Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,294
- 24,118
Makamba na Kinana wamerudishiwa heshima zao.
Membe karudi CCM alikofukuzwa.
Mashitaka ya Mbowe yakafutwa.
Waliokuwa lupango kwa kesi za kubambikwa wameachiwa.
Mikutano ya kisiasa imerudi upya.
Polisi wameanza kuwaheshimu wananchi wa itikadi tofauti na chama tawala
Tundu Lissu alionana na Rais huko Ubelgiji, na sasa twasikia kalipwa stahiki zake.
Hata Sugu, ameenziwa kwa muziki wake na Birthday yake ya miaka 50.
Kwa kweli ukiona picha kubwa-The Bigger Picture- inasoma MSHIKAMANO, na SIASA SI UADUI.
Na hapo namkumbuka marehemu Mzee Rashid Mfaume Kawawa na Matembezi yake ya Mshikamano.
Hongera sana mama Samia, hata Mungu aliye juu amesema mpatanishi atarithi mbingu na nchi.
Membe karudi CCM alikofukuzwa.
Mashitaka ya Mbowe yakafutwa.
Waliokuwa lupango kwa kesi za kubambikwa wameachiwa.
Mikutano ya kisiasa imerudi upya.
Polisi wameanza kuwaheshimu wananchi wa itikadi tofauti na chama tawala
Tundu Lissu alionana na Rais huko Ubelgiji, na sasa twasikia kalipwa stahiki zake.
Hata Sugu, ameenziwa kwa muziki wake na Birthday yake ya miaka 50.
Kwa kweli ukiona picha kubwa-The Bigger Picture- inasoma MSHIKAMANO, na SIASA SI UADUI.
Na hapo namkumbuka marehemu Mzee Rashid Mfaume Kawawa na Matembezi yake ya Mshikamano.
Hongera sana mama Samia, hata Mungu aliye juu amesema mpatanishi atarithi mbingu na nchi.