa confidence development partners, pili yanawapa trust foreign investors na tatu yanakujenga vizuri ndani na nje.
Napenda kukwambia Rais wetu, Tundu Antiphas Lissu katika kipindi cha jana katika channel ya Voice of America, amekusafishia njia, sasa ni wewe tu kufanya yale mazuri Yaliyo moyoni kwako.
Najua unaendelea kusafisha nyumba yako ili maono yako juu ya Tanzania Nzuri yenye maendeleo na mafanikio tele yapate kutimia. Naomba Mama yetu usiache kusafisha nyumba yetu hasa kwa wale watu waliochafua taswira juu ya nchi yetu huku nje, Upande wa mashtaka kwa kesi za kubambikiza juu ya raia na wanaharakati, wale walionyanyasa watu kwa kuteka watu, kuwaweka ndani na kuwashtaki kwa makosa ya uongo ,pamoja na wale waliominya uhuru wa vyombo vya Habari.
Kwenye uchumi usiacha kushughulika na tabia zile za kufungia biashara , kufirisi makampuni na kufanya uwekezaji ushuke Tanzania na watu wakose ajira