FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 35,847
- 40,435
Kwani kipi hujaelewa kwenye hiyo comment yangu? Kama suala ni watu wasiishi kama mashetani, kwanini serikali isiwe inawaingizia tu watu wote mishahara , ili kilaWewe utakuwa ni mchawi au ndo unaelekea huko,so mnapenda watu waishi kama mashetani sio??
MTz apate mshahara ili lengo la kuishi kama malaika litimie, unaonaje hapo?