ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 19,707
- 28,251
Muulize kwanza MUME WANGU ananipenda hanipendi?
Muulize kwanza MUME WANGU ananipenda hanipendi?
Habari ndio hiyo. Endeleeni kumpa kichwa huyo mnayemtegemea. Alipita Jiwe na wengine watapita. Ubatili mtupuSasa sisi dunia nyingine inatuhusu nini, wakijua au wasipojua? Nchi ni ya kwetu, tutaijenga sisi, na tutafia humu humu. Tunafanya kile kilicho sahihi kwetu tu full stop; uraia wangu hauna ubia na mkenya au mbelgiji.
" Na hii hoja ikatunzwe katika makabati yote kwenye bara la Afrika "- Mkalimani's voice.....naunga mkono hii hoja...Tz viongozi wake wengi ni bad-faith actorsWewe unaiona nchi upande wa udikteta.
Mm naiona Tanzania inayotazamwa kwa sera zake za kiuchumi siyo DEMOCRACY
Ninaiona Tanzania iliyonzukwa na vibaraka ndani ya CCM na Upinzani kwa tamaa ya madaraka,mali,visasi na ujuaji.
Naiona TANZANIA kama yatima aliye na walezi wanafiki na wanaotaka kumchukua ndiyo zaidi ya mnafiki wa kwanza.
Kwani umesikia anataka uraisi?Hivyo vyombo vya kimataifa havijawahi report mema ya Samia hata siku mojamoja
Huyo mbowe yupo salama kabisa ila urais kwake ndio wasahau
Mwaka huu mpaka MBOWE ANILE KIBOGA nimpe kwa MPALANGE na nimzalie mapacha MBOWE unanikuna vizuli
Haiwezi kuja tokea chadema ikashika nchi kwa mtindo huu wa kina mboweSiku nikija kuwa raisi, chadema mtatafuta pa kwenda. Ombeni na msali sana nisije kuwa raisi
Mama aongezewe ulinzi hatutaki kama yaliyotokea kwa jpmMama hajielewi!
Kwahiyo ni chama gan chenye hati miliki ya hii nchi???Siku nikija kuwa raisi, chadema mtatafuta pa kwenda. Ombeni na msali sana nisije kuwa raisi
Kumekucha.....Mama hapaswi kufuata utawala wa mwendazake.Kilichompata marehemu lazima kiogopwe.hatujazoea utawala wa kihuni kwani gharama zake hazisemeki.
Kiongozi kufanya mambo mazuri kwa nchi yake ni wajibu wake; hiyo siyo habari kwa vyombo vya kimataifa. Habari zenyewe ni pale anapfanya kinyume na matarajio; hiyo ni habari kubwa. Mwalimu Nyerere alitmia mfano wa kumpiga mke. Kwamba kila siku wanaume hupiga wake zao lakini haiandikwi na magazeti; siyo habari. Subiri siku Nyerere akimpiga mke wake! Hiyo itakuwa habari kubwa.Hivyo vyombo vya kimataifa havijawahi report mema ya Samia hata siku mojamoja
Huyo mbowe yupo salama kabisa ila urais kwake ndio wasahau
Sisi hatumtegemei mtu wala nini. Tunachoangalia ni misingi tu. Tulimtahadharisha mapema mama kwamba hii nchi haina ubia na taifa au mataifa mengine, itajengwa kwa mikono yetu wenyewe tu. Watakaotaka kutusaidia watusaidie kwa nia safi sio kwa ajili ya ajenda zao. Vinginevyo mama atapata tabu sana kuiongoza hii nchi maana wale wanaotaka awe dhaifu ni vibaraka, sisi tunaotaka awe na nguvu na kufanikiwa ndio tunaomtaka aangalie maslahi ya nchi kwanza na asicheke na kima yeyote mwenye vipaumbele vingine zaidi ya maendeleo ya nchi yetu.Habari ndio hiyo. Endeleeni kumpa kichwa huyo mnayemtegemea. Alipita Jiwe na wengine watapita. Ubatili mtupu
Sawa MwiguluSiku nikija kuwa raisi, chadema mtatafuta pa kwenda. Ombeni na msali sana nisije kuwa raisi
Ni kambi ipi ilitaka asiapishwe,nani alikuwa kinara wa mpangoHuyu mama wakuhurumia sana, amewakumbatia wasiompenda na wasiomtakia mema, kundi lote la maggufuli halimtakii mema hata kidogo.
Wanatamani kumuona akifeli waweke mtu wao.
Pole kwake kwa uchaguzi mbovu
ChrisKumekucha.....
Hivi uimara wa kiongozi wa Tanzania ni kukandamiza uhuru wa raia kujumuika, uhuru wa mawazo, haki za kiraia, haki za binadamu, kuendekeza ubaguzi na kutumia dola kufanikisha hayo yote? Huu ni ujima mtupu.Sisi hatumtegemei mtu wala nini. Tunachoangalia ni misingi tu. Tulimtahadharisha mapema mama kwamba hii nchi haina ubia na taifa au mataifa mengine, itajengwa kwa mikono yetu wenyewe tu. Watakaotaka kutusaidia watusaidie kwa nia safi sio kwa ajili ya ajenda zao. Vinginevyo mama atapata tabu sana kuiongoza hii nchi maana wale wanaotaka awe dhaifu ni vibaraka, sisi tunaotaka awe na nguvu na kufanikiwa ndio tunaomtaka aangalie maslahi ya nchi kwanza na asicheke na kima yeyote mwenye vipaumbele vingine zaidi ya maendeleo ya nchi yetu.
Wanaotaka katiba mpya watwambie kipengele gani kwenye katiba ya sasa kinakwamisha maendeleo ya nchi na watu wake.