Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,354
Unajuaje kama hilo wazo lilikuwepo kabla hamjaanza kujadiliana hapa?Habari wakuu....
Nimeona huko kwa Millard Ayo, hela zimetengwa kujenga upya Kariakoo ambayo ita accommodate wafanya biashara 2000! ...hii tulishauri hapa kulivyokua na discussion za kuhamisha wamachinga..........
.Kariakoo ni mjini, kituo cha biashara mama Samia ametambua ni vizuri pajengwe vizuri, pawe modernized...... katika solutions zote zilizokua suggested kaiona hio ya kujenga vizuri ndio liko sustainable(Becky hoyee👌☝️💪)....wanaJF hii ni prove tosha anatusoma humu hivyo tutoe threads za kujenga...ni msikivu ndio maana anachukua ushauri bwana yule hakua hivi.....
Cc; KeyserSoze