Hongera Rais Samia, Kwenda US, Kuhutubia UN, Safari ya Kuzindua Filamu Yako ya Royal Tour, Tunaomba Tukusindikize, Dreamliner Yetu Itue New York

Wanabodi,

Kila nipatapo fursa, huwaletea mfufululizo wa makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" Makala ya leo ni bandiko la pongezi na ombi. Pongezi ni kwa Rais Samia, kusafiri kwa kukwea pipa la watu, kwenda nchini Marekani, na kuhutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, UNGA. Ombi ni kwa Safari ijayo ya Rais Samia kwenda Marekani ni mwanzoni mwa mwaka ujao, kwenda kuzindua ile filamu yako, ya Royal Tour, tunakuomba safari hiyo, usipande ndege za watu, panda ndege yetu ya Dreamliner, tena tunaomba safari hiyo itangazwe kikamilifu kabla, ili Watanzania wenye uwezo, wakiwemo wasanii, wanamichezo, wafanyabiashara wakubwa na na sisi waandishi wa habari, tukusindikize kuitangaza Tanzania, na tangazo la Dreamliner yetu kutua pale JFK, jijini New York, Marekani ni tangazo tosha la utalii, kuvutia Wamarekani kutembelea Tanzania, kwa Tanzania kuonyeshea tuna direct flighs za US. Hongera sana, Mama Samia kwenda Marekani na kuhutubia UN.

Declaration of Interest
Humu jf kuna kikundi fulani kidogo, cha watu fulani wako kama wajingajinga fulani, kwenye issues serious za kujadili issues na idears wao wanaleta umbea wa kujadili watu, wako kama wetu wenye wivu wa kike, (Mama zangu,,dada zangu, wake zangu, binti zangu na wapenzi wangu, mnisamehe sana kwa neno wivu wa kike), ni kawaida kwa wanawake kuwa na wivu, ila kitu cha ajabu humu JF, hao wajinga wenye wivu wa kike humu JF, sio wanawake!, ukiandika chochote kizuri kuhusu serikali yetu, kama kuipongeza serikali au kiongozi yoyote wa serikali, wao wivu huwaka moto ndani yao , hivyo hununa, kuanza kubeza, au hata kutukana na badala ya kujadili mada iliyopp mezani, huleta viroja vya kumjadili mtoa mada kuwa ana njaa, na pongezi hizo, sio pongezi za kweli bali ni pongezi za kujikombakomba na kujipendekeza kusaka uteuzi!. Hawa ni wajinga. Naomba kama na wewe ni mmoja wa kundi hili, nakushauri bora uishie hapa, bandiko hili hatutaki umbea wa kumjadili mtu, wala wivu wa kike, kuumia mtu mwingine anapofanikiwa, anaposifiwa au kuongeza. Naomba ku declare interest openly, mimi Pasco Mayalla, huwa naandika kusifia vitu vya kweli tupu na vinavyostahili sifa, na pongezi, tena napongeza kwa dhati kwa maslahi ya taifa na sio kwa lengo la kusaka fursa za uteuzi wowote na kama kuna makosa, huwa nakosoa. Msifiaji msaka fursa au mtafuta uteuzi, kazi yake itakuwa ni kusifu tuu, kamwe hawezi kukosoa!. Mimi kwenye sifa nasifu na kwenye makosa nakosoa.

Kwa Vile JPM Hakuvuka Bahari, Kitendo Cha Rais Samia Kuvuka Bahari, Kuhutubia UN, Kinastahili Pongezi za Dhati.
Kwa vile kipindi chote cha JPM, hakuwahi kuvuka bahari, na rais wa Tanzania hakuwahi kuhutubia UN kwa miaka yote mitano ya JPM, kitendo cha Samia kuvuka bahari, kwenda nchini Marekani na kuhutubia UNGA, kinastahili pongezi za dhati. Hongera sana Rais Samia.

Rais Akisafiri Media Huwa Inaonyesha Akikwea na Akitua, Hii Safari ya UN Vipi?.
Kwa kawaida rais akisafiri, huwa tunaonyeshwa picha na video za eapoti, siku akiondoka huku akionekana akipanda ndege, na siku akirudi pia tunaonyeshwa akishuka kwenye ndege, na kuandaliwa press briefing ya rais pale eapoti kutujuza kilichojiri huko. Lakini safari hii ya Mama Samia kwenda UN, hatukuonyeshwa akipanda ndege, wala akishuka kupokelewa bali tumeelezwa tuu kuwa rais atakwenda Marekani, hatukuonyeshwa akiondoka, wala akipokelewa, tukaja kuonyeshwa tayari ameishafika Marekani akijichanganya na Watanzania, akiwemo Mtanzania mwenzetu maarufu sana aishie Marekani Da Mange ndio tukajua kumbe rais keshafika.

Hakuna chombo cha habari kinachojiuliza kwanini rais asafiri kimya kimya, apokelewe kimya kimya na kuibuka tuu tayari yupo Marekani. Kuna sababu gani ya rais wetu kusafiri bila kutumia ndege zetu, na badala yake rais wetu kasafiri kwa ndege za mashirika ya nje hivyo sio busara kumpiga picha rais wetu akikwea pipa la watu, wenyewe hawapendi na usumbufu kwa abiria wengine.

Kama Tanzania Tuna Ndege Zenye Uwezo wa Kufanya Direct Flights to US, Kwanini Rais Wetu Apande Commercial Flights?.
Enzi za Mkapa na JK, mimi nikiwa mwandishi wa habari wa kujitegemea, wakati wa safari za mbali za rais wetu, vyombo vya habari tulialikwa kumsindikiza rais wetu, na alikuwa anaandamana na kundi kubwa la wafanyabiashara. Enzi hizo pia rais wetu alipanda ndege za mashirika mengine kwasababu wakati huo, Tanzania tulikuwa hatuna ndege zenye uwezo huo.

Lakini kipindi cha JPM, Tanzania imejenga uwezo, sasa Tanzania tuna ndege kubwa za abiria za masafa marefu, kwanini rais wetu aendelee kusafiri na ndege za mashirika mengine, wakati sisi tunalo shirika letu, ATC, tunazo ndege za masafa marefu, Boeng na Airbus “The Dreamliner”?. Why?!. Hii ni aibu!. Ile siku sisi waandishi tulipopata fursa ya kumuuliza maswali JPM, pale Ikulu, nilipopata nafasi, kabla ya kuuliza swali, nilitoa hoja ya waandishi tushirikishwe kwenye mambo ya kuitangaza vizuri nchi yetu, na mimi nikasema waandishi tutajitegemea, kwa usafir chakula na malazi. Nimesafiri sana na Mkapa na JK, hivyo hii sasa ni zamu ya Samia, akisafiri safari za kimataifa, itolewe fursa kwa vyombo binafsi na wafanyabiashara kuandamana na rais.

Bila hata kusubiri majibu ya serikali au ya ATC, sababu pekee iliyomfanya rais Samia kusafiri kwenda Marekani kwa ndege za abiria za mashirika mengine, ni kwasababu kwanza ATC haina route ya Marekani, pili kupeleka mdege mkubwa, kama Dreamliner Marekani ni gharama, mafuta na landing charges ambazo zinalipwa kwa saa, hivyo huo mdege umpeleke rais Marekani, umsubiri kwa siku atakazokazokaa huko, na kumrudisha, ukilinganisha na kama akipanda ndege ya abiria kama wasafiri wengine, usafiri wa ndege za abiria ni nafuu kuliko kuipeleka Dreamliner Marekani.

Kutangaza Utalii Kimataifa ni Ghali, Hakuna Kitu Kinaongoza Kutangaza Utalii Kama Usafiri wa Ndege
Kama ilivyo katika kutangaza utalii, kuandaa filamu ya utalii na kuitangaza katika vyombo vya kimataifa, ni ghali, lakini kama tunataka kukuza utalii, hatuwezi kuepuka gharama, ndio maana tumekubali rais wetu kurekodi filamu ya Royal Tour kuutangaza utalii wetu. Hakuna kitu kinachoongoza kuvutia utalii, kama usafiri wa direct flights. Hakuna kitu kingeitangaza Tanzania nchini Marekani, kama ndege ya ATC kutua uwanja wa ndege wa New York, nchini Marekani huku imembeba rais wa Tanzania.

Rais wa Tanzani kwenda nchini yoyote ikiwemo Marekani kwa ndege ya watu wengine, wakati ATC inazo hizo ndege ni aibu, ni kosa, kosa sio kufanya kosa, kosa ni kurudia kosa, muda wowote mwakani, kuanzia miezi ya mwanzoni, rais Samia atakuwa na ziara rasmi ya kutembelea Marekani, ambapo katika ziara hiyo pia rais Samia ndio ataizindua rasmi ile filamu yake ya Royal Tour, naomba sana, tusifanye tena kosa la rais wetu kusafiri kwa ndege za watu, tusirudie kosa kwa rais wetu kutua Marekani kwa ndege za watu wakati sisi wenyewe tunazo hizo ndege na uwezo wa kulirusha li Dreamliner letu likiwa full board kwenda Marekani, tunao.

Kitu cha kufanyika ni kabla rais hajafanya ziara nchi yoyote, zille taasisi zote zinazohusika na shughuli mbalimbali ziarifiwe rasmi, ili ziandae trips. Mfano baada tuu ya kujua filamu ya Royal Tour inayo muonyesha movie Star wa Tanzania, Chief Hangai, itazinduliwa lini, nchini Marekani. Na tunajua Dreamliner inabeba abiria 300, ukiondoa rais na ujumbe wake wa kiserikali, say ni watu 30, kwanza serikali inatangaza fursa kwa taasisi zote za umma, wenye issues zozote za kufanya Marekani, wapange hizo issues zao zifanyike kipindi hicho. Waserikali hao, wafanye booking ATC. Then ATC inatangaza excursion trip ya Marekani kwa nafasi zote zilizobakia, hivyo trip ina correspond na siku za ziara ya rais kwenye nchi hiyo, lets say ni ziara inakayodumu siku 7. Inauza hizo nafasi zilizobakia kwa wafanyabiashara wa sekta binafsi, au Watanzania wengine wowote wenye uwezo, tukiwemo sisi waandishi wa habari.

Dreamliner Yetu ikitua JFK, Utaungaza Vizuri Utalii Wetu Kuliko Tangazo Jingine Lolote!.
Hivyo Taarifa tuu kuwa rais wa Tanzania, ametua Marekani na dege la Dreamliner la Tanzania, akiandamana na ujumbe wa watu 300!. Hili ni tangazo tosha la utalii kimataifa, kwasababu hakuna ndege yoyote ya direct kutoka Marekani hadi Tanzania, hivyo ATC pia itapata fursa ya kuanzisha route ya Marekani na nawahikishia ndege itajaa!.

Paskali

Extremely rubbish print from you! Kwamba kwakuwa JPM hakwenda huko na huyu kaenda ndio kafanya jambo kubwa? Now I don't wonder why most of JF Jukwaa la Siasa contributors make a lot of fun of you!
 
Pascalli unamsifia mtu anayedanganya watu yaani wewe Mzee umekuwa mchawi unatuaminisha sisi watanzania namnagani elimu zetu zilivyombovu yaani kizazi cha KINAFIKI
 
Wanabodi,

View attachment 1953067
Kila nipatapo fursa, huwaletea mfufululizo wa makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" Makala ya leo ni bandiko la pongezi na ombi. Pongezi ni kwa Rais Samia, kusafiri kwa kukwea pipa la watu, kwenda nchini Marekani, na kuhutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, UNGA. Ombi ni kwa Safari ijayo ya Rais Samia kwenda Marekani ni mwanzoni mwa mwaka ujao, kwenda kuzindua ile filamu yako, ya Royal Tour, tunakuomba safari hiyo, usipande ndege za watu, panda ndege yetu ya Dreamliner, tena tunaomba safari hiyo itangazwe kikamilifu kabla, ili Watanzania wenye uwezo, wakiwemo wasanii, wanamichezo, wafanyabiashara wakubwa na na sisi waandishi wa habari, tukusindikize kuitangaza Tanzania, na tangazo la Dreamliner yetu kutua pale JFK, jijini New York, Marekani ni tangazo tosha la utalii, kuvutia Wamarekani kutembelea Tanzania, kwa Tanzania kuonyeshea tuna direct flighs za US. Hongera sana, Mama Samia kwenda Marekani na kuhutubia UN.

Declaration of Interest
Humu jf kuna kikundi fulani kidogo, cha watu fulani wako kama wajingajinga fulani, kwenye issues serious za kujadili issues na idears wao wanaleta umbea wa kujadili watu, wako kama wetu wenye wivu wa kike, (Mama zangu,,dada zangu, wake zangu, binti zangu na wapenzi wangu, mnisamehe sana kwa neno wivu wa kike), ni kawaida kwa wanawake kuwa na wivu, ila kitu cha ajabu humu JF, hao wajinga wenye wivu wa kike humu JF, sio wanawake!, ukiandika chochote kizuri kuhusu serikali yetu, kama kuipongeza serikali au kiongozi yoyote wa serikali, wao wivu huwaka moto ndani yao , hivyo hununa, kuanza kubeza, au hata kutukana na badala ya kujadili mada iliyopp mezani, huleta viroja vya kumjadili mtoa mada kuwa ana njaa, na pongezi hizo, sio pongezi za kweli bali ni pongezi za kujikombakomba na kujipendekeza kusaka uteuzi!. Hawa ni wajinga. Naomba kama na wewe ni mmoja wa kundi hili, nakushauri bora uishie hapa, bandiko hili hatutaki umbea wa kumjadili mtu, wala wivu wa kike, kuumia mtu mwingine anapofanikiwa, anaposifiwa au kuongeza. Naomba ku declare interest openly, mimi Pasco Mayalla, huwa naandika kusifia vitu vya kweli tupu na vinavyostahili sifa, na pongezi, tena napongeza kwa dhati kwa maslahi ya taifa na sio kwa lengo la kusaka fursa za uteuzi wowote na kama kuna makosa, huwa nakosoa. Msifiaji msaka fursa au mtafuta uteuzi, kazi yake itakuwa ni kusifu tuu, kamwe hawezi kukosoa!. Mimi kwenye sifa nasifu na kwenye makosa nakosoa.

Kwa Vile JPM Hakuvuka Bahari, Kitendo Cha Rais Samia Kuvuka Bahari, Kuhutubia UN, Kinastahili Pongezi za Dhati.
Kwa vile kipindi chote cha JPM, hakuwahi kuvuka bahari, na rais wa Tanzania hakuwahi kuhutubia UN kwa miaka yote mitano ya JPM, kitendo cha Samia kuvuka bahari, kwenda nchini Marekani na kuhutubia UNGA, kinastahili pongezi za dhati. Hongera sana Rais Samia.

Rais Akisafiri Media Huwa Inaonyesha Akikwea na Akitua, Hii Safari ya UN Vipi?.
Kwa kawaida rais akisafiri, huwa tunaonyeshwa picha na video za eapoti, siku akiondoka huku akionekana akipanda ndege, na siku akirudi pia tunaonyeshwa akishuka kwenye ndege, na kuandaliwa press briefing ya rais pale eapoti kutujuza kilichojiri huko. Lakini safari hii ya Mama Samia kwenda UN, hatukuonyeshwa akipanda ndege, wala akishuka kupokelewa bali tumeelezwa tuu kuwa rais atakwenda Marekani, hatukuonyeshwa akiondoka, wala akipokelewa, tukaja kuonyeshwa tayari ameishafika Marekani akijichanganya na Watanzania, akiwemo Mtanzania mwenzetu maarufu sana aishie Marekani Da Mange ndio tukajua kumbe rais keshafika.

Hakuna chombo cha habari kinachojiuliza kwanini rais asafiri kimya kimya, apokelewe kimya kimya na kuibuka tuu tayari yupo Marekani. Kuna sababu gani ya rais wetu kusafiri bila kutumia ndege zetu, na badala yake rais wetu kasafiri kwa ndege za mashirika ya nje hivyo sio busara kumpiga picha rais wetu akikwea pipa la watu, wenyewe hawapendi na usumbufu kwa abiria wengine.

Kama Tanzania Tuna Ndege Zenye Uwezo wa Kufanya Direct Flights to US, Kwanini Rais Wetu Apande Commercial Flights?.
Enzi za Mkapa na JK, mimi nikiwa mwandishi wa habari wa kujitegemea, wakati wa safari za mbali za rais wetu, vyombo vya habari tulialikwa kumsindikiza rais wetu, na alikuwa anaandamana na kundi kubwa la wafanyabiashara. Enzi hizo pia rais wetu alipanda ndege za mashirika mengine kwasababu wakati huo, Tanzania tulikuwa hatuna ndege zenye uwezo huo.

Lakini kipindi cha JPM, Tanzania imejenga uwezo, sasa Tanzania tuna ndege kubwa za abiria za masafa marefu, kwanini rais wetu aendelee kusafiri na ndege za mashirika mengine, wakati sisi tunalo shirika letu, ATC, tunazo ndege za masafa marefu, Boeng na Airbus “The Dreamliner”?. Why?!. Hii ni aibu!. Ile siku sisi waandishi tulipopata fursa ya kumuuliza maswali JPM, pale Ikulu, nilipopata nafasi, kabla ya kuuliza swali, nilitoa hoja ya waandishi tushirikishwe kwenye mambo ya kuitangaza vizuri nchi yetu, na mimi nikasema waandishi tutajitegemea, kwa usafir chakula na malazi. Nimesafiri sana na Mkapa na JK, hivyo hii sasa ni zamu ya Samia, akisafiri safari za kimataifa, itolewe fursa kwa vyombo binafsi na wafanyabiashara kuandamana na rais.

Bila hata kusubiri majibu ya serikali au ya ATC, sababu pekee iliyomfanya rais Samia kusafiri kwenda Marekani kwa ndege za abiria za mashirika mengine, ni kwasababu kwanza ATC haina route ya Marekani, pili kupeleka mdege mkubwa, kama Dreamliner Marekani ni gharama, mafuta na landing charges ambazo zinalipwa kwa saa, hivyo huo mdege umpeleke rais Marekani, umsubiri kwa siku atakazokazokaa huko, na kumrudisha, ukilinganisha na kama akipanda ndege ya abiria kama wasafiri wengine, usafiri wa ndege za abiria ni nafuu kuliko kuipeleka Dreamliner Marekani.

Kutangaza Utalii Kimataifa ni Ghali, Hakuna Kitu Kinaongoza Kutangaza Utalii Kama Usafiri wa Ndege
Kama ilivyo katika kutangaza utalii, kuandaa filamu ya utalii na kuitangaza katika vyombo vya kimataifa, ni ghali, lakini kama tunataka kukuza utalii, hatuwezi kuepuka gharama, ndio maana tumekubali rais wetu kurekodi filamu ya Royal Tour kuutangaza utalii wetu. Hakuna kitu kinachoongoza kuvutia utalii, kama usafiri wa direct flights. Hakuna kitu kingeitangaza Tanzania nchini Marekani, kama ndege ya ATC kutua uwanja wa ndege wa New York, nchini Marekani huku imembeba rais wa Tanzania.

Rais wa Tanzani kwenda nchini yoyote ikiwemo Marekani kwa ndege ya watu wengine, wakati ATC inazo hizo ndege ni aibu, ni kosa, kosa sio kufanya kosa, kosa ni kurudia kosa, muda wowote mwakani, kuanzia miezi ya mwanzoni, rais Samia atakuwa na ziara rasmi ya kutembelea Marekani, ambapo katika ziara hiyo pia rais Samia ndio ataizindua rasmi ile filamu yake ya Royal Tour, naomba sana, tusifanye tena kosa la rais wetu kusafiri kwa ndege za watu, tusirudie kosa kwa rais wetu kutua Marekani kwa ndege za watu wakati sisi wenyewe tunazo hizo ndege na uwezo wa kulirusha li Dreamliner letu likiwa full board kwenda Marekani, tunao.

Kitu cha kufanyika ni kabla rais hajafanya ziara nchi yoyote, zille taasisi zote zinazohusika na shughuli mbalimbali ziarifiwe rasmi, ili ziandae trips. Mfano baada tuu ya kujua filamu ya Royal Tour inayo muonyesha movie Star wa Tanzania, Chief Hangai, itazinduliwa lini, nchini Marekani. Na tunajua Dreamliner inabeba abiria 300, ukiondoa rais na ujumbe wake wa kiserikali, say ni watu 30, kwanza serikali inatangaza fursa kwa taasisi zote za umma, wenye issues zozote za kufanya Marekani, wapange hizo issues zao zifanyike kipindi hicho. Waserikali hao, wafanye booking ATC. Then ATC inatangaza excursion trip ya Marekani kwa nafasi zote zilizobakia, hivyo trip ina correspond na siku za ziara ya rais kwenye nchi hiyo, lets say ni ziara inakayodumu siku 7. Inauza hizo nafasi zilizobakia kwa wafanyabiashara wa sekta binafsi, au Watanzania wengine wowote wenye uwezo, tukiwemo sisi waandishi wa habari.

Dreamliner Yetu ikitua JFK, Utaungaza Vizuri Utalii Wetu Kuliko Tangazo Jingine Lolote!.
Hivyo Taarifa tuu kuwa rais wa Tanzania, ametua Marekani na dege la Dreamliner la Tanzania, akiandamana na ujumbe wa watu 300!. Hili ni tangazo tosha la utalii kimataifa, kwasababu hakuna ndege yoyote ya direct kutoka Marekani hadi Tanzania, hivyo ATC pia itapata fursa ya kuanzisha route ya Marekani na nawahikishia ndege itajaa!.

Paskali


Paskali unafahamu vigezo na masharti ya USFAA kwa Shirika la ndege la nje kupewa clearance ya kuanzisha direct flights kwenda Marekani ? Hebu fuatilia kwanza ujue Kenya Airways ilichukua miaka mingapi application yao kukubaliwa mkuu ? Hawaangalii upya wa ndege zako tu ,fuatilia utupe majibu.

In 2013, Kenya applied to the US Federal Aviation Administration (FAA) to be considered for Category One but the application was rejected. In 2014, the rejection was upheld following an audit of Jomo Kenyatta International Airport (JKIA) which indicated the airport was not fenced, there was no separation between arriving and departing passengers and that there were houses built too close to the airport. The airport administration took several steps that saw JKIA qualify for accreditation of Category One in February 2017. Read more: List of African countries with direct flights to the United States of America
 
Paskali unafahamu vigezo na masharti ya USFAA kwa Shirika la ndege la nje kupewa clearance ya kuanzisha direct flights kwenda Marekani ? Hebu fuatilia kwanza ujue Kenya Airways ilichukua miaka mingapi application yao kukubaliwa mkuu ? Hawaangalii upya wa ndege zako tu ,fuatilia utupe majibu.

In 2013, Kenya applied to the US Federal Aviation Administration (FAA) to be considered for Category One but the application was rejected. In 2014, the rejection was upheld following an audit of Jomo Kenyatta International Airport (JKIA) which indicated the airport was not fenced, there was no separation between arriving and departing passengers and that there were houses built too close to the airport. The airport administration took several steps that saw JKIA qualify for accreditation of Category One in February 2017. Read more: List of African countries with direct flights to the United States of America
Mkuu Bravo Mike, kwanza asante kutuletea vigezo vya USFAA, ila sisi Tanzania tuna mkataba wa Anga Huria na Marekani, hatuhitaji kuomba kibali kingine chochote zaidi ya notification for landing clearance.
P
 
Tatizo waafrika wengi wanaweka mbela hisia zao badala ya Tafiti za kisayansi.
Hivi kwenye Mkutano mkubwa wa marais wa nchi zaidi ya mia moja nani atapoteza muda kutangaza ndege kutoka Tanzania? Na je, tukio hilo litarudiwa Mara ngapi kwenye vyombo vya habari vya Magharibi ?

Kosa kubwa la serikali kutumia zaidi ya Tril.1 kununua ndege ni jambo lililoisababishia nchi hasara kubwa sana. Akina Paskali wanaona aibu kuweka waza misimamo yao juu ya hasara kubwa iliyosababishwa na awamu ya tano na sasa inaendelezwa na awamu ya sita.

Hivi MTU mwenye nia njema kabisa na watu wake anaweza kutumia tril. 1 kununa chombo cha usafiri wakati vijana wanajenga mabanda ya mbao kwenye barabara kwa kukosa maeneo ya kufanyia biashara. Kwa kukosa mipango wanageuka na kuwaita wamachinga wakati wamejenga fremu na hawafanyi biashara ya kutembea Bali ni maeneo waliyojijengea na kila mmoja ana miliki kibanda chake juu ya mtaro na wengine wanauza mpaka bia sehemu isiyo na choo.

Tril. 1 ingeweza kujenga Nyumba za watumishi wa umma zenye thamani ya sh. Mil 1 kwa kila nyumba ,zaidi ya nyumba elfu kumi. Jiji la Dodoma lingekua halina tatizo tena la nyumba bora za kuishi watumishi wa umma. Na kwa kutumia NHC nyumba hizo zingekua zinalipiwa pango kwa bei nafuu au zingekospeshwa kwa kwa kulipa kidogokidogo ili hatimaye watanzania wawe wanaishi kwenye nyumba bora zenye huduma muhimu zilizojengwa kwa kuzingatia ramani ya jiji.
Wizi mkubwa na rushwa serikalini na hata kwenye mashirika ya umma na binafsi unatokana na ukweli kuwa kila mfanyabishara au mfanyakazi anawazi kujenga aondokane na adha ya wenye nyumba. Matokeo yake ni ujenzi usiozingatia ramani za mipango miji.
Ujenzi usiozingatia mipango miji sio maendeleo endelevu kwani miaka ijayo miji iliyojengwa hovyo itabidi ivunjwe ili pafanyike ujenzi wa majengo marefu kama Yale ya magomeni ili kupunguza uwezekano wa ardhi yote ya nchi kuwa makazi. Kwa maana kwamba watu let say mil. 150 wenye Sera za ujamaa na kujitegemea wanaowaza kila mmoja kumiliki nyumba kuepukana na kodi kubwa inayoongezela bila udhibiti ,hii ina maana kuwa nchi nzima itakua ni makazi ya watu. Wakati huo huo kuna vyanzo vya maji na hifadhi kwa ajili ya wanyama na misitu. Uharibifu wa mazingira n.k. litakua ni taifa la ajabu. Hili Watawala hawalioni wala vyama vya siasa na hata NCCR Mageuzi waliokua na Sera nzuri ya makazi hawalizungumzii tena.

Serikali ziwekeze kwenye makazi ya watu. Ndege zipo tu na hakuna MTU aliyeshindwa kuja Tanzania au kwenda Nje kwa sababu ya kukosa usafiri. Ndege zipo nyingi sana zinakosa mpaka abiria tatizo ni kukosa mbinu za kuitangaza nchi na sio ndege.

Hivi yale matshrt ya Vyama yangechomwa moto na kutengeneza T-shirt zenye maandishi ya kutangaza mlima Kilimanjaro ,Tanzania ,Zanzibar, Ngorongoro. Mikumi ,Pangani, Bagamoyo, Kilwa Masoko. Liwale n.k ikawa ni kama jadi yetu kuzivaa na kwenye makongamano mbalimbali badala ya matsht ya vyama. Na iwe kila mtalii anayeingia Tanzania anapokua ameliingizia Taifa zaidi ya sh.500000 awe anapewa zawadi ya Tshrt , mbili au tatu ili akawape marafiki zake huko Ulaya . Tungekua tumeitangaza nchi kwa kiwango cha juu sana.

Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
 
Wanabodi,

View attachment 1953067
Kila nipatapo fursa, huwaletea mfufululizo wa makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" Makala ya leo ni bandiko la pongezi na ombi. Pongezi ni kwa Rais Samia, kusafiri kwa kukwea pipa la watu, kwenda nchini Marekani, na kuhutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, UNGA. Ombi ni kwa Safari ijayo ya Rais Samia kwenda Marekani ni mwanzoni mwa mwaka ujao, kwenda kuzindua ile filamu yako, ya Royal Tour, tunakuomba safari hiyo, usipande ndege za watu, panda ndege yetu ya Dreamliner, tena tunaomba safari hiyo itangazwe kikamilifu kabla, ili Watanzania wenye uwezo, wakiwemo wasanii, wanamichezo, wafanyabiashara wakubwa na na sisi waandishi wa habari, tukusindikize kuitangaza Tanzania, na tangazo la Dreamliner yetu kutua pale JFK, jijini New York, Marekani ni tangazo tosha la utalii, kuvutia Wamarekani kutembelea Tanzania, kwa Tanzania kuonyeshea tuna direct flighs za US. Hongera sana, Mama Samia kwenda Marekani na kuhutubia UN.

Declaration of Interest
Humu jf kuna kikundi fulani kidogo, cha watu fulani wako kama wajingajinga fulani, kwenye issues serious za kujadili issues na idears wao wanaleta umbea wa kujadili watu, wako kama wetu wenye wivu wa kike, (Mama zangu,,dada zangu, wake zangu, binti zangu na wapenzi wangu, mnisamehe sana kwa neno wivu wa kike), ni kawaida kwa wanawake kuwa na wivu, ila kitu cha ajabu humu JF, hao wajinga wenye wivu wa kike humu JF, sio wanawake!, ukiandika chochote kizuri kuhusu serikali yetu, kama kuipongeza serikali au kiongozi yoyote wa serikali, wao wivu huwaka moto ndani yao , hivyo hununa, kuanza kubeza, au hata kutukana na badala ya kujadili mada iliyopp mezani, huleta viroja vya kumjadili mtoa mada kuwa ana njaa, na pongezi hizo, sio pongezi za kweli bali ni pongezi za kujikombakomba na kujipendekeza kusaka uteuzi!. Hawa ni wajinga. Naomba kama na wewe ni mmoja wa kundi hili, nakushauri bora uishie hapa, bandiko hili hatutaki umbea wa kumjadili mtu, wala wivu wa kike, kuumia mtu mwingine anapofanikiwa, anaposifiwa au kuongeza. Naomba ku declare interest openly, mimi Pasco Mayalla, huwa naandika kusifia vitu vya kweli tupu na vinavyostahili sifa, na pongezi, tena napongeza kwa dhati kwa maslahi ya taifa na sio kwa lengo la kusaka fursa za uteuzi wowote na kama kuna makosa, huwa nakosoa. Msifiaji msaka fursa au mtafuta uteuzi, kazi yake itakuwa ni kusifu tuu, kamwe hawezi kukosoa!. Mimi kwenye sifa nasifu na kwenye makosa nakosoa.

Kwa Vile JPM Hakuvuka Bahari, Kitendo Cha Rais Samia Kuvuka Bahari, Kuhutubia UN, Kinastahili Pongezi za Dhati.
Kwa vile kipindi chote cha JPM, hakuwahi kuvuka bahari, na rais wa Tanzania hakuwahi kuhutubia UN kwa miaka yote mitano ya JPM, kitendo cha Samia kuvuka bahari, kwenda nchini Marekani na kuhutubia UNGA, kinastahili pongezi za dhati. Hongera sana Rais Samia.

Rais Akisafiri Media Huwa Inaonyesha Akikwea na Akitua, Hii Safari ya UN Vipi?.
Kwa kawaida rais akisafiri, huwa tunaonyeshwa picha na video za eapoti, siku akiondoka huku akionekana akipanda ndege, na siku akirudi pia tunaonyeshwa akishuka kwenye ndege, na kuandaliwa press briefing ya rais pale eapoti kutujuza kilichojiri huko. Lakini safari hii ya Mama Samia kwenda UN, hatukuonyeshwa akipanda ndege, wala akishuka kupokelewa bali tumeelezwa tuu kuwa rais atakwenda Marekani, hatukuonyeshwa akiondoka, wala akipokelewa, tukaja kuonyeshwa tayari ameishafika Marekani akijichanganya na Watanzania, akiwemo Mtanzania mwenzetu maarufu sana aishie Marekani Da Mange ndio tukajua kumbe rais keshafika.

Hakuna chombo cha habari kinachojiuliza kwanini rais asafiri kimya kimya, apokelewe kimya kimya na kuibuka tuu tayari yupo Marekani. Kuna sababu gani ya rais wetu kusafiri bila kutumia ndege zetu, na badala yake rais wetu kasafiri kwa ndege za mashirika ya nje hivyo sio busara kumpiga picha rais wetu akikwea pipa la watu, wenyewe hawapendi na usumbufu kwa abiria wengine.

Kama Tanzania Tuna Ndege Zenye Uwezo wa Kufanya Direct Flights to US, Kwanini Rais Wetu Apande Commercial Flights?.
Enzi za Mkapa na JK, mimi nikiwa mwandishi wa habari wa kujitegemea, wakati wa safari za mbali za rais wetu, vyombo vya habari tulialikwa kumsindikiza rais wetu, na alikuwa anaandamana na kundi kubwa la wafanyabiashara. Enzi hizo pia rais wetu alipanda ndege za mashirika mengine kwasababu wakati huo, Tanzania tulikuwa hatuna ndege zenye uwezo huo.

Lakini kipindi cha JPM, Tanzania imejenga uwezo, sasa Tanzania tuna ndege kubwa za abiria za masafa marefu, kwanini rais wetu aendelee kusafiri na ndege za mashirika mengine, wakati sisi tunalo shirika letu, ATC, tunazo ndege za masafa marefu, Boeng na Airbus “The Dreamliner”?. Why?!. Hii ni aibu!. Ile siku sisi waandishi tulipopata fursa ya kumuuliza maswali JPM, pale Ikulu, nilipopata nafasi, kabla ya kuuliza swali, nilitoa hoja ya waandishi tushirikishwe kwenye mambo ya kuitangaza vizuri nchi yetu, na mimi nikasema waandishi tutajitegemea, kwa usafir chakula na malazi. Nimesafiri sana na Mkapa na JK, hivyo hii sasa ni zamu ya Samia, akisafiri safari za kimataifa, itolewe fursa kwa vyombo binafsi na wafanyabiashara kuandamana na rais.

Bila hata kusubiri majibu ya serikali au ya ATC, sababu pekee iliyomfanya rais Samia kusafiri kwenda Marekani kwa ndege za abiria za mashirika mengine, ni kwasababu kwanza ATC haina route ya Marekani, pili kupeleka mdege mkubwa, kama Dreamliner Marekani ni gharama, mafuta na landing charges ambazo zinalipwa kwa saa, hivyo huo mdege umpeleke rais Marekani, umsubiri kwa siku atakazokazokaa huko, na kumrudisha, ukilinganisha na kama akipanda ndege ya abiria kama wasafiri wengine, usafiri wa ndege za abiria ni nafuu kuliko kuipeleka Dreamliner Marekani.

Kutangaza Utalii Kimataifa ni Ghali, Hakuna Kitu Kinaongoza Kutangaza Utalii Kama Usafiri wa Ndege
Kama ilivyo katika kutangaza utalii, kuandaa filamu ya utalii na kuitangaza katika vyombo vya kimataifa, ni ghali, lakini kama tunataka kukuza utalii, hatuwezi kuepuka gharama, ndio maana tumekubali rais wetu kurekodi filamu ya Royal Tour kuutangaza utalii wetu. Hakuna kitu kinachoongoza kuvutia utalii, kama usafiri wa direct flights. Hakuna kitu kingeitangaza Tanzania nchini Marekani, kama ndege ya ATC kutua uwanja wa ndege wa New York, nchini Marekani huku imembeba rais wa Tanzania.

Rais wa Tanzani kwenda nchini yoyote ikiwemo Marekani kwa ndege ya watu wengine, wakati ATC inazo hizo ndege ni aibu, ni kosa, kosa sio kufanya kosa, kosa ni kurudia kosa, muda wowote mwakani, kuanzia miezi ya mwanzoni, rais Samia atakuwa na ziara rasmi ya kutembelea Marekani, ambapo katika ziara hiyo pia rais Samia ndio ataizindua rasmi ile filamu yake ya Royal Tour, naomba sana, tusifanye tena kosa la rais wetu kusafiri kwa ndege za watu, tusirudie kosa kwa rais wetu kutua Marekani kwa ndege za watu wakati sisi wenyewe tunazo hizo ndege na uwezo wa kulirusha li Dreamliner letu likiwa full board kwenda Marekani, tunao.

Kitu cha kufanyika ni kabla rais hajafanya ziara nchi yoyote, zille taasisi zote zinazohusika na shughuli mbalimbali ziarifiwe rasmi, ili ziandae trips. Mfano baada tuu ya kujua filamu ya Royal Tour inayo muonyesha movie Star wa Tanzania, Chief Hangai, itazinduliwa lini, nchini Marekani. Na tunajua Dreamliner inabeba abiria 300, ukiondoa rais na ujumbe wake wa kiserikali, say ni watu 30, kwanza serikali inatangaza fursa kwa taasisi zote za umma, wenye issues zozote za kufanya Marekani, wapange hizo issues zao zifanyike kipindi hicho. Waserikali hao, wafanye booking ATC. Then ATC inatangaza excursion trip ya Marekani kwa nafasi zote zilizobakia, hivyo trip ina correspond na siku za ziara ya rais kwenye nchi hiyo, lets say ni ziara inakayodumu siku 7. Inauza hizo nafasi zilizobakia kwa wafanyabiashara wa sekta binafsi, au Watanzania wengine wowote wenye uwezo, tukiwemo sisi waandishi wa habari.

Dreamliner Yetu ikitua JFK, Utaungaza Vizuri Utalii Wetu Kuliko Tangazo Jingine Lolote!.
Hivyo Taarifa tuu kuwa rais wa Tanzania, ametua Marekani na dege la Dreamliner la Tanzania, akiandamana na ujumbe wa watu 300!. Hili ni tangazo tosha la utalii kimataifa, kwasababu hakuna ndege yoyote ya direct kutoka Marekani hadi Tanzania, hivyo ATC pia itapata fursa ya kuanzisha route ya Marekani na nawahikishia ndege itajaa!.

Paskali

Huu ni mwendelezo wa bandiko hili
P.
 
Nimetoa mchango wangu wa mabandiko mawili kuhusu uzinduzi wa filamu ya Royal Tour.
Bandiko la kwanza ni hili

Na bandiko la pili ni hili

Nautakia uzinduzi mwema wa Royal Tour siku ya Jumatatu ya Pasaka.
Paskali
 
Back
Top Bottom